Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
- Thread starter
- #61
Na walikuwa wanayatafuta haya.Mie simo wakati mwingine mjifikirie vizuri kabla ya kuleta mada za kizandiki.
Hapo kwenye mada nimeomba pia CV zao mkuu. Haya tuseme Slaa ni zaidi kwa mengine. Vipi kuhusu CV zao? Mbona hapa unaruka kiunzi? Tuendako watanzania tutaanza kudai kuchagua ma rais kutokana na CV zao. Hapo itakuwaje? Kupiga kelele za kupambana na mafisadi na kutaja majina yao hadharani si kigezo cha ubora katika utawala mkuu.