afkombo
Member
- Feb 9, 2008
- 93
- 11
Habari zenu wadau!!
Naomba kama kuna mweye kujua kuhusu utaratibu wa hawa jamaa wa Zain,Zantel au Vodacom. Nina USB Moderm,ni Huawei E220.Nataka kumtumia mtu aliye Bongo.Sasa nilikuwa nauliza kwa mdau mwenye kujua,je! hizi kampuni zinaweza kukubali kumpatia connection ya Internet kwa hii moderm au lazima anunue kutoka katika maduka yao??
Natanguliza shukrani!!
Naomba kama kuna mweye kujua kuhusu utaratibu wa hawa jamaa wa Zain,Zantel au Vodacom. Nina USB Moderm,ni Huawei E220.Nataka kumtumia mtu aliye Bongo.Sasa nilikuwa nauliza kwa mdau mwenye kujua,je! hizi kampuni zinaweza kukubali kumpatia connection ya Internet kwa hii moderm au lazima anunue kutoka katika maduka yao??
Natanguliza shukrani!!