Malipo kwa kazi ya kufanikisha zoezi la sensa 2022

mbenge

JF-Expert Member
May 15, 2019
4,576
9,816
Malipo kwa ajili ya makarani, watu wa Tehama na maudhui yalikadiriwa na kuainishwa yawe yamekamilika ndani siku 10. Yaani siku 5 za semina na siku 5 nyingine za kufanya kazi.

Lakini tumeshuhudia kuwa kyongezeka kwa siku za semina hali kadhalika siku za kuhesabu watu na makazi hadi kufikia siku 10. Hali hii imepelekea kuwa na malalamiko juu ya kile hasa wahusika walichopaswa kulipwa kihalali.

Malipo pendekezwa kwa siku yalikwisha kutolewa na serikali kabla hata zoezi husika. Je! Malalamiko yaliyopo juu posho ndogo walizolipwa wahusika yana ukweli ndani yake?

Ebu kwa pamoja tupitie kiambatanishi kilichopo katika uzi huu ili tuweze kutoa ushauri mzuri kwa wahusika.
Screenshot_20220903-222154.jpg
 
Mimi mpk sasa bado sjahesabiwa nafanya kazi ya boda boda naamka saa 11 alfajiri na kurudi home ni saa 6 usiku .
 
Malipo kwa ajili ya makarani, watu wa Tehama na maudhui yalikadiriwa na kuainishwa yawe yamekamilika ndani siku 10. Yaani siku 5 za semina na siku 5 nyingine za kufanya kazi.

Lakini tumeshuhudia kuwa kyongezeka kwa siku za semina hali kadhalika siku za kuhesabu watu na makazi hadi kufikia siku 10. Hali hii imepelekea kuwa na malalamiko juu ya kile hasa wahusika walichopaswa kulipwa kihalali.

Malipo pendekezwa kwa siku yalikwisha kutolewa na serikali kabla hata zoezi husika. Je! Malalamiko yaliyopo juu posho ndogo walizolipwa wahusika yana ukweli ndani yake?

Ebu kwa pamoja tupitie kiambatanishi kilichopo katika uzi huu ili tuweze kutoa ushauri mzuri kwa wahusika.View attachment 2344871
Makarani wamelipwa hela yao yote ikiwemo nyongeza ya siku. Average kila karani kwa kazi yote ameoata 1.4M
 
Jamani huyu mtoa maada Ni mpotoshaji na anataka kuleta Taharuku na maneno tu, hicho alichokiweka hapo juu siyo Cha kweli hata kidogo, ukitaka ujuwe kuwa siyo Cha kweli angalia katika mchanganuo wake, semina na siku za kazi kapotosha, maana semina kwa makarani ilikuwa Ni siku karibu 16 yaani kumi na sita, hapo sijaweka za kukagua mipaka na majaribio,pia siku za kazi yenyewe zilikuwa Saba Kama mlivyokuwa mmesikia, hapo bado zile za kuhesabu majengo, Sasa je ndio alichoandika hapo? Kwa hiyo siyo kweli alichokiandika hapo juu mtoa maada, au jaribuni kuangalia vizuri kabla hamjaanza kuchangia
 
Malipo kwa ajili ya makarani, watu wa Tehama na maudhui yalikadiriwa na kuainishwa yawe yamekamilika ndani siku 10. Yaani siku 5 za semina na siku 5 nyingine za kufanya kazi.

Lakini tumeshuhudia kuwa kyongezeka kwa siku za semina hali kadhalika siku za kuhesabu watu na makazi hadi kufikia siku 10. Hali hii imepelekea kuwa na malalamiko juu ya kile hasa wahusika walichopaswa kulipwa kihalali.

Malipo pendekezwa kwa siku yalikwisha kutolewa na serikali kabla hata zoezi husika. Je! Malalamiko yaliyopo juu posho ndogo walizolipwa wahusika yana ukweli ndani yake?

Ebu kwa pamoja tupitie kiambatanishi kilichopo katika uzi huu ili tuweze kutoa ushauri mzuri kwa wahusika.View attachment 2344871
Haya mahesabu umeyatoa wapi we kiazi , pesa ya Sensa wamejitahid kulipa Kwa wakat , kimsingi hakuna longo longo , wiki ijayo kila karani atakuwa amelipwa stahiki yake yote , baada ya makabidhiano kukamilika
 
Jamani huyu mtoa maada Ni mpotoshaji na anataka kuleta Taharuku na maneno tu, hicho alichokiweka hapo juu siyo Cha kweli hata kidogo, ukitaka ujuwe kuwa siyo Cha kweli angalia katika mchanganuo wake, semina na siku za kazi kapotosha, maana semina kwa makarani ilikuwa Ni siku karibu 16 yaani kumi na sita, hapo sijaweka za kukagua mipaka na majaribio,pia siku za kazi yenyewe zilikuwa Saba Kama mlivyokuwa mmesikia, hapo bado zile za kuhesabu majengo, Sasa je ndio alichoandika hapo? Kwa hiyo siyo kweli alichokiandika hapo juu mtoa maada, au jaribuni kuangalia vizuri kabla hamjaanza kuchangia
Mkuu kama kilichoandikwa si sahihi, basi na wewe leta taarifa iliyokuwa sahihi juu ya malipo yaliyotolewa kwa wahusika.
 
Jamani huyu mtoa maada Ni mpotoshaji na anataka kuleta Taharuku na maneno tu, hicho alichokiweka hapo juu siyo Cha kweli hata kidogo, ukitaka ujuwe kuwa siyo Cha kweli angalia katika mchanganuo wake, semina na siku za kazi kapotosha, maana semina kwa makarani ilikuwa Ni siku karibu 16 yaani kumi na sita, hapo sijaweka za kukagua mipaka na majaribio,pia siku za kazi yenyewe zilikuwa Saba Kama mlivyokuwa mmesikia, hapo bado zile za kuhesabu majengo, Sasa je ndio alichoandika hapo? Kwa hiyo siyo kweli alichokiandika hapo juu mtoa maada, au jaribuni kuangalia vizuri kabla hamjaanza kuchangia
Ukiitwa mchawi usilalamike
 
Back
Top Bottom