Bukayo jr
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 2,782
- 1,638
Habari wana jf leo nina hitaji ushauri wenu, kuna rafiki yangu huku mwanza ana mchumba wake wamepanga waoane mwakani february lakini sasa huyu jamaa anaishi mwanza mchumba wake(msichana) dar es salaam, hivi karibuni binti kamkatia mwasiliano kisa anasoma cpa yani yuko busy hata sms hakuna kwa wiki mbili mfululizo nakumbuka aliwahi kunung'unika miezi kadhaa nyuma kachuniwa mpaka akadata akawa anahisi kuachwa na binti lakini binti akiulizwa anadai eti cpa inanipeleka lesi lakini jamaa anauliza hata sms? Jamaa kampigia mpaka kaniomba ushauri niasaidieni nikampe your advice