Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
Kizungumkuti kinachoendelea dodoma kimedhihirisha kuwa ccm ni chama kinachofuga viongozi wasioweza kuchukua hatua.
Juzi tulishuhudia wabunge karibu wote waliochangia hoja za kamati teule wakionyesha machungu,jazba na hasira dhidi ya serikali kwa manufaa ya umma.
Baadae mh. Zitto akawatia mtegoni na kuwaambia 'maneno matupu hayavunji mfupa' na pia 'kazi ya mbwa ni kuuma na sio kubweka tu'
kama tulivyotegemea jamaa wakanasa mtegoni, wameshindwa kusaini!!
Sababu ya kushindwa kutia sahihi ni moja tu(kwa tafsiri yangu)......nayo ni WOGA WA FISI.
Huwezi kumshutumu waziri eti hachukui maamuzi wakati wewe mwenyewe umepata fursa ya kufanana na hiyo ukaogopa kufanya hivyo.
Nasema kama kuna mbunge 'kidume' kutoka ccm ajiainishe rasmi kwamba anabariki baraza la mawaziri liendelee na kazi mpaka bwana mkubwa akijisikia kulibadilisha.nataka kumuona anakusanya sahihi za wabunge 50%+1 ili akae mkao wa kumuokoa pinda pindi zitto atakapowasilisha hoja.
Kama hakuna basi huu uwe mwanzo na mwisho wa kujidai mnarukia hoja za wapinzani wakati hamna guts za kusimamia.
Makamba,zambi,sendeka,kilango,lusinde n.k jitokezeni either mmoja wenu au kwa umoja wenu mpambane na zitto.kama ikishindikana basi jitokezeni na mseme mko neutral ili wananchi wajue nani ni nani kwenye kusimamia maslahi yao..............................
Tunataka kujua kati ya YES, NEY na NEUTRAL nyie wabunge wa ccm mko wapi?
UPDATES;sehemu ya maelezo ya mheshimiwa mbunge wa nzega Dr.Hamisi kigwangalla.
Nawasilisha...
Juzi tulishuhudia wabunge karibu wote waliochangia hoja za kamati teule wakionyesha machungu,jazba na hasira dhidi ya serikali kwa manufaa ya umma.
Baadae mh. Zitto akawatia mtegoni na kuwaambia 'maneno matupu hayavunji mfupa' na pia 'kazi ya mbwa ni kuuma na sio kubweka tu'
kama tulivyotegemea jamaa wakanasa mtegoni, wameshindwa kusaini!!
Sababu ya kushindwa kutia sahihi ni moja tu(kwa tafsiri yangu)......nayo ni WOGA WA FISI.
Huwezi kumshutumu waziri eti hachukui maamuzi wakati wewe mwenyewe umepata fursa ya kufanana na hiyo ukaogopa kufanya hivyo.
Nasema kama kuna mbunge 'kidume' kutoka ccm ajiainishe rasmi kwamba anabariki baraza la mawaziri liendelee na kazi mpaka bwana mkubwa akijisikia kulibadilisha.nataka kumuona anakusanya sahihi za wabunge 50%+1 ili akae mkao wa kumuokoa pinda pindi zitto atakapowasilisha hoja.
Kama hakuna basi huu uwe mwanzo na mwisho wa kujidai mnarukia hoja za wapinzani wakati hamna guts za kusimamia.
Makamba,zambi,sendeka,kilango,lusinde n.k jitokezeni either mmoja wenu au kwa umoja wenu mpambane na zitto.kama ikishindikana basi jitokezeni na mseme mko neutral ili wananchi wajue nani ni nani kwenye kusimamia maslahi yao..............................
Tunataka kujua kati ya YES, NEY na NEUTRAL nyie wabunge wa ccm mko wapi?
UPDATES;sehemu ya maelezo ya mheshimiwa mbunge wa nzega Dr.Hamisi kigwangalla.
my take;hivi wananzega walikutuma bungeni kuitetea serikali au kuwatetea wananzega.nadhani kazi ya kuilinda serikali ni ya mawaziri na sio wabunge.mbunge ni muwakilishi wa wananchi bungeni na sio mtetezi wa serikali bungeni.ndio maana nimesema wabunge wa ccm(ukiondoa waliosaini) mumewasaliti wananchi.Tatu, msisahau kitu kimoja cha muhimu kabisa. Kwamba, mimi ni Mbunge kutokea CCM na kama walivyo wengi wenzangu hatukusaini kwa sababu hatuwezi kuiangusha serikali ya CCM kwa hoja inayoletwa na Mbunge wa Kambi ya Upinzani! Mbunge wa Chama Tawala kuamua kuiangusha serikali ya chama chako ni sawa na kuamua kukata tawi la mti uliokalia, kwa vyovyote vile utaanguka nalo! Simple logic! Mfumo wa Bunge letu ni wa Westminster, na hivyo kuna kambi ya Upinzani (yenye interest ya kutaka kuiangusha serikali inayotawala) na Kambi ya Serikali (ambayo ina interest ya kutaka kuilinda serikali yake). Kwa maana hiyo sisi wabunge wa CCM tuna jukumu la kuilinda Serikali inayopatikana kutokana na sisi kuwa majority. Serikali ni lazima i-enjoy majority status ndani ya Bunge ili nchi itawalike kwa amani na utulivu, japokuwa haimaanishi kuruhusu ubadhirifu na ndiyo maana kwenye Party Caucus wabunge wana nguvu na fursa ya kusema chochote dhidi ya serikali ya Chama Chao. Kuna wengine wanataka Bunge liwe Bunge huru (ama 'An Indipendent Power House') disregarding political opinions/inclinations/affiliations na serikali iwe serikali, hii haiwezekani kwa katiba tuliyonayo leo. Tubadilishieni kwanza katiba na mfumo wa kufanya kazi ndipo mtutake tufanye hayo mnayoyatamani.
Nadhani nimejiweka wazi bila unafiki, sasa tujadili kwa hoja siyo kwa hisia na matusi kama hatukwenda shule vile.
Nawasilisha...