Upungufu wa walimu shule za serikali.

G_crisis

JF-Expert Member
Jun 19, 2011
723
244
Tatizo la upungufu wa walimu hapa nchini hususani shule za serikali linapelekea wanafunzi wengi hasa watoto wa wakulima kutofanya vizuri katika masomo yao na kuishia kufeli vibaya.

Serikali imekuwa ikitumia gharama kubwa kuwasomesha walimu katika ngazi tofauti kwa kutumia kodi za Watanzania lakini Walimu hao baada ya kuhitimu wengi wao wanakimbilia taasisi binafsi na kughairi kuwajibika katika shule zetu hizi(kayumba)

Wewe kama GREAT THINKER unafikiri nini kifanyike ili tatizo hili lipate ufumbuzi???

Nawakilisha mada.
 
Walipwe mishahara mizuri na wapatiwe mahitaji muhimu. Walimu ndo chanzo cha kila ki2 duniani.
 
Serikali iwaulize wenye shule binafsi kua hua inawafanyia nini waalimu mpaka wakimbilie huko!halaf serikali nayo iwafanyie hivohivo walim wake!
 
MASLAHI MKUU SERIKALINI NJAA TU! Mi mwenyewe mwalimu lakini nawaza kukimbia fani.
 
Serikali iwaulize wenye shule binafsi kua hua inawafanyia nini waalimu mpaka wakimbilie huko!halaf serikali nayo iwafanyie hivohivo walim wake!
<br />
<br />
Sisi tunajenga shule zetu mijini, tuna install computers, mishahara minono, n.k.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Sisi tunajenga shule zetu mijini, tuna install computers, mishahara minono, n.k.

kama ni hv maskini wataendelea kuwa maskini kama gvt itaendelea kuchapa usingizi
 
Back
Top Bottom