jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 5,843
- 7,758
Hivi Waziri wa Katiba na Sheria nae yumo humu!!??Aisee Dr.nime appreciate......that's Bravo...you cut the cake....hapan'shaka na wengine wataiga mfano.
Hivi Waziri wa Katiba na Sheria nae yumo humu!!??Aisee Dr.nime appreciate......that's Bravo...you cut the cake....hapan'shaka na wengine wataiga mfano.
Mbuzi kafia kwa muuza supu🤣🤣🤣.Baba mchungaji huna namba ya waziri Gwajima wa jinsia,wanawake, watoto nikupatie
Mawaziri, Makatibu wakuu , maji nk...... Kila mwenye fom6 yupo jf.Hivi Waziri wa Katiba na Sheria nae yumo humu!!??
Gwajima.Ahsanteni sana Wadau wa JF kwa taarifa hii. Huu ndiyo ushirikiano wa jamii tunaohitaji. Tunashughulikia. Ahsanteni kwa mawasiliano ya namba ya simu.
Hoja hapa ni lalamiko la mleta maada kua Binti analazimishwa kuolewa bila ridhaa yake na Wazazi wake! Binti asikilizwe kwanza Kama hataki kuolewa, anataka nini!!??Gwajima.
Kwa mfano binti ww umri wa chini ya miaka 18 kaona elimu haina maana kwake na karidhia kuolewa sheria inasemaje?
Kumbe kuna waheshimiwa humu, kuanzia leo siongei ujinga tena
Siyo mnyiramba!?..au utani wa makabila kwa mawaziri haustahiki!?
Said, ahsante kwa swali lako, kifupi ni kwamba; siyo haki kumlazimisha yeyote yule kufanya jambo la kuhusu maisha yake ambalo yeye anaona hayuko tayari. Ndoa ni taasisi ya maridhiano siyo lazima, vinginevyo kinachoandaliwa hapo ni maisha ya kukatiliana tu kuanzia wanandoa hadi watoto iwapo watajaliwa kuwa nao. Ana haki ya kulalamika huyu iwapo amelazimishwa na Serikali ina wajibu wa kumsikiliza. Ahsante.Gwajima.
Kwa mfano binti ww umri wa chini ya miaka 18 kaona elimu haina maana kwake na karidhia kuolewa sheria inasemaje?
Itapendeza urudi kutupa mrejesho mhShukrani nimewasiliana na chanzo cha taarifa,
Ndio umejua leo...umechelewa, viongozi wengi akiwemo Sa100 (alikiri mwenyewe) huwa wanaripoti hapa jf kwa akaunti zisizojulikana!!!.Hata Mimi nimejishtukia balaaa.
#YNWA
Uwe wajikita kwenye mada husika. nyinyi ndo sababu huwa mada hazijibiwiKumbe upo humu mama? Ukimaliza kumuokoa huyo binti, uje huku tuokoe bandari.
TUNAOMBA MREJESHO, ULIFANIKIWA AU VIONGOZI WALIMEZEA?Binti wa miaka 16 anaitwa Recho, yuko kijiji cha NITU, wilaya ya LAELA, Mkoa wa Rukwa.
Ameozeshwa kwa kulazimishwa na wazazi wake pamoja na kaka zake, ambao wamechukua mahari ya shilingi 700,000, tena ameozeshwa kwa mzee kama mke wa pili.
Huyo binti yeye hataki kuolewa na kwa sasa ametoroka, yupo nyumbani kwa mchungaji amejificha. Namba ya mchungaji alipo binti ni 0629 518702, mchungaji anaitwa Baba Irene. Huyu binti anahitaji msaada wa haraka sana, aokolewe kutoka katika hili janga.
Viongozi wa kijiji husika hawana msaada katika hili, kwani wao wanaona ni jambo la kawaida, wameshazoea mabinti huko huwa wanaozeshwa kilazima tu, wala si jambo la kushangaza.
NAOMBA SERIKALI IMSAIDIE HUYU BINTI.
Asilete hadharani wataniane huko hata sisi tumesoma na waheshimiwa lakini siwezi kumfanyia utani mbele za watu mkuuLabda wanajuwana na walisoma wote kuanzia primary hadi secondary,Sasa yale majokes ya shuleni bado anayaendeleza hadi utuzimani!!
Sipangiwi!Uwe wajikita kwenye mada husika. nyinyi ndo sababu huwa mada hazijibiwi
Wewe una akili sana. Hongera kwa kujitambua. Wengine hata angekuwemo Rais kama Rais bado wangezidisha ujinga wao.Kumbe kuna waheshimiwa humu, kuanzia leo siongei ujinga tena
Kile face book wanatukanagwa hao viongozi wenu mpaka basi. Mamia ya vijana huwatukana, sasa watawafunga wangapi?Wewe una akili sana. Hongera kwa kujitambua. Wengine hata angekuwemo Rais kama Rais bado wangezidisha ujinga wao.