Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,515
- 52,168
- Thread starter
- #41
Toka sayari hii hii iitwayo Dunia au ?
Dunia hiihii.
Endelea kutafuta. Dunia inamahitaji yako yote. Ni wewe tuu
Toka sayari hii hii iitwayo Dunia au ?
Naendelea kutafafuta PesaEndelea kutafuta
Unajidanganya!!!
Upo wakati utaelewa na kujishangaa kwa huu utoto,muda ndiyo mwalimu.
Zingatia hapo kwenye bold kubwa.Mimi Sipigwi
Unajifariji tu,mimi hapana,
nna options kadhaa za kutoa huo upweke, kucheza GTA-5, kwenda Tabata kubarizi ki-maakuli, nk
ila siyo kutegemea kiumbe KE ambaye anatumia pesa zangu
siyo kwa wanawake hawa wa sasa ambao ni wezi, majambazi na ni matapeliwalioishi pamoja wewe nani uwaone hawana akili?
Davis ambaye hakuwa mpweke kaishia kupigwa dolari kadhaa na hao majambazimpweke
Naendelea kutafafuta Pesa
Siyo Binadam wa kumnunua, kumfuga na kutumia pesa zangu
kazi unaitafsiri vipiKiasili binadamu hajaumbwa kufanya kazi.
Ila upendo kiasili upo kwa kila kiumbe.
Hakuna ambaye hataki kupendwa.
Upendo ukikosa upweke upo automatically.
Ila unaweza kosa kazi na usiwe mpweke.
Ndio maana wapo watoto wadogo hawafanyi kazi na wazee hawafanyi kazi lakini hiyo haimaanishi wapo wapweke. Ila wakikosa wanaowapenda automatically upweke unabisha hodi.
Ukiingia maisha ya msanii wakati wewe ni raia wa kawaida huu mfano ni illogical,jiishi wewe mwenyewe,fanya wewe mwenyewe.siyo kwa wanawake hawa wa sasa ambao ni wezi, majambazi na ni matapeli
na wajinga pekee ndiyo watapigwa, siyo mimi
rejea story ya msanii wa Nigeria, Ibu
bado hamjifunzi ?
Wewe ni mchoyo na mwoga wa MAISHA.rekebisha, sema sina Tapeli
PS: Siendagi bichi
mimi ntakuwa mwanaume wa mwisho kabisa duniani kupigwa na kiumbe aitwaye KEWapo wanawake wenye pesa zaidi yako ambao huwezi kuwanunua.
Na pia wapo ambao wanamtizamo wa upendo kwa wenza wao.
Najua umeathirika kisaikolojia kutokana na vitasa vya Wadada Wabinafsi ambao ndio wengi(zaidi ya 90%) ni matapeli.
Wao wanataka tuu kunyonya lakini hawataki kunyonywa.
Hayo majizi yakimbie tuu.
Hata huku JF ambako wanasema kuna GT lakini ukiangalia mitazamo ya wanaume na wanawake yote imekaa kitapeli
Angalia wanawake wa humu. Yaani kitu limeenda shule lakini bado linaakili za Watu wa gizani
kazi unaitafsiri vipi
unasema binadamu hajaumbwa kufanya shuhuliShughuli yoyote halali inayokuingizia kipato.
mimi ntakuwa mwanaume wa mwisho kabisa duniani kupigwa na kiumbe aitwaye KE
kuelekezwa kutapeliwa ? Hell Notunaelekezana tu.
unasema binadamu hajaumbwa kufanya shuhuli
hao viumbe wakajarib kwingine, siyo kwanguKama utafanikiwa kuyakimbia matapeli lakini. Mwombe Mungu maana mengine huja yamevaa ngozi ya kondoo.
Alafu unaingizwa mkenge, wanasema ndege mjanja hunaswa kwenye mtego wa mchongo (tundu bovu)
asili ipi unaizungumziaKiasili binadamu hajaumbwa kufanya kazi.
Ndio maana kwa wengi kazi ni kujilazimisha. Kama binadamu angekuwa hasikii njaa wala asingefanya kazi