Ushauri: Alinivumilia wakati sina kazi lakini tukaacha nilipokaribia kupata kazi, nimepata mwingine sasa haachi kunisumbua turudiane

Guys ninaomba ushauri,

Nina mwanamke wangu nilikuwanaye kwenye mahusiano tangu nipo nasoma mpaka namaliza lakini ilinichukua kama mwaka na nusu bila kupata kazi.

Wakati huo yeye alikuwa na kazi anauza duka la cosmetics la mtu. Nilikuwa sina hela mwanamke alinivumilia sana ingawa hela yake kuipata ilikuwa ngumu.

Miezi miwili kabla ya mimi kupata kazi tukaachana sijui alichoka kuvumilia au vipi. Mimi nikapata kazi siku jina langu limetoka tu nikamtafuta maana bado nilikuwa na feelings naye nikamwambia anisaidie hela ili niende huko Bukoba kwenye kituo cha kazi, akaniambia hana hela maana hela zote alizokuwa anatunza amenunua kiwanja kwao.

Tangu pale aliniisha hamu nikaona kumbe mwenzangu alishamove on. Mimi nikaja zangu Bukoba nikapatana na kadada kengine nipo naye lakin yule mwanamke wangu wa mwanzo haachi kunisumbua muda wote anataka turudiane.

Kwakwel ananipasua kichwa maana nakosa cha kufanya ananilalamikia sana kwahiyo naomba ushauri wana jukwaa.
Hekima ya ki Mungu inahitajika hapo,usikurupuke...
 
Hili suala sio kwa mwanamke wako tu, wanawake wengi sana huwaga wanavumilia siku chache za mwanzoni kama huna ajira ila baada ya hapo anaanza kukuonyesha red flags.Huyo mwanamke hakufai mana yupo kimaslahi zaidi na siku ukipoteza hiyo kazi ataondoka tena.Ingekua wewe ndo mimi ningemtumia tu huyo mwanamke ila hafai kwa kuoa mana wanaume huwa hatukatai mbunye.
 
Hili suala sio kwa mwanamke wako tu, wanawake wengi sana huwaga wanavumilia siku chache za mwanzoni kama huna ajira ila baada ya hapo anaanza kukuonyesha red flags.Huyo mwanamke hakufai mana yupo kimaslahi zaidi na siku ukipoteza hiyo kazi ataondoka tena.Ingekua wewe ndo mimi ningemtumia tu huyo mwanamke ila hafai kwa kuoa mana wanaume huwa hatukatai mbunye.
😂😂 Copy that chief
 
Guys ninaomba ushauri,

Nina mwanamke wangu nilikuwanaye kwenye mahusiano tangu nipo nasoma mpaka namaliza lakini ilinichukua kama mwaka na nusu bila kupata kazi.

Wakati huo yeye alikuwa na kazi anauza duka la cosmetics la mtu. Nilikuwa sina hela mwanamke alinivumilia sana ingawa hela yake kuipata ilikuwa ngumu.

Miezi miwili kabla ya mimi kupata kazi tukaachana sijui alichoka kuvumilia au vipi. Mimi nikapata kazi siku jina langu limetoka tu nikamtafuta maana bado nilikuwa na feelings naye nikamwambia anisaidie hela ili niende huko Bukoba kwenye kituo cha kazi, akaniambia hana hela maana hela zote alizokuwa anatunza amenunua kiwanja kwao.

Tangu pale aliniisha hamu nikaona kumbe mwenzangu alishamove on. Mimi nikaja zangu Bukoba nikapatana na kadada kengine nipo naye lakin yule mwanamke wangu wa mwanzo haachi kunisumbua muda wote anataka turudiane.

Kwakwel ananipasua kichwa maana nakosa cha kufanya ananilalamikia sana kwahiyo naomba ush

Guys ninaomba ushauri,

Nina mwanamke wangu nilikuwanaye kwenye mahusiano tangu nipo nasoma mpaka namaliza lakini ilinichukua kama mwaka na nusu bila kupata kazi.

Wakati huo yeye alikuwa na kazi anauza duka la cosmetics la mtu. Nilikuwa sina hela mwanamke alinivumilia sana ingawa hela yake kuipata ilikuwa ngumu.

Miezi miwili kabla ya mimi kupata kazi tukaachana sijui alichoka kuvumilia au vipi. Mimi nikapata kazi siku jina langu limetoka tu nikamtafuta maana bado nilikuwa na feelings naye nikamwambia anisaidie hela ili niende huko Bukoba kwenye kituo cha kazi, akaniambia hana hela maana hela zote alizokuwa anatunza amenunua kiwanja kwao.

Tangu pale aliniisha hamu nikaona kumbe mwenzangu alishamove on. Mimi nikaja zangu Bukoba nikapatana na kadada kengine nipo naye lakin yule mwanamke wangu wa mwanzo haachi kunisumbua muda wote anataka turudiane.

Kwakwel ananipasua kichwa maana nakosa cha kufanya ananilalamikia sana kwahiyo naomba ushauri wana jukwaa.
inaonekana pia wewe ndo ulikua tatizo

kwanza kwa kusema "hela yake kuipata ilikua ngumu"

pili alishindwa kujupa hela ya kwenda bukoba kwaajili amenunua kiwanja,
je kama alinunua kweli na Hana na je ndo wajibu wake kujupa nauli ?

you have to play your party katika stori chache uliyotoa inaonyesha kuna mengi zaidi yaliyotokea kufanya akuchoke,

amekuvumilia huna hela na kazi bado umuombe ?
 
Msikilize mkuu.

Then kukuvumilia huwa mnamaanisha nini?

Je kukupa chakula
Access ya ngono au ?

Nadhani ungesema kuwa tumepitia changamato pamoja Ila kuvumilia sijui unamaanisha .
 
Hivi ishu ndogo kama hii inakushinda vipi kuisolve..????!!

If you can't make your own decisions as a man ,, basi utakuwa ni mtu wa kuteseka sana kwenye safari yako ya mahusiano.
 
inaonekana pia wewe ndo ulikua tatizo

kwanza kwa kusema "hela yake kuipata ilikua ngumu"

pili alishindwa kujupa hela ya kwenda bukoba kwaajili amenunua kiwanja,
je kama alinunua kweli na Hana na je ndo wajibu wake kujupa nauli ?

you have to play your party katika stori chache uliyotoa inaonyesha kuna mengi zaidi yaliyotokea kufanya akuchoke,

amekuvumilia huna hela na kazi bado umuombe ?
Kwann anisumbue turudiane hiyo nd shida yaan amenishikilia koo
 
Hivi ishu ndogo kama hii inakushinda vipi kuisolve..????!!

If you can't make your own decisions as a man ,, basi utakuwa ni mtu wa kuteseka sana kwenye safari yako ya mahusiano.
🙄🙄🙄
 
Msikilize mkuu.

Then kukuvumilia huwa mnamaanisha nini?

Je kukupa chakula
Access ya ngono au ?

Nadhani ungesema kuwa tumepitia changamato pamoja Ila kuvumilia sijui unamaanisha .
Kama ulivyosem chief hata haikuwa access ya ngono wala chakula but as mwanaume lazima uhudumie ileile lakin alikuwa anaelewa Hali yangu maan tulikuwa sehemu tofauti(long distance relationship)
 
Kama ulivyosem chief hata haikuwa access ya ngono wala chakula but as mwanaume lazima uhudumie ileile lakin alikuwa anaelewa Hali yangu maan tulikuwa sehemu tofauti(long distance relationship)


We msikilize uone Ana habari gani Ila kuhusu kukuvumilia hiyo hoja haina nguvu mkuu.

Maana Kama angekuwa anakudai ungeweza kusema hivyo. Na Kama alifanya mambo chanya huo wema utamrudia hautopotea bure.

Mimi navyomtazama mke wako au mchumba Ana tatizo la fixed mindset.

Alikuwa anataka assurance kupitia hali yako ngumu ya maisha.

Hii hali huwa inawapata na wanaume pia kupenda kumuona mwanamke yupo financial broke kuwa ndo njia ya kummiliki. The same too imetokea kwa MTU wako.


Unachoweza kufanya mwambie abadilike awe na Growth mindset mwambie wanaume wenye pesa wapo real Sana.


Kuna mwanamke akijua upo financial broke ndo anakupenda Ila ukitoboa anapata wasiwasi

Tabia za watu unabidi uzijue mkuu ili usigombane nao
 
Aah kukunyima hela sio kama hakupendi na yeye kama binadamu anapitia changamoto sema hakuambii tu

ungechek hata na ndugu zako pia sio kila kitu unambebesha mwenzio mzigo akati una miguu na mikono
 
as far as hukuoffer anything kwa hio union yenu

Dada ukute alitumia nauli yake mkadinyane, alitumia hela yake kujihudumia ,akakusupport pia emotionally ndo mwenyewe huyo
 
Muxt tufanye unanishauri mimi huo mkasa, ungenishaurije? Tuanzie hapa.

Pili, haujasema chanzo cha kuachana na uyo mwanamke wa kwanza na ni muda gani umepita.

Ila, nnachoweza kukushauri, ukiachana na mwanamke, ikivuka miezi mitatu, basi kamwe usirudi nyuma.
 
We msikilize uone Ana habari gani Ila kuhusu kukuvumilia hiyo hoja haina nguvu mkuu.

Maana Kama angekuwa anakudai ungeweza kusema hivyo. Na Kama alifanya mambo chanya huo wema utamrudia hautopotea bure.

Mimi navyomtazama mke wako au mchumba Ana tatizo la fixed mindset.

Alikuwa anataka assurance kupitia hali yako ngumu ya maisha.

Hii hali huwa inawapata na wanaume pia kupenda kumuona mwanamke yupo financial broke kuwa ndo njia ya kummiliki. The same too imetokea kwa MTU wako.


Unachoweza kufanya mwambie abadilike awe na Growth mindset mwambie wanaume wenye pesa wapo real Sana.


Kuna mwanamke akijua upo financial broke ndo anakupenda Ila ukitoboa anapata wasiwasi

Tabia za watu unabidi uzijue mkuu ili usigombane nao

😅😅😅😅😅 ila
mkuu unapenda ona watu wanamatatizo yaakili sijui kwanini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom