Us Green Card Lottery

Ukishinda haulipiwi safari, kwa hiyo safari na taratibu zote gharama ni juu yako. Wakati unajza form yao ya kucheza inabidi uweke jina la mke au mme kama unaye, kwa watoto ni wale under 21 na wengine wanaokutegemea kisheria na wawe chini ya 21.

ukishinda, ni lazima uonyeshe kule marekani nani atakupokea wakati ukifika na ni lazima uwe a hela ya kujikimu, i dont know how much.

Kazi hawakutafutii, wanategemea ukiingia utafikia kwa huyo utayemesema then unaanza kama ni kazi za maboks, unesi. Kazi yeyote utaanza nayo.

US is not heaven, mwanzo wake ukianza kuishi ni lazima ufunge mkanda, sio lelemama, hat kama unayo hiyo Green Card. Nenda kwenye google, then DV LOTTERY au US GOV. utapata muelekeo
 
- Malipo ya safari, DAR to NY nani atalipa
- Malipo ya visa nani atalipa
-Malipo ya nyumba, transport za hapa na pale nani analipa
-Mfano nilikuwa nafanya kazi Dar tuseme eg. Care International kama miaka sita, je wanatambua hili na kunipa kazi equivalent na hiyo.
- Je, nikitaka kujiendeleza naweza kupata sponsor au najisomesha mwenyewe.
-Je, kuna allowances zozote mtu hupata kutoka kwa hao watu wanaoendesha hiyo green card lottery.
sidhani kama unaomba paper alafu wanyamwezi wakupe vitu kama hivyo....msoma madela
Nilishinda DV Lottery miaka kama 10 iliyo pita.
Kabla sijaja majuu nikajitolea kuwaelekeza watu wengi namna ya kucheza, wengi wao walinielewa lakini walikuwa na swali moja kubwa sana.

Ukishinda wanakutumia Tiketi ya ndege?

Nikawauliza anaye taka kwenda America ni wao au ni wewe?

Nikaambiwa Sasa bila Tiketi nitakwendaje na faida yake ni nini? Au unatuficha namna ya kupata tiketi?

Wewe tiketi umepata wapi?
Nikawaeleza namna nilivyo jikusanya na kugharamia safari yangu.

Jibu la mwisho likawa.
Ah! kama ndo hivyo si heri nibaki Bongo tu.

Sasa kama Watanzania walio wengi wana mawazo kama hao nilo kutana nao mimi DV Lottery is not for them.
 
Kuna wimbo mmoja unaongelea "Joker Smoker"

Jamaa aligongea sigara, akapewa sigara, ikatokea hana hata kiberitu nacho akagongea, akaambiwa you are not a smoker, you are a joker smoker.

Sasa hapa watu wakikupa visa ukishindwa nauli au ukitegemea watu wakugharimie nauli wewe si msafiri, utakuwa unatania
 
Thanks Ogah
Kila mara nikiangalia nimegundua kuwa ni wakenya wengi wanaopata hizo greecards, watanzania ni wachache sana, sanasana ni wahindi wanaojiita watanzania ndio wanapata hizo greencards nilikuwa nadhani kuwa labda wao wanatumia ujanja fulani kushinda, any idea?
Hakuna ujanja wowote katika hili,watanzania wengi hatukuwa na mwamko
katika kucheza mchezo huu. Nina mfahamu mtu aliyeenda kimasomo Marekani na akakuta watu wengine wakijaza hizo form enzi hizo ilikwa October 1st hadi October 30th saa 6 mchana mwisho.Huyu ndugu alipofuata masharti mnamo April alipokea barua ikimulisha kuwa yeye ni miongoni mwa watu waliofanikiwa kushinda.
Green card inagharama mara tu unaposhinda lakini ukifanikiwa kuipata maana kushinda haimanishi ndo umepata bado kuna mambo yatakayo fuatia moja wapo ikiwa ni afya,historia yako endapo we si mharifu n.k,
lakini ukufanikiwa kuipata inafaida kubwa mno kwani unapata haki zote za mmarekani isipokuwa kupiga kura "kwani kura ni lazima uwe raia"
 
Wamarekani Wapuuzi kweli.......wameninyima kijani.....kwanza ri nchi lao uchumi sasa hivi si mzuri..
 
Wamarekani Wapuuzi kweli.......wameninyima kijani.....kwanza ri nchi lao uchumi sasa hivi si mzuri..

Inabidi urudi uje tusaidiane kujenga Tanzania yetu. Kama unataka kijani mbona Tanzania kuna miti mingi tu ya kijani. Au kawaombe CCM wakube shati na kijani.
 
Suala la wingi au uchache wa Watanzania wanaoshiriko Green Card Lottery si muhimu, inawezekana WaTz wengi hawataki kushiriki.

Kwani kuna jambo gani la kutufanya WaTz wengi kuikimbia nchi yetu? Hapa bado tuna opportunities nyingi sana za kufanikiwa kuliko kwenda huko USA na kuwa vibarua. Hatuna cha kutukimbiza hapa. Angalia Waethiopia jinsi walivyopata kwa wingi. Inaonekana wengi wameshiriki hiyo Bahati nasibu na wanastahili maana hali ni ngumu sana kwao. Udikteta na uchumi mgumu.

Mkuu,
Kuna wimbo mmoja aliimba yule Mtanzania mwenye asili ya Congo (DRC) Remmy Ongala wenye maneno yaemayo
'...tembea ujionee usingoje kuambiwa, duniani kuna mengi na yote yanakusubiri...'
Ninaimani kabisa kama si wazazi wako basi ni wewe mwenyewe, hakuna anayeishi katika kijiji kile alichozaliwa. Ni waza kabisa at certain time walihamia / ulihamia mahali pengine katika kukabiliana na changamoto mbalimbali.
Kukaa na kuishi nje ya Tanzania pia ni sehemu ambazo binadamu au watanzania wanazichukua kwa ajili ya kupata changamoto za maisha. Leo hii kuna watu ambao si watanzania wanaishi Tanzania na hawana mpango wa kurudi kuishi katika nchi zao. Halikadhalika pia wapo watanzania wanaoishi katika nchi mbalimbali na wengi hawana mpango kabisa kurejea na kuishi Tanzania japokuwa wanaipenda Tanzania.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Matokeo ya DV 2009 hayo hapo. Tanzania ni 298 against 148 mwaka 2007. Kenya more than 4,000!!!!! Wenye nia watume maombi. I wish ningekuwa katika umri unaoniruhusu kuomba (i.e niweze kuacha nilivyoestablish TZ na kazi yangu kwa sasa-wengine wanasubiri mafao ati) !!!! Tizama results chini kwa Africa!!!

AFRICA
ALGERIA
2,205
LIBYA
117
ANGOLA
38
MADAGASCAR
46
BENIN
390
MALAWI
29
BOTSWANA
22
MALI
124
BURKINA FASO
129
MAURITANIA
39
BURUNDI
86
MAURITIUS
62
CAMEROON
3,659
MOROCCO
3,280
CAPE VERDE
9
MOZAMBIQUE
22
CENTRAL AFRICAN REP.
21
NAMIBIA
20
CHAD
27
NIGER
64
COMOROS
6
NIGERIA
6,041
CONGO
1,582
RWANDA
111
CONGO, DEMOCRATIC REPUBLIC OF THE
65
SAO TOME AND PRINCIPE
1
COTE D'IVOIRE
642
SENEGAL
1,160
DJIBOUTI
26
SEYCHELLES
8
EGYPT
4,831
SIERRA LEONE
2,230
EQUATORIAL GUINEA
10
SOMALIA
256
ERITREA
829
SOUTH AFRICA
909
ETHIOPIA
5,200
SUDAN
1,143
GABON
35
SWAZILAND
6
GAMBIA, THE
168
TANZANIA
298
GHANA
7,322
TOGO
956
GUINEA
469
TUNISIA
155
GUINEA-BISSAU
9
UGANDA
433
KENYA
4,307
ZAMBIA
156
LESOTHO
4
ZIMBABWE
242
LIBERIA
3,440
 
Nadhani kuna upendeleo fulani wa baadhi ya nchi, Kenya ikiwa mojawapo. Miaka ya karibuni idadi ya Watanzania wanaoshinda bahati nasibu hii imeanza kuongezeka ukilinganisha na miaka ya nyuma. Lakini ni vizuri kuhakikisha unafuata masharti yote yaliwekwa ili kuhakikisha application yako haiwekwi kapuni.
Braza BAK ntakutafuta kwa ufafanuzi zaidi wa hii kitu. Haya maelezo ya wadau hapa sijaelewa na pia najua kutakuwepo na mabadiliko mengi tu kwa miaka hii.
 
Ngoja nitafute Mkuu kuhusu hii kitu kama nitapata chochote, lakini nina wasiwasi mkubwa huyu Rais wa sasa anaweza kuifutilia mbali ili kupunguza wimbi la wahamiaji. Nakumbuka humu kuna mdada alijaribu miaka michache iliyopita lakini hakufanya mapema akasubiri hadi karibu na deadline. Siku hiyo ya deadline tuma tuma na wewe nadhani kulikuwa na watu wengi sana na ile web site ikaelemewa au ilicrush. Basi akaniomba nami nimsaidie kutuma tulihangaika sana kwa masaa nadhani mawili au matatu mpaka tukafaniwa na alifanikiwa kuwa mmoja wa waliochaguliwa.

Braza BAK ntakutafuta kwa ufafanuzi zaidi wa hii kitu. Haya maelezo ya wadau hapa sijaelewa na pia najua kutakuwepo na mabadiliko mengi tu kwa miaka hii.
 
Ngoja nitafute Mkuu kuhusu hii kitu kama nitapata chochote, lakini nina wasiwasi mkubwa huyu Rais wa sasa anaweza kuifutilia mbali ili kupunguza wimbi la wahamiaji. Nakumbuka humu kuna mdada alijaribu miaka michache iliyopita lakini hakufanya mapema akasubiri hadi karibu na deadline. Siku hiyo ya deadline tuma tuma na wewe nadhani kulikuwa na watu wengi sana na ile web site ikaelemewa au ilicrush. Basi akaniomba nami nimsaidie kutuma tulihangaika sana kwa masaa nadhani mawili au matatu mpaka tukafaniwa na alifanikiwa kuwa mmoja wa waliochaguliwa.

Asante kwa dondoo bro.. Ila kwa sasa hivi nahisi kutakuwepo na mabadiliko mengi sana ya kiutaratibu kulinganisha na miaka ya nyuma... Hebu fanya kucheki utaratibu ukoje now kwanzia hatua za awali. Huyu raisi akiifuta tutamwachia nchi yake ya viwanda na ntajaribu hata nikiwa kama raia wa Madagascar.
 
Mara nyingi hata humu huwa zinawekwa zile link zao, na mara nyingi ambaye huziweka huwa ni MziziMkavu. Ila kwa ushauri wangu ukipata bahati ya kuapply usiweke chochote kile ambacho si cha kweli inaweza kukugharimu ukabaki na majuto. Baadaye nikitulia Mkuu nitatafuta nadhani hii ndiyo miezi au inakaribia ya kutoa link ya kuweza kuapply kwa mwaka 2018, lakini huyu jamaa mpya nina wasi wasi anaweza kuifuta kabisa au kusema weusi wasiruhusiwe kutuma maombi.

Asante kwa dondoo bro.. Ila kwa sasa hivi nahisi kutakuwepo na mabadiliko mengi sana ya kiutaratibu kulinganisha na miaka ya nyuma... Hebu fanya kucheki utaratibu ukoje now kwanzia hatua za awali. Huyu raisi akiifuta tutamwachia nchi yake ya viwanda na ntajaribu hata nikiwa kama raia wa Madagascar.
 
Mara nyingi hata humu huwa zinawekwa zile link zao, na mara nyingi ambaye huziweka huwa ni MziziMkavu. Ila kwa ushauri wangu ukipata bahati ya kuapply usiweke chochote kile ambacho si cha kweli inawe kukugharimu ukabaki na majuto. Baadaye nikitulia Mkuu nitatafuta nadhani hii ndiyo miezi au inakaribia ya kutoa link ya kuweza kuapply kwa mwaka 2018, lakini huyu jamaa mpya nina wasi wasi anaweza kuifuta kabisa au kusema weusi wasiruhusiwe kutuma maombi.
Kikubwa ni kupeana taarifa tu mkuu ASAP, kuhusu kuweka taarifa za uongo siwezi fanya hicho kitu. Always niko serious kwenyw vitu serious na hii kitu nilitaka kushiriki hata mwaka jana ila sikupata mtu wa karibu anaeujua huu mchezo vizuri wa kunielekeza. Mwaka huu acha nataka nijaribu. unavyosema kwamba huyu jamaa anaufuta huu mchezo, hata mimi nna mashaka lakini tusiwe pessimistic kiivyo.
 
Sawa Mkuu kwa jinsi ninavyokusoma humu nakuona ni mtu makini na unayejitambua. Nilitoa tahadhari kutokana na kusema kwamba uko tayari kutumia hata uraia wa Madagascar . Link ndiyo hii hapa chini Mkuu ila usisubiri dakika za mwisho. Ingawaje nimesikia baadhi wanatuma maombi mara chungu nzima ili kuongeza probability ya kupata wenyewe wanadai tuma ombi moja tu. Kwa kuwa gharama zake ni ndogo sana sioni tatizo la kutuma maombi mara nyingi. Kila la heri na baraka Mkuu.

Electronic Diversity Visa Lottery

Kikubwa ni kupeana taarifa tu mkuu ASAP, kuhusu kuweka taarifa za uongo siwezi fanya hicho kitu. Always niko serious kwenyw vitu serious na hii kitu nilitaka kushiriki hata mwaka jana ila sikupata mtu wa karibu anaeujua huu mchezo vizuri wa kunielekeza. Mwaka huu acha nataka nijaribu. unavyosema kwamba huyu jamaa anaufuta huu mchezo, hata mimi nna mashaka lakini tusiwe pessimistic kiivyo.
 
Sawa Mkuu kwa jinsi ninavyokusoma humu nakuona ni mtu makini na unayejitambua. Nilitoa tahadhari kutokana na kusema kwamba uko tayari kutumia hata uraia wa Madagascar . Link ndiyo hii hapa chini Mkuu ila usisubiri dakika za mwisho. Ingawaje nimesikia baadhi wanatuma maombi mara chungu nzima ili kuongeza probability ya kupata wenyewe wanadai tuma ombi moja tu. Kwa kuwa gharama zake ni ndogo sana sioni tatizo la kutuma maombi mara nyingi. Kila la heri na baraka Mkuu.

Electronic Diversity Visa Lottery

Thank you brother BAK for compliment, i'm so overwhelmed, hilo la kutumia uraia wa Madagascar i take as least to consider bro. Hao wanaotuma mara nyingi nyimgi nahisi hata mimi ntawafanya kama wao kama hakuna tatizo lolote... Ngoja nifanye mambo kupitia link hiii nitakuwa nakupa notification kila hatua
 
Thanks Ogah
Kila mara nikiangalia nimegundua kuwa ni wakenya wengi wanaopata hizo greecards, watanzania ni wachache sana, sanasana ni wahindi wanaojiita watanzania ndio wanapata hizo greencards nilikuwa nadhani kuwa labda wao wanatumia ujanja fulani kushinda, any idea?


Watanzania hawachezi kwani wao ni waoga wa kubadilisha mazingira, wamezoea ubabaishaji na kiingereza kwao ni shida sasa waende Marekani kuanza maisha si watapatwa na stress?
 
Back
Top Bottom