Mtz-halisi
Member
- Nov 28, 2009
- 47
- 20
Nikiwa mfanyakazi wa chuo kikuu cha Dar es Salaam nimesikitishwa sana na maamuzi ya kijinga yanayofanywa na wahesimiwa wetu. tarehe 8/1/2012 nimesoma andiko la vitisho kwa wanafunzi na viongozi wa DARUSO juu ya maamuzi ya mgomo wao kuwadai wanafunzi wenzao waliofukuzwa tena walifukuzwa wakati wakidai haki. andiko lilikuwa la kuwatisha wabunge wa DARUSO pamoja na cabinet nzima kuwa atakayejaribu kugoma atafukuzwa.
Kitu kibaya zaidi nimeona hii nchi inaongozwa kama haina mwenyewe, unapo ona viongozi wakubwa kama Prof. Mkandara, Prof Mgaya na Maboko wakiamini wanafunzi hawawezi kudai haki wenyewe na wakionekana wanadai haki wanaamini kuna mkono wa wanasiasa hapo pana tatizo. mpaka sasa kichwani mwao wana amini kuna mkono wa CHADEMA. kweli hii ni aibu kubwa sana
Naomba watu ambao ni wanaharakati tuungane kuwasaidia vijana hawa, naomba UDASA, THTU na RAAW chuo kikuu musimame na vijana hawa, tusiwaachie hawa watu wachache wawacheze vijana wetu.
Umoja wa vijana CHADEMA,CCM,CUF etc ni muda wa kusimama na vijana wenzenu sasa msisubili mpaka mambo yahalibike.
kwa hali ninayoiona ni hatari
Kitu kibaya zaidi nimeona hii nchi inaongozwa kama haina mwenyewe, unapo ona viongozi wakubwa kama Prof. Mkandara, Prof Mgaya na Maboko wakiamini wanafunzi hawawezi kudai haki wenyewe na wakionekana wanadai haki wanaamini kuna mkono wa wanasiasa hapo pana tatizo. mpaka sasa kichwani mwao wana amini kuna mkono wa CHADEMA. kweli hii ni aibu kubwa sana
Naomba watu ambao ni wanaharakati tuungane kuwasaidia vijana hawa, naomba UDASA, THTU na RAAW chuo kikuu musimame na vijana hawa, tusiwaachie hawa watu wachache wawacheze vijana wetu.
Umoja wa vijana CHADEMA,CCM,CUF etc ni muda wa kusimama na vijana wenzenu sasa msisubili mpaka mambo yahalibike.
kwa hali ninayoiona ni hatari