Us embassy na vioja vya baadhi ya wafanyakazi

Kulikuwa na breakdown ya communication hapo. Walipokupigia simu walikuambia interview itakuwa "Tuesday 2nd May around 11am" which is wrong because tarehe 2 May ilikuwa Jumatatu. Kuna possibilities mbili hapo. Either wewe hukusikia vizuri or aliyekupigia simu alikosea kwa kukusudia au kutokusudia. Aliyekupigia simu alikuwa anaongea Kiingereza chenye accent ya kimarekani au ya kibongo? At the end of the day, only records of the conversation will enable us to know who made the blunder. Lakini kuna issue nyeti zaidi which need to be explored.

Unasema ulipoenda ubalozi walikuambia kuwa interview itakuwa Tuesday 3rd April. Ina maana mwezi mmoja nyuma? Au ulimaanisha Tuesday 3rd May? Whatever the date, pia walikuambia interview itakuwepo kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa 8 mchana. Nilivyoelewa hapo ni kwamba huo ndio muda uliopangwa siku hiyo kwa ajili ya interview. Kila mtu hapo atakuwa alipangiwa muda wake.

Wakati ulipokwenda ubalozini kwa mara ya kwanza kwa nini hukuwaliza pia interview yako itakuwa saa ngapi? Kama tarehe waliokupa mwanzo ilikuwa imekosewa, then it is also likely that muda wako wa interview utakuwa ulikosewa pia. Inaonyesha ulichofanya wewe baada ya kupewa tarehe mpya, ulidhani muda wa interview utakuwa ule ule uliopewa mwanzoni kwenye simu (11am). Kwa nini uliuamini huu muda uliotajiwa mwanzoni kama ni sahihi? Why did you only verify the date but not also the time for the interview? Pia umesema uliambiwa interview intaanza saa "11:15am-12:15am"? Una maana kuanzia saa tano asubuhi mpaka saa sita za usiku? I am lost here.

Na huyo mtu ambaye wanasema aliwasiliana na wewe kukuambia ufike saa 4 asubuhi na kuwa interview itaanza saa 4:15 mpaka saa 5: 15 asubuhi ni yupi? Ni yule aliyekupigia simu au ni yule aliyekupatia tarehe mpya ulipokwenda ubalozini?

My observation ni kwamba kama ulienda ubalozini kuverify tarehe sahihi ya interview (ambayo ulipewa) lakini hukuverify pia muda wa interview (ukidhania kuwa muda uliombiwa mwanzoni kwenye simu ni sahihi) then, you should also carry the blame.

Posts zako nyingine pia zinanichanganya. Umesema kuwa the "Database shows Interview was scheduled from 8pm to 2pm, at the same time at 11:20am. am told they are almost done. At the same time again, i was told i will last for 1hr.i.e. from 11:15am-12:15am" Una maana kuanzia saa mbili usiku mpaka kesho yake saa nane mchana? Hata kama ulikuwa unamaanisha from 8am to 2pm, still huo ndio muda waliokuwa wameutenga kwa ajili ya interview ya watu wote, na sio wewe tuu. Interviews zinawezwa kumalizwa kabla ya muda uliopangwa kulingana na idadi ya interviewees waliohudhuria.

Pia nashangaa watu wanatoa pole tuu bila hata kusoma jinsi mtoa mada anavyojichangaya kwenye posts zake. Kama interview yenyewe ingekuwa na maswali ya kuandika saa kwa kingereza, then kwa mantiki hii sidhani kama ungepita. I am sorry for sounding so cruel but I am responding to what you wrote. Otherwise, you need to clarify what you said above especially the times.
Umejitahidi sana kueleza na mara ya kwanza nilipoanza kusoma niliona unataka kujenga point flan ila mwisho wa cku umeingia chaka MBAYA SANA....Hebu jaribu kusoma tena hiyo thread ya mwenzetu maana huo muda ulipoweka nyekundu haupo, umejitahidi kubumba makosa, binafsi sioni alipotumia AM or PM, katumia saa zote kwa kiswahil, mfano;4 asubuhi..around 11am.... least 15 minutes before time, the interview will last for 1 hrs.....masaa 2....,ipo kuanzia saa 2 asubuhi mpaka 8 mchana.....,saa 5 asubuhi......Baada ya 5 minutes.....ufike saa 4 asubuhi ....saa 4:15 mpaka saa 5: 15 asubuhi...Pengine wewe ndo ukawa una hitaji msaada wa Lugha maana hapo ukitoa hiyo green inayoeleweka piua mm sioni kosa la Sarufi hata kidogo.....Is there any personal Interest au mmepishana mawazo???, SOMA TENA TAFADHALI
 
Umejitahidi sana kueleza na mara ya kwanza nilipoanza kusoma niliona unataka kujenga point flan ila mwisho wa cku umeingia chaka MBAYA SANA....Hebu jaribu kusoma tena hiyo thread ya mwenzetu maana huo muda ulipoweka nyekundu haupo, umejitahidi kubumba makosa, binafsi sioni alipotumia AM or PM, katumia saa zote kwa kiswahil, mfano;4 asubuhi..around 11am.... least 15 minutes before time, the interview will last for 1 hrs.....masaa 2....,ipo kuanzia saa 2 asubuhi mpaka 8 mchana.....,saa 5 asubuhi......Baada ya 5 minutes.....ufike saa 4 asubuhi ....saa 4:15 mpaka saa 5: 15 asubuhi...Pengine wewe ndo ukawa una hitaji msaada wa Lugha maana hapo ukitoa hiyo green inayoeleweka piua mm sioni kosa la Sarufi hata kidogo.....Is there any personal Interest au mmepishana mawazo???, SOMA TENA TAFADHALI

Mkuu soma posts zake zote kwneye hii thread. Naona umesoma ya mwanzo tuu. Kwa mfano this one:

ur absolutely true bro. It's very confusing. Database shows Interview was scheduled from 8pm to 2pm, at the same time at 11:20am am told they are almost done. At the same time again, i was told i will last for 1hr.i.e. from 11:15am-12:15am.....pagumu sana.

Sina personal interests na aliyeanzisha thread. What for? Don't event know him. It was my own observation based on his posts. SOMA POSTS ZAKE ZOTE TAFADHALI.
 
Binafsi sioni wapi hapaeleweki coz hata alicho state hiyo thread ya pili kipo kwenye thread ya kwanza,,,assume kuwa ni typing error maana ujue huyu mtu ts obvious kuwa hakuwa kwenye mood nzuri maana maandalizi yote na kutolala ucku akifikiria ahuweni ya maisha atakayoyapata baada ya kupata hiyo kazi ya U S Embassy halafu hakuona hata room ya interview????...kaka hapa c mchezo hasa ukijaribu kuvaa viatu vyake si mchezo
Mkuu soma posts zake zote kwneye hii thread. Naona umesoma ya mwanzo tuu. Kwa mfano this one:



Sina personal interests interests na aliyeanzisha thread. SOMA POSTS ZAKE ZOTE TAFADHALI
 
Ndugu yangu nilishangaa sana

Mimi nafikiri hukuwa shortlisted, na kuna watu walienda interview ila aliyetuma email alikosea ku copy na kupeste email, wenda alikopy email za walio-apply badala ya waliokuwa shortlisted.

Hata hivyo, ukiona hujapata mahala shukuru Mungu yote yatoka kwake.
 
Jamani naomba mumsamehe ubalozini wamemchanganya na yeye kaja kutuchanganya wowowowo
 
Binafsi sioni wapi hapaeleweki coz hata alicho state hiyo thread ya pili kipo kwenye thread ya kwanza,,,assume kuwa ni typing error maana ujue huyu mtu ts obvious kuwa hakuwa kwenye mood nzuri maana maandalizi yote na kutolala ucku akifikiria ahuweni ya maisha atakayoyapata baada ya kupata hiyo kazi ya U S Embassy halafu hakuona hata room ya interview????...kaka hapa c mchezo hasa ukijaribu kuvaa viatu vyake si mchezo
Kwanini una-asume ni typing error? Huoni vilevile kuna uwezekano kuwa haelewi kiingereza vizuri? hasa Kwenye mambo ya am na pm?
 
Kulikuwa na breakdown ya communication hapo. Walipokupigia simu walikuambia interview itakuwa "Tuesday 2nd May around 11am" which is wrong because tarehe 2 May ilikuwa Jumatatu. Kuna possibilities mbili hapo. Either wewe hukusikia vizuri or aliyekupigia simu alikosea kwa kukusudia au kutokusudia. Aliyekupigia simu alikuwa anaongea Kiingereza chenye accent ya kimarekani au ya kibongo? At the end of the day, only records of the conversation will enable us to know who made the blunder. Lakini kuna issue nyeti zaidi which need to be explored.<br />
<br />
Unasema ulipoenda ubalozi walikuambia kuwa interview itakuwa <font color="red">Tuesday 3rd April.</font> Ina maana mwezi mmoja nyuma? Au ulimaanisha Tuesday 3rd May? Whatever the date, pia walikuambia interview itakuwepo kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa 8 mchana. Nilivyoelewa hapo ni kwamba huo ndio muda uliopangwa siku hiyo kwa ajili ya interview. Kila mtu hapo atakuwa alipangiwa muda wake. <br />
<br />
Wakati ulipokwenda ubalozini kwa mara ya kwanza kwa nini hukuwaliza pia interview yako itakuwa saa ngapi? Kama tarehe waliokupa mwanzo ilikuwa imekosewa, then it is also likely that muda wako wa interview utakuwa ulikosewa pia. Inaonyesha ulichofanya wewe baada ya kupewa tarehe mpya, ulidhani muda wa interview utakuwa ule ule uliopewa mwanzoni kwenye simu (11am). Kwa nini uliuamini huu muda uliotajiwa mwanzoni kama ni sahihi? Why did you only verify the date but not also the time for the interview? Pia umesema uliambiwa interview intaanza saa "<font color="red">11:15am-12:15am</font>"? Una maana kuanzia saa tano asubuhi mpaka saa sita za usiku? I am lost here. <br />
<br />
Na huyo mtu ambaye wanasema aliwasiliana na wewe kukuambia ufike saa 4 asubuhi na kuwa interview itaanza saa 4:15 mpaka saa 5: 15 asubuhi ni yupi? Ni yule aliyekupigia simu au ni yule aliyekupatia tarehe mpya ulipokwenda ubalozini?<br />
<br />
My observation ni kwamba kama ulienda ubalozini kuverify tarehe sahihi ya interview (ambayo ulipewa) lakini hukuverify pia muda wa interview (ukidhania kuwa muda uliombiwa mwanzoni kwenye simu ni sahihi) then, you should also carry the blame. <br />
<br />
Posts zako nyingine pia zinanichanganya. Umesema kuwa the "Database shows Interview was scheduled from <font color="red">8pm to 2pm</font>, at the same time at 11:20am. am told they are almost done. At the same time again, i was told i will last for 1hr.i.e. from <font color="red">11:15am-12:15am</font>" Una maana kuanzia saa mbili usiku mpaka kesho yake saa nane mchana? Hata kama ulikuwa unamaanisha from 8am to 2pm, still huo ndio muda waliokuwa wameutenga kwa ajili ya interview ya watu wote, na sio wewe tuu. Interviews zinawezwa kumalizwa kabla ya muda uliopangwa kulingana na idadi ya interviewees waliohudhuria. <br />
<br />
Pia nashangaa watu wanatoa pole tuu bila hata kusoma jinsi mtoa mada anavyojichangaya kwenye posts zake. Kama interview yenyewe ingekuwa na maswali ya kuandika saa kwa kingereza, then kwa mantiki hii sidhani kama ungepita. I am sorry for sounding so cruel but I am responding to what you wrote. Otherwise, you need to clarify what you said above especially the times.
<br />




Great Analysis and am proud to announce u a man/woman who thinks greatly!!!
I think there was a lack of intelligibility btn the two parties!! I hope the American Accent wasnt the problem,nevertheless giving up is not an option!!!
 
Binafsi sioni wapi hapaeleweki coz hata alicho state hiyo thread ya pili kipo kwenye thread ya kwanza,,,assume kuwa ni typing error maana ujue huyu mtu ts obvious kuwa hakuwa kwenye mood nzuri maana maandalizi yote na kutolala ucku akifikiria ahuweni ya maisha atakayoyapata baada ya kupata hiyo kazi ya U S Embassy halafu hakuona hata room ya interview????...kaka hapa c mchezo hasa ukijaribu kuvaa viatu vyake si mchezo

Imagine ungekuwa ni complainant officer pale ubalozini au hata at an employment tribunal halafu akuletee malalamiko kama alivyoyaweka hapa, ungeanza kwa ku-make assumptions kuwa ni typing errors, kuwa wakati akiandika hayo malalamiko hakuwa kwenye mood nzuri kwa sababu hakulala usiku akifikiria ahuweni ya maisha atakayoyapata baada ya kupata hiyo kazi n.k? Sio kwamba I don't feel for the guy missing the interview, but to make sure that this should not happen again in future interviews. Hayo mambo huwa yanatokea sana and we need to find out why this happen. Kama haya yanaweza kutokea hata kwenye American embassy vipi kwenye taasisi zetu.

Of course kuna kupeana pole lakini tuishie hapo tuu na kulalamika bila ku-find the root cause of the problem? Instead tubase kwenye everyday things that it was a typing error or alikuwa hayuko kwenye hali nzuri wakati akipost? Did s/he actually sit down and reflect what happned and why? Kwa mfano nilitaka afafanue kama alipoenda ubalozi kuverify tarehe ya interview, aliverify pia muda ambao alipangangiwa interview? Kama ali-verify na kuambiwa kuwa interview itakuwa saa tano na robo asubuhi, wakati it was actually saa nne na robo asubuhi then tutajua tatizo liko wapi.

Kama ali-verify tarehe lakini hakufanya hivyo kwenye muda then tutatujua kama naye alichangia. Baada ya hapo ndio unaweza kusuggest solution what should be done in future. Kama tatizo lilikuwa upande wa ubalozi, then next time akiitwa kwenye interview kwa simu then aombe pia a confirmation through an email or a letter. And, of course, hatutajua nini hasa kilitokea unless we the story of the other side as well. Thats why I am not jumping to assumptions or conclusions. But the guy should not be put off from what happened. Atumie what happened today as a motivation for future interviews.
 
Habari wana JF.
Leo nakuja na story hii: Muda huu nikiandika ujumbe huu natoka Ubalozini kwa lengo la kufanya usaili (Interview) wa kazi. Ijumaa ya tarehe 29 April majira ya saa 4 asubuhi nilipokea simu ya kupewa taarifa. Taarifa ilikuwa hivi"
Us Embassy: Are you Mr.....?
Mimi: yes..........
Us Embassy: Did you applied for ......job,
Mimi: Yes i did
Us Embassy: Your required to attend the English language test (interview) on Tuesday 2nd May around 11am, we advise to be there at least 15 minutes before time, the interview will last for 1 hrs.
Mimi: Ok. Thank you and i appreciate for your consideration:

Nilichofanya: Niliandika kwenye Diary yangu kwa kumbukumbu, masaa 2 baada ya simu hiyo nikastuka tarehe na siku vinatofautiana, nikajaribu kupiga simu kupata uhakika tena, bahati mbaya simu haikupatikana. Niliamua kwenda Ubalozini jumatatu kwa malengo mawili, 1. Kuhakiki tarehe, siku na muda. 2. Kama nitakuta kuna interview kwa maana ya tarehe 2 April nitafanya. Nilifika receiption nikaeleza shida yangu na walipoangalia database yao waliona jina langu na nilikuwa scheduled Tuesday 3rd April na wakasema interview ipo kuanzia saa 2 asubuhi mpaka 8 mchana. (Nili note kwamba kama interview ni ya saa 1, basi tutakuwa katika ma group tofauti na mimi nitakuwa kwenye ule muda niliotajiwa tangu mwanzo)

Leo nimekwenda kwa maana ya kuzingatia muda ule wa saa 5 asubuhi. Nimefika hapo nikaambia nimechelewa na wenzangu wanakaribia kumaliza. Nikahoji iweje nimechelewa na muda nilioambiwa ndo huu? na hii si mara yangu ya kwanza kuitwa kwa interview hapa. Wakaomba wacheck then watanipa mrejesho nyuma (Feedback). Baada ya 5 minutes nikaambiwa tunasikitika mtu uliyewasiliana nae anadai alikwambia ufike saa 4 asubuhi na interview itaanza saa 4:15 mpaka saa 5: 15 asubuhi hivyo umechelewa.

Observation:
Nilipoongea na walinzi walionyesha nyuso za mashaka flani, na wakasema kuna wengine wamerudishwa kwa sababu kama hiyo hiyo-kuchelewa. Na walioingia kwa interview ni watu 12 tu.
Swali: Hivi ule uzushi na zengwe tulilozoea huku uswahili kwetu (Private sector i.e. NGOs, Companies, na mpaka serikali) imeshafika mpaka kwa wenzetu? na kama ni hivyo, ni kwa sababu tu wanaofanya kazi huko bado ni watanzania wenzetu au kuna uzembe flani kwa baadhi ya wafanyakazi hapo Ubalozi?
Cheki hiyo nyekundu....
kama interview uliambiwa inaanza saa 2 mpaka saa 8 kwanini hukuenda kabla ya saa 2 asubuhi na ukaamua kwenda saa 5?? I
 
Mkuu soma posts zake zote kwneye hii thread. Naona umesoma ya mwanzo tuu. Kwa mfano this one:



Sina personal interests na aliyeanzisha thread. What for? Don't event know him. It was my own observation based on his posts. SOMA POSTS ZAKE ZOTE TAFADHALI.
Hiyo red ni lugha gani?, ndiyo American English alitakiwa kuelewa wakati annapigiwa simu????, NAOMBA NITANGAZE KUSHINDWA ILI KUEPUKA MSONGAMANO
 
<br />

Great Analysis and am proud to announce u a man/woman who thinks greatly!!!
I think there was a lack of intelligibility btn the two parties!! I hope the American Accent wasnt the problem,nevertheless giving up is not an option!!!

Mkuu sababu yangu ya kuuliza kama aliyempigia simu alikuwa anaongea accent ya kimarekani au ya kibongo sio kwamba nilitaka kujua kama accent ndio iliyoleta problem. Whether or not was the problem, the interviews details should have been verified when s/he went to the embassy. Nilichotaka kujua ni kwamba kama jamaa alikuwa na accent ya kimarekani halafu intentionally akampa tarehe inayo-contradict na siku ili kum-mislead jamaa, then tungejua haya mambo yamefanywa na wamarekani wenyewe. Lakini kama jamaa alikuwa na accent ya kibongo, na akamislead jamaa intentionally then kunawezekana kukawa na mchezo mbaya unaendeshwa pale ubalozini bila wamarekani wenyewe kujua. My intention was just to try to open some lines of inquiries. This is a very serious problem in Tanzania. Kuna shirika la nje lilifungua branch hapa Bongo, basi wabongo wakacheza mchezo mchafu sana kwenye kuajiri. Watu waliajiriwa kwa kutumia majina, CV na vyeti vya applicants wengine ambao ndio walikuwa wana-meet qualifications.
 
Yawezekana pia unamakosa ya kutokuwa makini, kwani interview yako ya kwanza ndiyo hiyo ya kupigiwa simu na ulionyesha udhaifu wa kutokutambua makosa kwa uharaka na kumsahihisha aliyekupigia simu. Ila usikate tamaa riziki yako ipo tu yawezekana Mungu amekuepusha na inshu za ajabu.
 
Umejitahidi sana kueleza na mara ya kwanza nilipoanza kusoma niliona unataka kujenga point flan ila mwisho wa cku umeingia chaka MBAYA SANA....Hebu jaribu kusoma tena hiyo thread ya mwenzetu maana huo muda ulipoweka nyekundu haupo, umejitahidi kubumba makosa, binafsi sioni alipotumia AM or PM, katumia saa zote kwa kiswahil, mfano;4 asubuhi..around 11am.... least 15 minutes before time, the interview will last for 1 hrs.....masaa 2....,ipo kuanzia saa 2 asubuhi mpaka 8 mchana.....,saa 5 asubuhi......Baada ya 5 minutes.....ufike saa 4 asubuhi ....saa 4:15 mpaka saa 5: 15 asubuhi...Pengine wewe ndo ukawa una hitaji msaada wa Lugha maana hapo ukitoa hiyo green inayoeleweka piua mm sioni kosa la Sarufi hata kidogo.....Is there any personal Interest au mmepishana mawazo???, SOMA TENA TAFADHALI

Mkuu nimekusoma vyema kabisa, ni kweli kuna makosa fulani katika kuandika, although kwa mtu makini kabisa anaweza ku-link matukio na anapata maana halisi ya nini nilimaanisha, wewe umeweza ku-notice hizo mistakes coz hicho ndicho ulicholenga kufanya. Ndio maana, nikipitia posts zote mpaka nafika hii yako, ni wewe umeweza ku-notice hicho, na hii haimainishi hao waliopitia hii thread hawako makini la hasha. Anyway bado natambua mchango wako(Kwa kifupi sikufanya editing).
Other thing: Unaposema nimejitahidi kubumba makosa, bado sijakuelewa hata kidogo, otherwise una maana iliyojificha sana hapa.
Correction: The first mistake was the date mentioned by the caller, she was a lady na accent yake ni ya kibongo kabisa, kiingereza cha kawaida sana. Tuesday 2nd May and not Tuesday 2nd April, Usaili wangu utaanza saa 5 na robo asubuhi mpaka saa 6 na robo, hilo ni saa moja kama nilivyoeleza, lakini pia (11:15am to 12:15am sijui kama kuna kipi hakieleweki hapa) nijuavyo mimi saa 6 usiku kwa english ni 00:00am otherwise unielimishe tena.
Mtu aliyeulizwa ni the same peronal aliyenipigia simu. Database ilionyesha muda wa interview utaanza saa 8am to 2pm that is what i meant. Uliamua kutokuelewa tu mkuu.
By then: Kumbuka hii si interview yangu ya kwanza, nimefanya kazi nje ya nchi nimefanya mahojiano na pure English people, nimefanya usaili mwingi tu na watu wa mataifa tofauti, haijawahi kutokea kushindwa kuelewa kile nilichoambiwa. Na US Embassy this is my 2nd interview mkuu. There is something wrong, nimewasiliana na watu flan kwa PM wanaelza yaliyo ndani, na hata mimi personally nilipata doubt on my first interview, pale ambapo interviewee ana interact na Human resource/ mtu anayewafanyia interview na picha inaonyesha ni watu wanafahamiana siku nyngi......inaleta mashaka.
 
Kwanini una-asume ni typing error? Huoni vilevile kuna uwezekano kuwa haelewi kiingereza vizuri? hasa Kwenye mambo ya am na pm?
Kuelewa kiingereza vizuri maana yake ni nini. Ni scale ipi unaitumia kujenga hoja yako hapa. Nisaidie plz sijakusoma mkuu
 
Yawezekana pia unamakosa ya kutokuwa makini, kwani interview yako ya kwanza ndiyo hiyo ya kupigiwa simu na ulionyesha udhaifu wa kutokutambua makosa kwa uharaka na kumsahihisha aliyekupigia simu. Ila usikate tamaa riziki yako ipo tu yawezekana Mungu amekuepusha na inshu za ajabu.
Kama nimekusoma vyema, una maanisha huo nao tayari ulikuwa ni mtihani....Ukweli mkuu nipo kwenye game muda mrefu tu wa kutosha, nimeitwa kwa interview kibao na hata zingine zikiwa ni phone conversation na i did well. Iweje leo tu, wakati huo huo nimeshawahi kuitwa na watu hawa hawa nikafanya nao interview?.
Pia iweje wachelewe watu wengine kama mimi waliokuja on the same interview? Walinzi wamethibitisha hilo.
 
Re: Us embassy na vioja vya baadhi ya wafanyakazi

pole sana mwanamapinduzi,
hebu tuanze kufikiria kujiajiri hata kama hatuna mitaji, tujaribu kufikiria utauza nini ili upate chochote na usivunje sheria,
nchi yetu bado mbichi sana
it is better to start from the scruch .
usifikirie mambo makubwa sana . mfano hebu fikiria azam anauza icecream na anapata hela
hata wewe unaweza uza hata samaki, maandazi, hata mapapai au machungwa na ukatoka haya ni mawazo yangu tu. kamayatakukera
nisamehe ila nachukia sana watu wanavyo nyanyasika maana hata mimi nyamenitokea sana. pole sana.
hili ndilo soko holela.
 
Mkuu nimekusoma vyema kabisa, ni kweli kuna makosa fulani katika kuandika, although kwa mtu makini kabisa anaweza ku-link matukio na anapata maana halisi ya nini nilimaanisha, wewe umeweza ku-notice hizo mistakes coz hicho ndicho ulicholenga kufanya. Ndio maana, nikipitia posts zote mpaka nafika hii yako, ni wewe umeweza ku-notice hicho, na hii haimainishi hao waliopitia hii thread hawako makini la hasha. Anyway bado natambua mchango wako(Kwa kifupi sikufanya editing).
Other thing: Unaposema nimejitahidi kubumba makosa, bado sijakuelewa hata kidogo, otherwise una maana iliyojificha sana hapa.
Correction: The first mistake was the date mentioned by the caller, she was a lady na accent yake ni ya kibongo kabisa, kiingereza cha kawaida sana. Tuesday 2nd May and not Tuesday 2nd April, Usaili wangu utaanza saa 5 na robo asubuhi mpaka saa 6 na robo, hilo ni saa moja kama nilivyoeleza, lakini pia (11:15am to 12:15am sijui kama kuna kipi hakieleweki hapa) nijuavyo mimi saa 6 usiku kwa english ni 00:00am otherwise unielimishe tena.
Mtu aliyeulizwa ni the same peronal aliyenipigia simu. Database ilionyesha muda wa interview utaanza saa 8am to 2pm that is what i meant. Uliamua kutokuelewa tu mkuu.
By then: Kumbuka hii si interview yangu ya kwanza, nimefanya kazi nje ya nchi nimefanya mahojiano na pure English people, nimefanya usaili mwingi tu na watu wa mataifa tofauti, haijawahi kutokea kushindwa kuelewa kile nilichoambiwa. Na US Embassy this is my 2nd interview mkuu. There is something wrong, nimewasiliana na watu flan kwa PM wanaelza yaliyo ndani, na hata mimi personally nilipata doubt on my first interview, pale ambapo interviewee ana interact na Human resource/ mtu anayewafanyia interview na picha inaonyesha ni watu wanafahamiana siku nyngi......inaleta mashaka.

Mkuu naoma nikuulize swali. Ulipogundua kuwa tarehe mbili ilikuwa Jumatatu na sio Jumanne ulienda ubalozini. Wakaangalia database yao wakakuta interview yako ilikuwa scheduled Jumanne 3rd May. Pia kama ulivyosema walikuambia kuwa interviews zitakuwa kuanzia saa 2 asubuhi mpaka 8 mchana. Je, uliwauliza interview yako itakuwa saa ngapi? Kama uliwauliza walikujibu itakuwa saa ngapi?

Hapo kwenye red unaposema 11:15am to 12:15am kuna tofauti ya zaidi ya saa moja hapo. Saa 6 usiku kwa English ni 00:00am kama umeset clock kwenye 24-hour format. Lakini kama umeset clock to 12-hour format then saa sita usiku itakuwa 12.00am.
 
Pls mwana mapinduzi,msamehe bure huyo bwana,Heb naomba ni PM na mimi nijue za ndani please ila mda mwingine nisisumbuke mana nakuaga so anxious ku apply sehemu hio
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom