Az 89
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 1,658
- 691
chadema,
ina maana we hujui kuwa Zito ni wa Chama gani mkuu!
chadema,
Huyo Zito wa chama gani mbona mmeandika jimbo tu bila chama ....inakujwaje
Haswa!! wananchi wote wa jimbo la nkenge tuone usaliti huu.Nawaomba wasomi mashujaa wajitokeze kuchukua jimbo kwa tiketi ya CDM,Kamala alituangusha tukaamini maneno ya huyu mama sasa naye mambo yaleyale.Hebu tujaribu upande wa pili.Ninasikitika mbunge wangu wa Nkenge huajasaini. Nasikitika kwa sababu mbunge wangu Asumpta umeamua umeuvua na kuutupa utu, huruma, uzalendo, na upendo wako kwetu, umeamua kuachana na ujasili na umechagua usaliti dhidi yetu sisi masikini tuliomchagua. Mbunge wetu Asumpta umeamua kujiunga na genge la wanyonyaji wa jasho letu, mafisadi wa haki zetu na wakwapuaji wa rasilimali zetu kiasi cha kutusababishia kero na na umasikini wa kutupwa! Mbunge wangu asumta umetugeuza umetutangazia vita sisi wapiga kura masikini, ninakuona sasa umetuelekezea bunduki, mikuki, shoka na mapanga na macho yako yanaashiria roho wa mauti. Mbunge wangu ninakuona mikono yako ikiwa imejawa na damu, ukiwa na wenzako wasiotupenda wala kututhamini sisi tulioenyeka kuwapigia kura. Mbunge wangu Asumpta sasa unatuita ganda la muwa la jana! Sawa. Mbunge wetu Asumpta, hatukubali, sisi masikini wapiga kura wako tutajitetea dhidi ya vita ulivyotutangazia. Mimi nitakuwa Kamanda wa vita ulivyotutangazia wana Nkenge. Sasa nasema, sababu, nia na uwezo tunao wa kupambana na wewe. Naamini nguvu ya umma iliyokupatia ubunge hiyo hiyo ndiyo itakayokuangusha. Kumbuka sauti ya watu ni sauti ya Mungu. Amkeni wana Nkenge!
orodha itumike kuwaadhibu wabunge mavuvuzela nashauri hiyo orodha ihifadhiwe na hao wabunge watambulike kama mashujaa wa karne hii wa tanzania na wapewe heshima ya pekee, pia naomba itafutie title hapa JF isiondolewe kama ilivyo ya dada Regia Mtema RP Tunakusanya kero ......" 2015 itolewe hukumu kwa waliobaki.
nimefurahi watu wameanza kuwaulizia wabunge mbalimbali juu ya kumuunga mkono zitto.Dr Kigwangalla amekuwa mstari Wa mbele katika kupinga ufisadi akianzia kudai mikataba ya Madini, kuwatetea madaktari wenzake. Leo kajificha wapi haonekani kupinga madudu haya ya serikali na wala hatukuona jina lake katika sole saini 70 zilizotakiwa na Zitto. Je ni kweli Ana uchungu na nchi hii au ni dramas? by measkron
Huyo Zito wa chama gani mbona mmeandika jimbo tu bila chama ....inakujwaje