Jiulize wewe kwani muhongo alikuwepo wakati watu wanatengeneza mchongo wa escrow? Si alikuta watu wanagawana tu mbona aliwajibishwa?
Hakuna mahali popote niliposema ukisoma ndio ukimbilie ufisadi hilo limetokana na wewe kusema unapata mashaka kwanini ni kina Chuwa tu na wengine wenye majina hayo ,nasijasema lazima utokee kilimanjaro ndio uwe na hivyo vyeti unavyosema ,nimesema watu wa Kilimanjaro wamekipa elimu kipaombele kuliko wengi wetu wa maeneo mengine ndio maana kila sekta utakayogusa unawakuta ,unapo niambia kisomo sio tija katika kuleta maendeleo hayo ni matusi kwangu au mtu yeyote mwenye kuelewa umuhimu wa elimu katika kukabiliana na changamoto za dunia hii ,Kama elimu sio tija basi kusingekua na umuhimu wa Pediatricians, Engineers, Judges ,astronomers NkSasa nafikiri unamaanisha kwamba ukiishasoma basi ukimbilie kuwa fisadi au?
Kuna wengine hapa hatukutokea huko unakosema lakini tukajaribu hivyohivyo na tunatumia vyeti vyetu kufanya kazi kwa uadilifu na kuzingatia maadili ya kazi.
Kisomo si tija katika kuleta maendeleo kama wasomi hawa ndio walotufikisha hapa tulipo.
Lakini sio ukimbilie kusoma ilhali una malengo ya kutaka kuja kuwa mhujumu uchumi.
Huyo hataguswa kabisaaaaa,si unajua big fish eat small fish?na yuke aliyemtumia sms bi chuwa wanamfanyaje?
Hakuna mahali popote niliposema ukisoma ndio ukimbilie ufisadi hilo limetokana na wewe kusema unapata mashaka kwanini ni kina Chuwa tu na wengine wenye majina hayo ,nasijasema lazima utokee kilimanjaro ndio uwe na hivyo vyeti unavyosema ,nimesema watu wa Kilimanjaro wamekipa elimu kipaombele kuliko wengi wetu wa maeneo mengine ndio maana kila sekta utakayogusa unawakuta ,unapo niambia kisomo sio tija katika kuleta maendeleo hayo ni matusi kwangu au mtu yeyote mwenye kuelewa umuhimu wa elimu katika kukabiliana na changamoto za dunia hii ,Kama elimu sio tija basi kusingekua na umuhimu wa Pediatricians, Engineers, Judges ,astronomers Nk
NB Kusoma sio ndio ufanye ushenzi hiyo ni hulka ya mwadamu hata wasio soma kuna washenzi wa tabia pia
Suala uliloliongelea linafanana katika situation, unazungumziakutokuwepo kwa muhongo kipindi hizo mita zinazuiliwa ndio maana nikakukumbusha kuhusu escrow maana hata kule hakuwepo wakati watu wanaingia mikataba ya capacity charge lakini mwisho wa siku alihusika, kwa logic yako hata kule sijui alihusikaje au tujiulize ilikuaje mtu asiyejua chochote atume sms kutoa maelekezo?Kwani tunaongelea Escrow hapa mkuu?
Hii inakuja vipi tena?
Kwakua ni Mchaga, aiseeeeMagdalena Chuwa, huyu dada yetu watakuwa wamemuonea tu.
Mama chuwa anafanya kazi chini ya nani ?? Yeye afanyaje kama maboss ndio wanamtumia sms ya nini cha kufanya badala ya kufuata proper government channels ?? Kwa uozo ulitokea bandari unajuaje mama Chuwa alikua anafanya anayo yafanya pengine kwa order kutoka Ikulu ya uongozi uliopita ?? Na usije na jibu jepesi hapa eti kama alikua hakubaliani angejihuzulu ,ni nani anayekwenda against na maagizo ya boss wake ?? Majuzi tumemskia Magufuli akisema kuna waziri alimwambia amletee barua ya kujiuzulu baada ya kutofautiana nae huyo waziri amepeleka hiyo barua ??? Chenge na kisomo chake hakutambua ufisadi wa rada ,Epa na Escorow ??Mkuu nimesema hivi, "kisomo sio tija katika kuleta maendeleo kama wasomi hao ndio walotufikisha hapa tulipo".
Soma tena.
Mkuu Mama Chuwa na kisomo chake angetambua kwamba mita za mafuta kama zingefungwa na kufuatiliwa vile inavyotakiwa zingeisaidia sana nchi kuendelea maana kuondolwa kwake kumepoteza bilions of tshillings pale.
Sasa hio ni elimu gani hio?
Hawa watu na wengine wamekuwa wanaishi kwa mazoea na kwamba ukitoa decision hata kama ni ya kifisadi basi hakuna wa kuuliza, sasa imefika mwisho.
"Decision making precess" ni suala la muhimu sana hasa kwenye biashara maana unaweza kuweka organisation yako kwenye incoming disaster ambayo mwishowe wewe kama kiongozi unaonekana ni bure tu pamoja na elimu ulo nayo..
jamani nchi hii!TUMUUNGE MKONO JPM TU....maana hata udictator ukitumika tusilaumu..hivi kupimia nafuta VIJITI tetete acha nicheke tu.....
Huyo waziri ni wa sasa wa uchukuzi. Maswala yanayohusu bandari yanasimamiwa na waziri wa uchukuzi ambae ni Mbalawa. Unajua kwa kuwa wewe ni mjinga usifikiri kila mtu humu atakutilia maanani wewe....kwanza wanaume tunakushangaa mwanamke gani kutwa nzima upo JF? Una tatizo gani wewe!?Nenda kaisikilize hiyo CLIP ipo humu JF.Huyo Mkurugenz anamjibu Majaliwa aliyempa order ya kufungua Mashine ni Waziri wa NISHATI....Kwanini tudanganye??Nenda uisikilize.
Nakubaliana na wewe. Zipo sababu nyingi,mojawapo wanadai ni serikali kushindwa kesi mahakamani baada ya kushitakiwa kutokana na ubovu wa flowmeter.Tusubiri uchunguzi.Nadhani zilikuwa nzima. Atafutwe aliyeanzisha mchakato wa kuacha kuzitumia.
waulize TCRA wapo watanzania wangapi wamesajili simu zao kw jina la Sospeter Muhongo ukifahamu muulie huyo mama alijuaje aliyemuandkia msg niye Prof. Muhongo? labda sasa utaelewa, ni wapi serikali imefanya maamuzi kwa msg za simu??? leta mifano..Mama chuwa anafanya kazi chini ya nani ?? Yeye afanyaje kama maboss ndio wanamtumia sms ya nini cha kufanya badala ya kufuata proper government channels ?? Kwa uozo ulitokea bandari unajuaje mama Chuwa alikua anafanya anayo yafanya pengine kwa order kutoka Ikulu ya uongozi uliopita ?? Na usije na jibu jepesi hapa eti kama alikua hakubaliani angejihuzulu ,ni nani anayekwenda against na maagizo ya boss wake ?? Majuzi tumemskia Magufuli akisema kuna waziri alimwambia amletee barua ya kujiuzulu baada ya kutofautiana nae huyo waziri amepeleka hiyo barua ??? Chenge na kisomo chake hakutambua ufisadi wa rada ,Epa na Escorow ??
Mama chuwa asibebeshwe mzigo peke yake kamtaja Muhongo na kila mtu awe responsible kwa matendo yake
Sioni ni vipi Muhongo ahusiki na hili
Sasa ili Magufuli watu waendane na dhamira yake ,hawa wote sio wa kuwavumilia
sijui kwanini hua simuaminiamini huyu profesa. hua namstukia sana!!Hujui kwamba ndiyo Waziri wa Nishati na ndiye aliyetuma SMS kulingana na muulizwa swali??ALikuwa pia Waziri wa NISHATI awamu iliyopita au tunakosea
Yaani ni bora nchi angepewa dovutwa kuliko mkwer.e aisee,yule mzee hamna kitu kabisa anastahili kufungwa jiwe shingoni na kutupwa baharini maana adhabu ya jela haimtoshi... kaiharibu sana nchi hii...Miaka 5 iliyopita hivi tulikuwa na serikali kweli? Najiuliza tu