Habari Watanzania wenzangu!
Wakubwa Poleni na majukumu, kijana wenu nimekuja kupitia forum hii kujaribu kutafuta fursa ya kazi au intern ambayo itanisaidia angalau nisikae vijiweni na kuzurura mtaani!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, nimehitimu Shahada ya Uchumi mwaka 2021, naishi Dar es Salaam, nimejaribu sana kuomba kazi bila mafanikio, nimefanya process zote za Taesa hadi interview huu ni mwezi wa 5 bila kupigiwa simu, nimesambaza sana CV bila mafanikio mpaka inafika muda nakosa matumaini, ukizingatia hali ya uchumi wa familia si shwari kiasi kupata mtaji changamoto.
Natanguliza shukrani kwa wote watakaoguswa na Mungu awabariki!
Napatikana kwa namba hii 0716306180.
NB: Nipo tayari kufanya kazi nyingine yoyote iliyo halali.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI AFRIKA!
Wakubwa Poleni na majukumu, kijana wenu nimekuja kupitia forum hii kujaribu kutafuta fursa ya kazi au intern ambayo itanisaidia angalau nisikae vijiweni na kuzurura mtaani!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, nimehitimu Shahada ya Uchumi mwaka 2021, naishi Dar es Salaam, nimejaribu sana kuomba kazi bila mafanikio, nimefanya process zote za Taesa hadi interview huu ni mwezi wa 5 bila kupigiwa simu, nimesambaza sana CV bila mafanikio mpaka inafika muda nakosa matumaini, ukizingatia hali ya uchumi wa familia si shwari kiasi kupata mtaji changamoto.
Natanguliza shukrani kwa wote watakaoguswa na Mungu awabariki!
Napatikana kwa namba hii 0716306180.
NB: Nipo tayari kufanya kazi nyingine yoyote iliyo halali.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI AFRIKA!