Jamani naombeni msaada jinsi ya kufika Us embassy nikitokea mwenge. Nishuke kituo gani. Please help
Shuka moroco jengo la airtel ukifika stand hapo uliza hao machinga watakuambia fuata hyo barabara inaenda drive inn utaona jengo la zantel unaenda njia ya kulia na si moja kwa moja hapo mbele utaona jengo zuri ndio hapo hapo!