Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,702
- 4,697
Muhongo anahusikaje hapo!!??? Wewe unajua Wakala wa Vipimo Nchini iko chini ya Wizara gani!!??? Au unakurupuka tu, naona MUHONGO amewakalia pabaya sana.
Hapa siyo sehemu ya kampeni za uchaguzi wala UKAWA vs CCM. Kama kweli Muhongo ndiye aliyepeleka SMS kama huyo mkuu wa vipimo alivyosema, basi anastahili kuachana na serikali. Hana maana, hana ethics, hana jipya la kutueleza.
Ifikie wakati tukubali kwamba hata baba yako akiwa mpuuzi, unaweza ukasimulia upuuzi wake.