Natumai nyote mko salama.
Ushauri wangu kama raia mwema kwenda kwako Rais Kikwete, Nakushauri kwa nia njema kabisa , tafadhali jaribu kuangalia mbali kidogo kutoka ktk pua.
Ushauri wenyewe
Tangazeni matokeo kama yalivyo hakuna haja kuyabana bana. Hata kama umeshindwa jaribu kumkabidhi ofsi aliyeshinda kwa amani na tabasamu.Hakika ukifanya hivyo utaishi kwa amani.
Angalizo
Ukichakachua matokeo, naamini watanzania watamezea na utaendelea kuwa rais kwa miaka mingine mitano. Lakini kama ukiangalia mbali ya pua , utaona bayana kabisa 2015 hutakuweza kuchakachua matokeo maana kura kwenda kwa upinzani zitakuwa nyingi ambazo hazichakachuliki. Hapo hapo Rais atayeingia atakuwa na MACHUNGU nawe na atakutia ndani na wenda na hiyo pesheni ya URAIS hadi kifo hutopewa.
ADVANTAGE
Kama umeshindwa na ukikubali kuachia kiungwana, UTAHESHIMIKA, kimataifa utakua mfano wa kuingwa na TANZANIA utaipeleka juu ktk uso wa dunia.
Kama umeshindwa na hutaki maono rahisi kama haya ENDELEA KUCHAKACHUA.
Ushauri wangu kama raia mwema kwenda kwako Rais Kikwete, Nakushauri kwa nia njema kabisa , tafadhali jaribu kuangalia mbali kidogo kutoka ktk pua.
Ushauri wenyewe
Tangazeni matokeo kama yalivyo hakuna haja kuyabana bana. Hata kama umeshindwa jaribu kumkabidhi ofsi aliyeshinda kwa amani na tabasamu.Hakika ukifanya hivyo utaishi kwa amani.
Angalizo
Ukichakachua matokeo, naamini watanzania watamezea na utaendelea kuwa rais kwa miaka mingine mitano. Lakini kama ukiangalia mbali ya pua , utaona bayana kabisa 2015 hutakuweza kuchakachua matokeo maana kura kwenda kwa upinzani zitakuwa nyingi ambazo hazichakachuliki. Hapo hapo Rais atayeingia atakuwa na MACHUNGU nawe na atakutia ndani na wenda na hiyo pesheni ya URAIS hadi kifo hutopewa.
ADVANTAGE
Kama umeshindwa na ukikubali kuachia kiungwana, UTAHESHIMIKA, kimataifa utakua mfano wa kuingwa na TANZANIA utaipeleka juu ktk uso wa dunia.
Kama umeshindwa na hutaki maono rahisi kama haya ENDELEA KUCHAKACHUA.