Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,234
- 42,125
- Thread starter
- #21
acha ujinga wewe hayo yote niliyo shauri yalikuwa hivyo toka zamani...Kila kitu sasa hivi kina simama, kazi iliyoko mbele yetu ni kuiteketeza kabisa Chadema na upinzani kwa ujumla ili turudi kwenye mfumo wa chama kimoja bila kuingia gharama ya kukusanaya maoni kama tulivyofanya kurudisha mfumo wa vyama vingi.