Haji Mashaka Nassoro
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 381
- 835
Wataalamu naombeni msaada wa kunielekeza jinsi ya kubadilisha ID hii ninayotumia JF "siopoa nikifunguka kudakwa na Wakuda njenje"
Fungua ID mpya kama hujiamini na hiiWataalamu naombeni msaada wa kunielekeza jinsi ya kubadilisha ID hii ninayotumia JF "siopoa nikifunguka kudakwa na Wakuda njenje"
Mkuu mimi sio mwanasiasa kung'olewa meno bila ganzi simchezoJifunze kwa hawa wenzako akina Mdude_Nyagali! Wanafungua turbo kupitia majina yao halisi, na hawaogopi chochote!
Hii nchi kwa hapa tulipofikia inahitaji watu wenye ujasiri! Na siyo watu waoga, au wale wa kusifia kila kitu.
Mkuu Mshana Jr: shukrani