Urembo wa nywele za wanawake na haiba yake katika mahusiano

Siku moja mwaka jana tulikuwa tunapewa branded Tshirts & Caps kazini. Tulipokuwa tunajaribu kuzivaa basi dada mmoja 'wig' lake likachomoka na kudondoka chini. Hicho kituko cha nywele kichwani mwake! ilikuwa kali ya mwaka. Bonge la aibu. Zilikuwa hazijafanyiwa 'care' yoyote (si alipanga kuvaa hilo wigi?).

Yeye mwenyewe akasema 'masikini nimeaibika! naonekana kama kichaa'.

Akina mama/dada watengeneze nywele zao halisi tu kiaina... watatoka bomba...
 
Kweli mwana hata mimi napendelea sana mwanamke mwenye nywele zake za asili, haya mengine yananyofoka
na usipokuwa makini yanaweza kuingia kinywani. big up!!!!!
 
mwanamke wig bwanaaa....

tena siku hizi kuna hizo wanaita lace wigs,shurti unatoka kama beyonce banaa!

mnh usuke mabutu utoke kama mrs lawino,inahusuuuuu


acheni kuwa conservatives!
umenifurahisha sana umenikumbusha O Level kipindi kile Jitegemee duh nimewakumbuka wengi sana wengine sasa hv uwauza mili yao,waizi kwahiyo hiyo kutosikia la mkuu...
 
Is it easy to maintain fake hair? C'mon on now....just a few days ago this one girl told me she wants to workout so she can tone (whatever that is) but she doesn't want to sweat coz that's gonna mess up her hair...

I think every week or every other week she goes to get her hair done (and yes it's treated with a whole bunch of chemicals)....so how easy is that?
I don't know why u r calling it fake... when I wrote that post my mind was on hair straightening I wouldn't call it fake because at the end its my hair but I am doing treatment that make my hair straight, smooth and easy to maintain...this treatment is repeated after every 6 or 8 months... i guess she is just lazy to maintain her hair or dont wanna workout...

I donno that girl what kind of treatment she is using but I guess she is just getting her hair done like blow dry or setting...normally they dont use any chemicals every two weeks....... u know what for us (women) visiting hairdresser once in a week is a treat... This is how we enjoy our time by getting our hair, nails, eyebrows done, while you men are busy watching football

Anyway may be am not much of a naturale girl but nikitizama hiyo picha nahisi huyo mdada anamtu wa kumsuka and she has spent not less than 30-60 minutes to get her hair done.
 
Na B atakuwa wapi? kubeba boksi?

jamani kwani vibaya kwenda vekesheni na shemeji?

B yeye anakukuruka na maboksi huko, mimi nina stress za hotuba ya muhishimiwa jana, acha tu niende na shem Ikwiriri nikaangalie mamba huko
 
waache wachome mahindi Fab

that doesnt stop us from looking fabulous wit 'fake' hair (lol)

I do keep mine clean though....tena kwa manufaa yangu binafsi!!!
Fab unajua kun ayale feki na mengine orijino? feki bana mtu ni kama kasukia katani kichwani lol!!!!!!!!!!!!
..bht, kuwa mkweli mwanakwetu hivi kusingekuwa na wanaume mngevaa mawigi kwa ajili gani sasa?? Mi naamini mnachokiangalia nyie dada zetu ni muenekano wa kuvutia kwanza kwa wanaume then kama kuna wanawake wenzio wataka-kuadmire ni secondary . Lakini nakwenda mbali zaidi kusema kuwa huenda kuna lack of confidence miongoni mwa akina dada na wamama wanaopenda kuweka mawigi. Ukiwa na confidence na vile ulivyo hutahitaji wigi. Kwa kweli utadhani wale askari waliokuwa front line kule kagera....
 
..bht, kuwa mkweli mwanakwetu hivi kusingekuwa na wanaume mngevaa mawigi kwa ajili gani sasa?? Mi naamini mnachokiangalia nyie dada zetu ni muenekano wa kuvutia kwanza kwa wanaume then kama kuna wanawake wenzio wataka-kuadmire ni secondary . Lakini nakwenda mbali zaidi kusema kuwa huenda kuna lack of confidence miongoni mwa akina dada na wamama wanaopenda kuweka mawigi. Ukiwa na confidence na vile ulivyo hutahitaji wigi. Kwa kweli utadhani wale askari waliokuwa front line kule kagera....

mie ndo maana wakati mwingine huwa nahisi kuna sifa nyingine za kike sina mwanakwetu....

mimi navaa niiridhishe nafsi yangu kwanza, that is primary!! however I dress/do my hair nataka niwe comfortable, confident and decent!! I can go with my own natural hair au nisuke rasta au weave for a change.

that is me bwana Sajenti..............
 
Tukitoka Ikwiriri tutaenda Nagorno-Karabakh halafu tutaunganisha juu kwa juu hadi Nippon....

yaani NN nipo zaidi ya tayari kwa safari zoooooote ulizopanga. I cant wait to explore places!!
 
mie ndo maana wakati mwingine huwa nahisi kuna sifa nyingine za kike sina mwanakwetu....

mimi navaa niiridhishe nafsi yangu kwanza, that is primary!! however I dress/do my hair nataka niwe comfortable, confident and decent!! I can go with my own natural hair au nisuke rasta au weave for a change.

that is me bwana Sajenti..............
..Sawa bht, nikionacho mimi hili la kuwa na nywele natural si wanawake wengi wanaweza kuwa hivyo wakati wote. Kwa mfano kuna dada mmoja nafanya nae kazi ofisi moja. wakati alipoanza kazi kwenye hii ofisi huwezi kuamini alikuja na nywele zake natural, rangi ya ngozi ni nyororo black ( demu mweusi anang'aa kama jongoo) kwa kweli nilikuwa mtu wa kwanza kumtokea..

Ndani ya mahusiano yetu kwa karibu mwaka mmoja kuna siku tukawa tumetoka tunaenda kwenye party so akaniomba nimpitie kwake kwani alipotoka kazini alipitia salon kutengeneza nywele. Huwezi kuamini nilichokuta sikumuelewa. Amevaa wigi nikamuuliza sweet kulikoni huko kichwani? akadai kuwa na yeye anakwenda na wakati kwani ni kawaida tu kwa mwanamke kuvaa wigi siku hizi..Nilikuwa mkimya njia nzima, wakati na baada ya party. Na siku hiyo kwa mara ya kwanza nilikataa kulala naye. alinishangaa lakini nilimshauri kuwa akiwa na nywele zake natural mi nampenda kuliko maelezo.

Kwa hiyo siku hizi ananivizia kama niko safari kikazi mkoa au nje ya nchi kwa muda mrefu ndio anaweka. Sielewei kwa nini hajiamini katika kile alichonacho....

Kwa hiyo nyie wanawake mara nyingi mnakuwa influenced na external forces....e.g. maneno, mitazamo etc.
 
Back
Top Bottom