Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 930
- 1,408
Nimesikitishwa sana na kitendo cha viongozi ngazi ya wilaya kutokuchagua baadhi ya walimu wakuu walioshiriki katika usahili wa makarani wa sensa, inakuaje nisaili watu alafu hunichagui kwenye nafasi ya maudhui wakati walituhaidi hivyo.
Wengi wetu tulioshiriki hatukuchaguliwa kushiriki semina ya kesho. Rai yangu kwa Serikali wafuatilie hili kwa kina kila mahali. Huu ni uonevu mkubwa sana.
Wengi wetu tulioshiriki hatukuchaguliwa kushiriki semina ya kesho. Rai yangu kwa Serikali wafuatilie hili kwa kina kila mahali. Huu ni uonevu mkubwa sana.