OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,237
- 103,899
Leo ni SIKUKUU ya kibegi kufika kwenye kilele cha Mlima wa Kilimanjaro mita 5,895 juu ya usawa wa bahari.
Wapanda mlima Mashabiki wa Mnyama wako kwenye hali salama ya kufika kileleni leo.
Jioni ya leo Simba kuandika Historia Tanzania na Duniani.
Tutaendelea kuwaletea matukio zaidi kuelekea kwenye kilele cha mlima wa Kilimanjaro na uzinduzi rasmi saa 1 kamili jioni ya leo.
Uko tayari kwa uzi mpya ❓
Attachments
-
Ins52160607660_41b184089a3745a7819fb9e88592306a_361926883_581893524154412_6829329313753697742_n.jpg342.4 KB · Views: 4
-
Ins52160607660_2ab13f0e3c9a47d8ad7ba482749d06b0_361978535_670450694505625_4733960177119251907_n.jpg383.7 KB · Views: 4
-
Ins52160607660_18b36ec9cadb492eb91fb7bdc4bf1105_361744619_980725283353550_5992560171774580472_n.jpg487.3 KB · Views: 4