jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,523
Hivi mnaelewa madhila na taabu wanazopata wagonjwa wetu madaktari wanapogoma ilhali kazi yao hairuhusiwi kugoma?
Kuweni wakweli wa nafsi zenu kwanza. Yeyote aliyemtia adabu Ulimboka ni shujaa kwangu, kama ilivyo Ulimboka kuwashawishi madaktari (kinyume cha sheria) wagome.
Kwahiyo unataka waliochukia kitendo cha "aliyemtia adabu Ulimboka" nao wafanyeje?