Us Green Card Lottery

nazungumzia iliyokwisha chezwa DV-2010.....so matokeo ndio yanaanza kutumwa kwa washindi mwezi huo arifu?
Kuna namba spesheli wanakuwa wamekupa, unaingia kwenye site husika na kuangalia matokeo kuanzia mwezi tajwa hapo juu. kutumiwa matokeo nahisi ni baadaye zaidi.
 
Angalia maelezo hayo hapo chini nimeyatoa kwenye Handout ya DV - 2010,Kwa maana hiyo inaelekea majibu yatakuwa out katika miezi hii kabla ya Oktoba;

50,000 entries will be selected by the Kentucky Consular Center to ensure that all of the available DV visas are issued. However, this also means that there will not be a sufficient number of visas for all those who are initially selected. All applicants who are selected will be informed promptly of their place on the list. Interviews for the DV-2010 program will begin in October 2009. The Kentucky Consular Center will send appointment letters to selected applicants four to six weeks before the scheduled interviews with U.S. consular officers at overseas posts. Each month, visas will be issued to those applicants who are ready for issuance during that month, visa-number availability permitting. Once all of the 50,000 DV visas have been issued, the program will end. In principle, visa numbers could be finished before September 2010. Selected applicants who wish to receive visas must be prepared to act promptly on their cases. Random selection by the Kentucky Consular Center computer as a selectee does not autoThere are 50,000 DV visas available for DV-2010, but more than that number of individuals will be selected. Because it is likely that some of the first 50,000 persons who are selected will not qualify for visas or pursue their cases to visa issuance, more than matically guarantee that you will receive a visa. You must qualify for the visa as well.
Source: DV-2010 Instruction Handout.
 
Ni kweli kwamba ni lazima ukishinda kabla jamaa hawajakupa visa ni lazima wakupime ngoma? Hii inaweza kuwa sababu kuu inayowa discourage wengi.
 
Ni kweli kwamba ni lazima ukishinda kabla jamaa hawajakupa visa ni lazima wakupime ngoma? Hii inaweza kuwa sababu kuu inayowa discourage wengi.

Ni kweli kabla ya kukupa entry visa I-155 ni lazima upimwe UKIMWI na vilevile uoneshe record ya kuwa si criminal.

Pili, itabidi utokee mwenyewe kwa ajili ya identification ubalozini. Mara nyingi ubalozi ukikataa kukupa I-155 maana yake unaishu, vinginevyo huwezi kuikosa.

Hii thread ni ya aina yake nimeona watanzania wameweza kuwapa wengine taarifa ambazo ni very useful. Ningependa kuongezea kuwa nchi ambazo zina nafasi kubwa ya watu wake kushinda DV-Lottery ni zile ambazo hazina wananchi wake wengi katika US. Kwa maana hiyo watanzania kama wanaokidhi vigezo vya kuingia kwenye DV-Lottery watakuwa wengi na form zao kujazwa bila ya makosa ni wazi watakuwa na nafasi kubwa sana ya kupata.

Tatizo ambalo nimeliona ni kuwa wengi wa watanzania wanafanya makosa katika kujaza form na katika picha. Maombi yanayopokelewa duniani kote ni mengi na hayawezi kuchambuliwa kwa mkono, ni computer ndiyo inayofanya kazi. Vigezo vimeshawekwa, computer ina-scan kama hakuna keywords au picha haikidhi matakwa, application yako yenyewe inaongoza kwenye trash bin. Hakuna upendeleo katika DV-Lottery selection process.

Don't forget kuweka keywords katika maombi yako na Picha iwe sahihi.

Yeyote anayehitaji msaada ninaweza kumsaidia bure.
 
Last edited:
Msaada anayejua jamani, kama mtu ni mwanafunzi na umemaliza masomo yako nchi kama USA na ulikuwa unasoma legal. Kama umemaliza na kufanikiwa kupata kazi huko USA, kwa visa vya kuruhusiwa kufanya kazi. Je utafanya process gani ili upate hiyo green card?
 
Msaada anayejua jamani, kama mtu ni mwanafunzi na umemaliza masomo yako nchi kama USA na ulikuwa unasoma legal. Kama umemaliza na kufanikiwa kupata kazi huko USA, kwa visa vya kuruhusiwa kufanya kazi. Je utafanya process gani ili upate hiyo green card?

Hey Pretty....vipi unataka kijani?
 
Msaada anayejua jamani, kama mtu ni mwanafunzi na umemaliza masomo yako nchi kama USA na ulikuwa unasoma legal. Kama umemaliza na kufanikiwa kupata kazi huko USA, kwa visa vya kuruhusiwa kufanya kazi. Je utafanya process gani ili upate hiyo green card?

procedure ile ile kwa waliopo USA na waliopo TZ, unless waliokuajiri wanakuhitaji sana ndio wataku-sponsor (kukusaidia ktika maombi)
 
Suala la wingi au uchache wa Watanzania wanaoshiriko Green Card Lottery si muhimu, inawezekana WaTz wengi hawataki kushiriki.

Kwani kuna jambo gani la kutufanya WaTz wengi kuikimbia nchi yetu? Hapa bado tuna opportunities nyingi sana za kufanikiwa kuliko kwenda huko USA na kuwa vibarua. Hatuna cha kutukimbiza hapa. Angalia Waethiopia jinsi walivyopata kwa wingi. Inaonekana wengi wameshiriki hiyo Bahati nasibu na wanastahili maana hali ni ngumu sana kwao. Udikteta na uchumi mgumu.
 
Je, kama kiingereza hakipandi sawasawa inakuwaje?
Mkuu, Nchi nyingi zinataka watu waweze kuwasiliana kwa lugha za huko kwao ( US ni kiingereza) Na ndiyo maana wanakuwa na programme za kufundisha lugha uwapo huko.
Hii lottery ina lengo la kuweka diversity kwa jamii ya kimarekani sasa kama hujui lugha unafikiri utawasiliana vipi?
 
Jamani asanteni sana kwa info. Jamani mimi nipo nchi za scandnavia ila nilipenda sana kufanya kazi UK au nchi yoyote Europe yenye kutumia kingereza. Anayeweza kunisaidia katika hili ntashukuru sana. Asanteni.
 
Mi nadhani sababu ni moja tu, kwamba sio wa tz wengi wamekuwa wanacheza hii Lottery. ndio maana namba yetu ya washindi sio nzuri. na hii imesababishwa na mambo mengi, 1. Upatikanji wa taarifa ya kwamba lini inachezwa, 2. mbili ni huko kutishana ya kwamba ni lazima upite kwa agent na umlipe usd 50. Suala la picha nalo, nilijaribu kuuliza kupiga hiyo picha kwa qulity inayotakiwa kwenye studio moja pale Mwanza, Nyerere Rd. mtoto wa kihindi akaniambia ni 50,000 per person. nikaja Dar pale Zanaki nikapiga kwa 5,000 tu per person.

Normally applications zinapokelwa kuanzia Oct mpaka Dec every year, so lets spread the infos, so watanzania wengi wacheze. The minimum Education required is high school, Its so easy to play once you have the required photo.
 
Mi nadhani sababu ni moja tu, kwamba sio wa tz wengi wamekuwa wanacheza hii Lottery. ndio maana namba yetu ya washindi sio nzuri. na hii imesababishwa na mambo mengi, 1. Upatikanji wa taarifa ya kwamba lini inachezwa, 2. mbili ni huko kutishana ya kwamba ni lazima upite kwa agent na umlipe usd 50. Suala la picha nalo, nilijaribu kuuliza kupiga hiyo picha kwa qulity inayotakiwa kwenye studio moja pale Mwanza, Nyerere Rd. mtoto wa kihindi akaniambia ni 50,000 per person. nikaja Dar pale Zanaki nikapiga kwa 5,000 tu per person.

Normally applications zinapokelwa kuanzia Oct mpaka Dec every year, so lets spread the infos, so watanzania wengi wacheze. The minimum Education required is high school, Its so easy to play once you have the required photo.

Thank a million times janjaman, i have some few questions to add

- Kwanza kabla ya yote hiyo web page kwangu imekataa kufunguka
- Malipo ya safari, DAR to NY nani atalipa
- Malipo ya visa nani atalipa
- Je nikifika huko kama mimi ni high level education, napata kazi, na inachukua mda gani, na ninafanyaje mpaka niipate kazi.
-Malipo ya nyumba, transport za hapa na pale nani analipa
-Mfano nilikuwa nafanya kazi Dar tuseme eg. Care International kama miaka sita, je wanatambua hili na kunipa kazi equivalent na hiyo.
- Je, nikitaka kujiendeleza naweza kupata sponsor au najisomesha mwenyewe.
-Je, kuna allowances zozote mtu hupata kutoka kwa hao watu wanaoendesha hiyo green card lottery.
-Nina familia mume na watoto ambao ni wa mume, je niipatapo mambo yanakwenda vipi. Au ni watu wepi naruhusiwa kuongozana nao huko Amerika.

Natumaini, haya yatakuwa ni badhii tuu ya maswali ambayo mtanzania yeyote mwenye kupenda maendeleo kama mimi atakuwa akijiiuliza na kupenda kuyajua. Asanteni sana.
 
Msaada anayejua jamani, kama mtu ni mwanafunzi na umemaliza masomo yako nchi kama USA na ulikuwa unasoma legal. Kama umemaliza na kufanikiwa kupata kazi huko USA, kwa visa vya kuruhusiwa kufanya kazi. Je utafanya process gani ili upate hiyo green card?



Kunakitu wanakiita employment based petition. Your employer can file a petition for application for adjustment of status, Form I 140, whose initial entry to the U.S. was legal and those who are qualified under S. 245(i) of the Immigration & Nationality Act which allows the payment of $1000 as penalty for overstaying in the United States.

Kama upo USA call my guys at 1800 LAW LINK, tell them that you are referred by Skwiz or Max.
 
Back
Top Bottom