Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,767
- 4,035
:A S-rose:Wana JF,Nilisajili namba yasimu mwaka jana, nilikuwa naakikisha kama namba yangu ya simu - Vadacom imesajiliwa. Nilipopiga *106#, nilishtuka kupata jibu linaniambia kuwa sijasajiliwa.
Nikajaribu kuhulizia wenzangu kama wawili, ni wao pia wlipata ujumbe huohuo japo pia nao walisha sajili. Je hivi ni kweli nambazetu hazijasajiliwa wakati form za kujisajili tunazo?
Sijaangalia mitandao mingine kama ili tatizo lipo kwao.
JAMANI SIKU ZIMEISHI, CHEKINI NAMBA ZENU KAMA ZIMESAJILIWA.:A S-rose:
Nikajaribu kuhulizia wenzangu kama wawili, ni wao pia wlipata ujumbe huohuo japo pia nao walisha sajili. Je hivi ni kweli nambazetu hazijasajiliwa wakati form za kujisajili tunazo?
Sijaangalia mitandao mingine kama ili tatizo lipo kwao.
JAMANI SIKU ZIMEISHI, CHEKINI NAMBA ZENU KAMA ZIMESAJILIWA.:A S-rose: