Mwana wa Mungu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2008
- 1,003
- 83
suala ni hili,kwanini wahalifu wapigwe bunduki? askari wetu wanapiga bunduki wananchi wetu ili kulinda wanyama?kwanini wasikamatwe na kupelekwa mahakamani? kama wamefanya hili, hakika yake Mungu na awalipe waaibike na Mungu atukomboe watz toka kwenye selikali ya aina hii. kwa wale msiojua, mimi nimezaliwa na kukulia eneo ambalo badaye lilikuja kuwa declared kuwa mbuga ya wanyama, huwa kuna kuwa na manyanyaso ya ajabu, binadamu wananyimbwa ardhi ili wanyama wakae vizuri.