Hekima ya ki Mungu inahitajika hapo,usikurupuke...Guys ninaomba ushauri,
Nina mwanamke wangu nilikuwanaye kwenye mahusiano tangu nipo nasoma mpaka namaliza lakini ilinichukua kama mwaka na nusu bila kupata kazi.
Wakati huo yeye alikuwa na kazi anauza duka la cosmetics la mtu. Nilikuwa sina hela mwanamke alinivumilia sana ingawa hela yake kuipata ilikuwa ngumu.
Miezi miwili kabla ya mimi kupata kazi tukaachana sijui alichoka kuvumilia au vipi. Mimi nikapata kazi siku jina langu limetoka tu nikamtafuta maana bado nilikuwa na feelings naye nikamwambia anisaidie hela ili niende huko Bukoba kwenye kituo cha kazi, akaniambia hana hela maana hela zote alizokuwa anatunza amenunua kiwanja kwao.
Tangu pale aliniisha hamu nikaona kumbe mwenzangu alishamove on. Mimi nikaja zangu Bukoba nikapatana na kadada kengine nipo naye lakin yule mwanamke wangu wa mwanzo haachi kunisumbua muda wote anataka turudiane.
Kwakwel ananipasua kichwa maana nakosa cha kufanya ananilalamikia sana kwahiyo naomba ushauri wana jukwaa.
😂😂 Copy that chiefHili suala sio kwa mwanamke wako tu, wanawake wengi sana huwaga wanavumilia siku chache za mwanzoni kama huna ajira ila baada ya hapo anaanza kukuonyesha red flags.Huyo mwanamke hakufai mana yupo kimaslahi zaidi na siku ukipoteza hiyo kazi ataondoka tena.Ingekua wewe ndo mimi ningemtumia tu huyo mwanamke ila hafai kwa kuoa mana wanaume huwa hatukatai mbunye.
Guys ninaomba ushauri,
Nina mwanamke wangu nilikuwanaye kwenye mahusiano tangu nipo nasoma mpaka namaliza lakini ilinichukua kama mwaka na nusu bila kupata kazi.
Wakati huo yeye alikuwa na kazi anauza duka la cosmetics la mtu. Nilikuwa sina hela mwanamke alinivumilia sana ingawa hela yake kuipata ilikuwa ngumu.
Miezi miwili kabla ya mimi kupata kazi tukaachana sijui alichoka kuvumilia au vipi. Mimi nikapata kazi siku jina langu limetoka tu nikamtafuta maana bado nilikuwa na feelings naye nikamwambia anisaidie hela ili niende huko Bukoba kwenye kituo cha kazi, akaniambia hana hela maana hela zote alizokuwa anatunza amenunua kiwanja kwao.
Tangu pale aliniisha hamu nikaona kumbe mwenzangu alishamove on. Mimi nikaja zangu Bukoba nikapatana na kadada kengine nipo naye lakin yule mwanamke wangu wa mwanzo haachi kunisumbua muda wote anataka turudiane.
Kwakwel ananipasua kichwa maana nakosa cha kufanya ananilalamikia sana kwahiyo naomba ush
inaonekana pia wewe ndo ulikua tatizoGuys ninaomba ushauri,
Nina mwanamke wangu nilikuwanaye kwenye mahusiano tangu nipo nasoma mpaka namaliza lakini ilinichukua kama mwaka na nusu bila kupata kazi.
Wakati huo yeye alikuwa na kazi anauza duka la cosmetics la mtu. Nilikuwa sina hela mwanamke alinivumilia sana ingawa hela yake kuipata ilikuwa ngumu.
Miezi miwili kabla ya mimi kupata kazi tukaachana sijui alichoka kuvumilia au vipi. Mimi nikapata kazi siku jina langu limetoka tu nikamtafuta maana bado nilikuwa na feelings naye nikamwambia anisaidie hela ili niende huko Bukoba kwenye kituo cha kazi, akaniambia hana hela maana hela zote alizokuwa anatunza amenunua kiwanja kwao.
Tangu pale aliniisha hamu nikaona kumbe mwenzangu alishamove on. Mimi nikaja zangu Bukoba nikapatana na kadada kengine nipo naye lakin yule mwanamke wangu wa mwanzo haachi kunisumbua muda wote anataka turudiane.
Kwakwel ananipasua kichwa maana nakosa cha kufanya ananilalamikia sana kwahiyo naomba ushauri wana jukwaa.
Kwann anisumbue turudiane hiyo nd shida yaan amenishikilia kooinaonekana pia wewe ndo ulikua tatizo
kwanza kwa kusema "hela yake kuipata ilikua ngumu"
pili alishindwa kujupa hela ya kwenda bukoba kwaajili amenunua kiwanja,
je kama alinunua kweli na Hana na je ndo wajibu wake kujupa nauli ?
you have to play your party katika stori chache uliyotoa inaonyesha kuna mengi zaidi yaliyotokea kufanya akuchoke,
amekuvumilia huna hela na kazi bado umuombe ?
Kama ulivyosem chief hata haikuwa access ya ngono wala chakula but as mwanaume lazima uhudumie ileile lakin alikuwa anaelewa Hali yangu maan tulikuwa sehemu tofauti(long distance relationship)Msikilize mkuu.
Then kukuvumilia huwa mnamaanisha nini?
Je kukupa chakula
Access ya ngono au ?
Nadhani ungesema kuwa tumepitia changamato pamoja Ila kuvumilia sijui unamaanisha .
Kama ulivyosem chief hata haikuwa access ya ngono wala chakula but as mwanaume lazima uhudumie ileile lakin alikuwa anaelewa Hali yangu maan tulikuwa sehemu tofauti(long distance relationship)
We msikilize uone Ana habari gani Ila kuhusu kukuvumilia hiyo hoja haina nguvu mkuu.
Maana Kama angekuwa anakudai ungeweza kusema hivyo. Na Kama alifanya mambo chanya huo wema utamrudia hautopotea bure.
Mimi navyomtazama mke wako au mchumba Ana tatizo la fixed mindset.
Alikuwa anataka assurance kupitia hali yako ngumu ya maisha.
Hii hali huwa inawapata na wanaume pia kupenda kumuona mwanamke yupo financial broke kuwa ndo njia ya kummiliki. The same too imetokea kwa MTU wako.
Unachoweza kufanya mwambie abadilike awe na Growth mindset mwambie wanaume wenye pesa wapo real Sana.
Kuna mwanamke akijua upo financial broke ndo anakupenda Ila ukitoboa anapata wasiwasi
Tabia za watu unabidi uzijue mkuu ili usigombane nao
whyIla, nnachoweza kukushauri, ukiachana na mwanamke, ikivuka miezi mitatu, basi kamwe usirudi nyuma.