THINK...!Ni matatizo ya kuwa na watoto wadogo humu JF siku hizi mkuu. Inabidi Mods wawafungulie jukwaa Lao la KIDS CORNER.
THINK...!Ni matatizo ya kuwa na watoto wadogo humu JF siku hizi mkuu. Inabidi Mods wawafungulie jukwaa Lao la KIDS CORNER.
Mimi na wewe anayeimba ujinga nani ?? Kwanini nisiamini maneno ya huyo mama ? Kama aliweza kumwambia Waziri mkuu hadharani ,taarifa hizo za kufufua hizo mashine alipata ngazi za juu alipoulizwa akamtaja Sospeter Muhongo ,Sawa Sospeter amesema hilo swala halipo kwenye wizara yake ,Maelezo tunayotaka ni kama swala halimuhusu alimtumia huyo mama SMS kama nani ???Wewe unaamini maneno ya huyo mama kuwa Prof. alimtumia msg kwa kipimo kipi? kama tu hata kusema sababu ya hizo mita kuacha kutumiwa hakueleza sawa sawa..acha kuimba ujinga THINK!
Anaweza kumtumia huyo mama SMS Kama hawara yake. Wewe unataka kujua ya nini!!?? Na una ushahidi gani Kama hiyo SMS aliituma Mh. Muhongo??????????Mimi na wewe anayeimba ujinga nani ?? Kwanini nisiamini maneno ya huyo mama ? Kama aliweza kumwambia Waziri mkuu hadharani ,taarifa hizo za kufufua hizo mashine alipata ngazi za juu alipoulizwa akamtaja Sospeter Muhongo ,Sawa Sospeter amesema hilo swala halipo kwenye wizara yake ,Maelezo tunayotaka ni kama swala halimuhusu alimtumia huyo mama SMS kama nani ???
Ajatukalia vibaya,mama chua alimtaja mwenyewe sasa hata mimi nilisikia akimtaja.Sasa watu wamwonee vipiMuhongo anahusikaje hapo!!??? Wewe unajua Wakala wa Vipimo Nchini iko chini ya Wizara gani!!??? Au unakurupuka tu, naona MUHONGO amewakalia pabaya sana.
Naona ile shehena ya mafuta iliyokamatwa baharini imeiamusha serikali usingizini.Mtuhumiwa alipohojiwa na wandishi wa habari ameyatowa wapi akajibu kwenye bomba.Kama hilo bomba limetowa mfuta five good years hasara yake ni kubwa mno kwa serikali.Nashauli serikali iajiri watu makini maeneo yote mawili.
Lakini pia ulisahau kwamba Kilimanjaro ndio Mkoa wenye Shule nyingi Tanzania na kwamba watu wale wana muamko mkubwa kwenye swala la Elimu ,hivyo kwa kupenda elimu ni wazi kwamba wanajitengenezea mazingira mazuri kuliko wengi wetu ambao shule hatuja zipa kipaombele , na huu ni ukweli mchungu,Kuna mama wa Kihaya nae kasimamishwa mbona kwa upande wake hamjaongelea ??Mkuu, wala mimi si mkabila na sikuwahi kujificha ila penye ukweli lazima niseme.
Nimeshangaa kuona list ndefu akiwemo Maimu, na wengine sasa huyu Chuwa je?
Hio ni fact kwamba kulikuwa na hujuma zinaoongozwa na watu fulani ndivyo nnavyoamini.
Nadhani zilikuwa nzima. Atafutwe aliyeanzisha mchakato wa kuacha kuzitumia.Nchi hii inachekesha sana. Aliyepewa tenda ya ku-supply flowmeter hakuambiwa kuwa kuna kitu kinachoitwa ''after sales service contract''. Flowmeter ya mabilioni halafu inaachwa ioze.Haiwezekani.. Lazima watu wawajibike.
Kutajwa ni kosa siku hizi!? Mbona huyo Mage Chuwa ameshindwa kujieleza kwenye barua aliyoambiwa amuandikie Waziri Mkuu na kuiwasilisha jana saa kumi na moja jioni!!???? Kuna Giza nene sana kwenye haya mambo,tuwe na akiba ya maneno. Moshi ukitulia kufuka tutayaona na kusikia mengi sana tofauti na mihemko yetu.Ajatukalia vibaya,mama chua alimtaja mwenyewe sasa hata mimi nilisikia akimtaja.Sasa watu wamwonee vipi
Naomba usini qoute Mzee ushanitukana ,siwezi kufanya mjadala wowote na wewe wenye stahaAnaweza kumtumia huyo mama SMS Kama hawara yake. Wewe unataka kujua ya nini!!?? Na una ushahidi gani Kama hiyo SMS aliituma Mh. Muhongo??????????
Mimi mwenyewe nimeshangaa hilo mkuu la SMS kufungua koki za Mita.Huyu mama wa kishumundu ni very hopeless kwakweli,hawa ndo wanaopata kazi kwa kugawa naniliu,yaani ili mita zifanye kazi mpaka atumiwe sms?
Hajazungumzia sms? Au hakuwa yeye?Hili jibu limetoka ofisi ya Profesa Muhongo. Naomba mlibandike hapo juu kama. Sehemu ya ufafanuzi kwa wanaomhusisha waziri huyo na saga hili la flow meters.....
Nawasilisha kama nilivyolipokea:
Flow meters za kupima mafuta ziameachwa kutumiwa Mwaka 2011. Prof Muhongo hakuwapo nchini wala Serikalini mwaka 2011.
Wenye dhamana ya kusimamia mita hizo ni Wizara ya Viwanda na Biashara na siyo Wizara ya Nishati na Madini.
Huyo mama na wenzake (Weights & Measures) wako chini ya Wizara ya Viwanda na Biashara. Mwenye jina la Mwijarubi hana undugu na Prof. Muhongo, Mwijarubi ni jina la kawaida sehemu za Ukerewe na Musoma Vijijini.
Tusidanganywe.
Naomba tena kwa mara nyingine sihitaji kufanya majadiliano na wewe,endelea na wengineKwa hiyo umesusa hutaki kucheza na mimi "kula tumbakishie baba"!!??? Mbona wewe ulinitusi na nimekusamehe!? Acha utoto ngurukenge.
Mama kwa Kihaya ni yupi!!??? Unaona sasa ulivyo muongo wewe jamaa!!???Lakini pia ulisahau kwamba Kilimanjaro ndio Mkoa wenye Shule nyingi Tanzania na kwamba watu wale wana muamko mkubwa kwenye swala la Elimu ,hivyo kwa kupenda elimu ni wazi kwamba wanajitengenezea mazingira mazuri kuliko wengi wetu ambao shule hatuja zipa kipaombele , na huu ni ukweli mchungu,Kuna mama wa Kihaya nae kasimamishwa mbona kwa upande wake hamjaongelea ??
Utataka tu Aisee. Huwezi kupotosha umma ukafumbiwa macho.Naomba tena kwa mara nyingine sihitaji kufanya majadiliano na wewe,endelea na wengine