KasomaJr
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 367
- 139
Habari wana JF.
Leo nakuja na story hii: Muda huu nikiandika ujumbe huu natoka Ubalozini kwa lengo la kufanya usaili (Interview) wa kazi. Ijumaa ya tarehe 29 April majira ya saa 4 asubuhi nilipokea simu ya kupewa taarifa. Taarifa ilikuwa hivi"
Us Embassy: Are you Mr.....?
Mimi: yes..........
Us Embassy: Did you applied for ......job,
Mimi: Yes i did
Us Embassy: Your required to attend the English language test (interview) on Tuesday 2nd May around 11am, we advise to be there at least 15 minutes before time, the interview will last for 1 hrs.
Mimi: Ok. Thank you and i appreciate for your consideration:
Nilichofanya: Niliandika kwenye Diary yangu kwa kumbukumbu, masaa 2 baada ya simu hiyo nikastuka tarehe na siku vinatofautiana, nikajaribu kupiga simu kupata uhakika tena, bahati mbaya simu haikupatikana. Niliamua kwenda Ubalozini jumatatu kwa malengo mawili, 1. Kuhakiki tarehe, siku na muda. 2. Kama nitakuta kuna interview kwa maana ya tarehe 2 April nitafanya. Nilifika receiption nikaeleza shida yangu na walipoangalia database yao waliona jina langu na nilikuwa scheduled Tuesday 3rd April na wakasema interview ipo kuanzia saa 2 asubuhi mpaka 8 mchana. (Nili note kwamba kama interview ni ya saa 1, basi tutakuwa katika ma group tofauti na mimi nitakuwa kwenye ule muda niliotajiwa tangu mwanzo)
Leo nimekwenda kwa maana ya kuzingatia muda ule wa saa 5 asubuhi. Nimefika hapo nikaambia nimechelewa na wenzangu wanakaribia kumaliza. Nikahoji iweje nimechelewa na muda nilioambiwa ndo huu? na hii si mara yangu ya kwanza kuitwa kwa interview hapa. Wakaomba wacheck then watanipa mrejesho nyuma (Feedback). Baada ya 5 minutes nikaambiwa tunasikitika mtu uliyewasiliana nae anadai alikwambia ufike saa 4 asubuhi na interview itaanza saa 4:15 mpaka saa 5: 15 asubuhi hivyo umechelewa.
Observation:
Nilipoongea na walinzi walionyesha nyuso za mashaka flani, na wakasema kuna wengine wamerudishwa kwa sababu kama hiyo hiyo-kuchelewa. Na walioingia kwa interview ni watu 12 tu.
Swali: Hivi ule uzushi na zengwe tulilozoea huku uswahili kwetu (Private sector i.e. NGOs, Companies, na mpaka serikali) imeshafika mpaka kwa wenzetu? na kama ni hivyo, ni kwa sababu tu wanaofanya kazi huko bado ni watanzania wenzetu au kuna uzembe flani kwa baadhi ya wafanyakazi hapo Ubalozi?
Leo nakuja na story hii: Muda huu nikiandika ujumbe huu natoka Ubalozini kwa lengo la kufanya usaili (Interview) wa kazi. Ijumaa ya tarehe 29 April majira ya saa 4 asubuhi nilipokea simu ya kupewa taarifa. Taarifa ilikuwa hivi"
Us Embassy: Are you Mr.....?
Mimi: yes..........
Us Embassy: Did you applied for ......job,
Mimi: Yes i did
Us Embassy: Your required to attend the English language test (interview) on Tuesday 2nd May around 11am, we advise to be there at least 15 minutes before time, the interview will last for 1 hrs.
Mimi: Ok. Thank you and i appreciate for your consideration:
Nilichofanya: Niliandika kwenye Diary yangu kwa kumbukumbu, masaa 2 baada ya simu hiyo nikastuka tarehe na siku vinatofautiana, nikajaribu kupiga simu kupata uhakika tena, bahati mbaya simu haikupatikana. Niliamua kwenda Ubalozini jumatatu kwa malengo mawili, 1. Kuhakiki tarehe, siku na muda. 2. Kama nitakuta kuna interview kwa maana ya tarehe 2 April nitafanya. Nilifika receiption nikaeleza shida yangu na walipoangalia database yao waliona jina langu na nilikuwa scheduled Tuesday 3rd April na wakasema interview ipo kuanzia saa 2 asubuhi mpaka 8 mchana. (Nili note kwamba kama interview ni ya saa 1, basi tutakuwa katika ma group tofauti na mimi nitakuwa kwenye ule muda niliotajiwa tangu mwanzo)
Leo nimekwenda kwa maana ya kuzingatia muda ule wa saa 5 asubuhi. Nimefika hapo nikaambia nimechelewa na wenzangu wanakaribia kumaliza. Nikahoji iweje nimechelewa na muda nilioambiwa ndo huu? na hii si mara yangu ya kwanza kuitwa kwa interview hapa. Wakaomba wacheck then watanipa mrejesho nyuma (Feedback). Baada ya 5 minutes nikaambiwa tunasikitika mtu uliyewasiliana nae anadai alikwambia ufike saa 4 asubuhi na interview itaanza saa 4:15 mpaka saa 5: 15 asubuhi hivyo umechelewa.
Observation:
Nilipoongea na walinzi walionyesha nyuso za mashaka flani, na wakasema kuna wengine wamerudishwa kwa sababu kama hiyo hiyo-kuchelewa. Na walioingia kwa interview ni watu 12 tu.
Swali: Hivi ule uzushi na zengwe tulilozoea huku uswahili kwetu (Private sector i.e. NGOs, Companies, na mpaka serikali) imeshafika mpaka kwa wenzetu? na kama ni hivyo, ni kwa sababu tu wanaofanya kazi huko bado ni watanzania wenzetu au kuna uzembe flani kwa baadhi ya wafanyakazi hapo Ubalozi?