Jamiix
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 885
- 548
Hivi unadhana balaa la wenzetu wasomali waliofia mkoa 1 hapa majuz masterminds wa route na mode of transport ni kina nani!?
Wakubwa wa polisi wa mikoa ambao wanaagiza vijana wa chini waruhusu na hela wawapelekee watawapa commision,inaingia akilini kwel watoke namanga mpka tunduma ama kasumulu bila kushtukiwa!?
Nimeshawaona mahali, walikua na gari ndogo(noah) wako 10 gari ikapata ajali,wakakodisha gari ingine fasta kwa lak2 kwa umbali wa 30km na polisi walijua wakasubiri walipopata gari ingine ndio trafic akaenda,
Nguvu ya uma itawanyoosha tu sikumoja
Nawakilisha
Wakubwa wa polisi wa mikoa ambao wanaagiza vijana wa chini waruhusu na hela wawapelekee watawapa commision,inaingia akilini kwel watoke namanga mpka tunduma ama kasumulu bila kushtukiwa!?
Nimeshawaona mahali, walikua na gari ndogo(noah) wako 10 gari ikapata ajali,wakakodisha gari ingine fasta kwa lak2 kwa umbali wa 30km na polisi walijua wakasubiri walipopata gari ingine ndio trafic akaenda,
Nguvu ya uma itawanyoosha tu sikumoja
Nawakilisha