Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,350
Samahani kama hukunielewa, nilimaae 'uchafu' wa ndannisha kuosha kwa kuondoa kabisa uli. Kuosha kwa nje tulisema ni mara 2 kwa siku (at least) ila ukiosha sana huko ndani pia unaharibu balance na ikiwa kwa sababu moja au nyingine unahitajika kukaa zaidi ya masaa 8 bila kuosha utaskia unatoa harufu mbaya sehemu za siri sababu umetoa bacteria fulani ambazo ni muhimu kw kusuppress. Na ndio pia sababu ya kuto tumia intimate gel ndani ya uke, but nje tu. So the balance itakua ni kuosha mara moja kwa siku mbili, unless ulishiriki tendo la ndoa, in which case you have to rince immediately.
nilikuelewa kabisa, but hapo ndio umenichanganya sasa, cjawahi kutoa hiyo harufu mbaya hata cku moja na huwa najisafisha kila niingiapo kuoga....kaka Riwa msaada tafadhali.