Muxt
Member
- Jun 25, 2022
- 38
- 45
Guys ninaomba ushauri,
Nina mwanamke wangu nilikuwanaye kwenye mahusiano tangu nipo nasoma mpaka namaliza lakini ilinichukua kama mwaka na nusu bila kupata kazi.
Wakati huo yeye alikuwa na kazi anauza duka la cosmetics la mtu. Nilikuwa sina hela mwanamke alinivumilia sana ingawa hela yake kuipata ilikuwa ngumu.
Miezi miwili kabla ya mimi kupata kazi tukaachana sijui alichoka kuvumilia au vipi. Mimi nikapata kazi siku jina langu limetoka tu nikamtafuta maana bado nilikuwa na feelings naye nikamwambia anisaidie hela ili niende huko Bukoba kwenye kituo cha kazi, akaniambia hana hela maana hela zote alizokuwa anatunza amenunua kiwanja kwao.
Tangu pale aliniisha hamu nikaona kumbe mwenzangu alishamove on. Mimi nikaja zangu Bukoba nikapatana na kadada kengine nipo naye lakin yule mwanamke wangu wa mwanzo haachi kunisumbua muda wote anataka turudiane.
Kwakwel ananipasua kichwa maana nakosa cha kufanya ananilalamikia sana kwahiyo naomba ushauri wana jukwaa.
Nina mwanamke wangu nilikuwanaye kwenye mahusiano tangu nipo nasoma mpaka namaliza lakini ilinichukua kama mwaka na nusu bila kupata kazi.
Wakati huo yeye alikuwa na kazi anauza duka la cosmetics la mtu. Nilikuwa sina hela mwanamke alinivumilia sana ingawa hela yake kuipata ilikuwa ngumu.
Miezi miwili kabla ya mimi kupata kazi tukaachana sijui alichoka kuvumilia au vipi. Mimi nikapata kazi siku jina langu limetoka tu nikamtafuta maana bado nilikuwa na feelings naye nikamwambia anisaidie hela ili niende huko Bukoba kwenye kituo cha kazi, akaniambia hana hela maana hela zote alizokuwa anatunza amenunua kiwanja kwao.
Tangu pale aliniisha hamu nikaona kumbe mwenzangu alishamove on. Mimi nikaja zangu Bukoba nikapatana na kadada kengine nipo naye lakin yule mwanamke wangu wa mwanzo haachi kunisumbua muda wote anataka turudiane.
Kwakwel ananipasua kichwa maana nakosa cha kufanya ananilalamikia sana kwahiyo naomba ushauri wana jukwaa.