Ndio hapo nasema vingine ni ngumu kidogo ku-practice but jaribu as much as you can. mfano:Wewe ni kiboko na unastahili kuwa supoer moderator. Big up! Ila kweli mengine hayawezekani in practice. Between nanihiino??? Kitasa kubadili x2 or more kwa mfanyakazi? Kutoka oral kwenda vaginal wakati pressure ziko juu wote wawili wataweza kusubiri???
Ndio hapo nasema vingine ni ngumu kidogo ku-practice but jaribu as much as you can. mfano:
when nanihiini zimeungana too close unaendelea tu but when you have time just do it (when it looks as if mmemaliza, even if later mnashtua tena). Kitasa hicho si unabadili asubuhi, when you are about to leave your house, then tena jioni when you come back , and you keep it overnirght. Sijasema kutoka oral (bacteria za mdomoni hazina shida) nimesema ANAL (for those who are into it)... one has to! no compromise hapo.
Kwa mwanamke:
Kwa mwanaume sijui...
- Tumia intimate gels wakati wakuosha.
- osha zaidi na maji baridi kuliko ya moto.
- mara kwa mara tumia intimate wipes during the day (kama upo ofisini au unasafiri mfano, unaweza kutumia mara 2 au mara 3),
- ukienda haja kubwa au ndogo jifute vizuri mbele kwenda nyuma.
- Kama utaweza, kila uendapo haja tumia maji (pressure) alafu futa vizuri kutoa maji maji. hakikisha maji ya nyuma hayaji mbele in the process... (tricky)
- Vaa chupi za cotton or silk. usitumii sana synthetic material ila kama kuna ambayo imekufurahisha sana make sure ina a cotton piece pale penyewe...
- usitumie deodorant au mafuta sehem hizo, even the 'vaginal' deodorants.
- nyoa vuzi mara kwa mara (at least twice a month), hasa wakati wa period.
- Wakati huo hakikisha unabadilisha towel kila baadaya ya masaa 6 (or less) na kama ni tampon kila baada ya masaa 4 (or less).
- Avoid vaginal sex after anal sex (unless kaosha vizuri vifaa vyake).
- Badilisha chupi mara 2 kwa siku (or more). fua chupi as soon as you remove them, then ukitaka kuzifua tena kwa pamoja later it is fine. usivai chupi bila kuiiga pasi, usichangi chupi ambazo hazija pigwa pasi na zile zilizo pigwa. Usilale bila chupi (if possible)
- Avoid wandering around chupi-less, hasa kama unavaa skirt. Unakaribisha vumbi tu!
- Ukiona dalili yoyote ya fungus pata ushahuri wa daktari, badilisha chupi zote. wakati wa treatment tumia chupi single use (kama utaweza) au zingatia sana masharti ya usafi wa chupi.
- Usifanye mapenzi wakati wa treatment, na ukimaliza treatment hakikisha mpenzi wako has been treated too.
- Use condom (in fact nilitakiwa kuanza na hii)
- Osha sehem za siri kila baada ya kukutana (even between goli)
- Jaribu kutokunywa antibiotic bila sababu, they disturb the eco-balance ya huko chini
- Don't stress yourself with this list, most of it will become a natural routine. some of them are not applicable to you, some are...
ndio hapo nasema vingine ni ngumu kidogo ku-practice but jaribu as much as you can. Mfano:
When nanihiini zimeungana too close unaendelea tu but when you have time just do it (when it looks as if mmemaliza, even if later mnashtua tena). Kitasa hicho si unabadili asubuhi, when you are about to leave your house, then tena jioni when you come back , and you keep it overnirght. Sijasema kutoka oral (bacteria za mdomoni hazina shida) nimesema anal (for those who are into it)... One has to! No compromise hapo.
sijui mwanaume anahitaji usafi au la..
I think ni kweli, tena sio baada ya kufanya mapenzi tu. Mwanamke anatakiwa kujiosha nje na ndani at least mara tatu kwa wiki, na kila baada ya tendo la ndoa.Hongera sana kwa somo zuri limeeleweka! Ila pia huwa nasikia ya kuwa mwanamke hatakiwi kujiosha kwa nje tu baada ya kukutana na mwanaume (yaani baada ya kujamiiana) hata ndani pia anatakiwa kuchokonoa ma sperm ndo anakuwa msafi je hii ni kweli? Naomba dada utufundishe zaidi nami nikawe mwalimu kwenye jamii!