Halafu nyie mnasahau how difficult to maintain that naturale hair...
Halafu haya manywele ya bandia kama mtumiaji siyo msafi, huwa yananuka kweli kweli.
Is it easy to maintain fake hair? C'mon on now....just a few days ago this one girl told me she wants to workout so she can tone (whatever that is) but she doesn't want to sweat coz that's gonna mess up her hair...
I think every week or every other week she goes to get her hair done (and yes it's treated with a whole bunch of chemicals)....so how easy is that?
Mwana umegonga kunako, siku moja nusura nitapike katika daladala tulikuwa tumeshonana alafu bidada ndio yuko usoni kwaku, balaa
hahaha pole nadhani hiyo ilikuwa zazuuuuuu..
Lol....hivi bado watu wanaweka zazuuuu? Halafu kwanza zazuuu ni nini? inafanya nywele ziweje? nakumbuka miaka ya 80 zazuu ilikuwa kwenye chati sana....
nijuavyo mimi nywele za bandia ni kwa ajili ya watu wenye ulemavu wa nywele za kichwani, mfano kuna watu wengine hawana nywele kichwani sehemu zote.halafu haya manywele ya bandia kama mtumiaji siyo msafi, huwa yananuka kweli kweli.
mwanamke wig bwanaaa....
tena siku hizi kuna hizo wanaita lace wigs,shurti unatoka kama beyonce banaa!
mnh usuke mabutu utoke kama mrs lawino,inahusuuuuu
acheni kuwa conservatives!
I do keep mine clean though....tena kwa manufaa yangu binafsi!!!
Fab unajua kun ayale feki na mengine orijino? feki bana mtu ni kama kasukia katani kichwani lol!!!!!!!!!!!!
Kheeee...shem kumbe na wewe una lace front eeeh...au una weave....au ndio kitu hicho hicho...?
FL1Hizo nywele zimewekwa karikiti ndio zikasukwa pole sana Boss..
saita!thank you soooo much...we luv you too
konichua.....arigato