meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
kwa wale tulioko maeneo ya airport tuwekeeni updates za mapokezi ya dr ulimboka.
kwa wale mlioko ndani kabisa ya vyombo vya usalama pia msisite kutupa updates za hali ya mambo.
UPDATES:dr ulimboka anatarajiwa kutua saa nane mchana huu
Dr Ulimboka ameshukuru Mungu wananchi,wanaharakati na madaktari.
Amesisitiza kwa sasa yuko fit na anaweza kufanya chochote!
kwa wale mlioko ndani kabisa ya vyombo vya usalama pia msisite kutupa updates za hali ya mambo.
UPDATES:dr ulimboka anatarajiwa kutua saa nane mchana huu
Dr Ulimboka ameshukuru Mungu wananchi,wanaharakati na madaktari.
Amesisitiza kwa sasa yuko fit na anaweza kufanya chochote!
Dk Ulimboka (aliyeshika maua) alivyokuwa akiwasili ktk uwanja wa ndege wa dsm akitokea S.A, hakika afya yake imeimarika sasa tunangoja watu kuumbuka na hasa gwaride la utambuzi kwa yule mjamaa wa kova