Unyumba kabla ya nyumba

Asante kwa nafasi uliyonipa. Ingawa na mimi nahitaji kujifunza kutoka kwako pia.
Hivi wale binadamu wa kwanza walifanya wapi majaribio?
Na kama kweli mnapendana na mtu kwa nini isiwe vyema kuwaona wataalamu wa afya kupima hicho unachotaka kupima.
Na kuhusu tabia, mtu anaweza kujifanya ana tabia fulani ili tu atimize lengo lake. Ukiwa na roho ya kutulia, uvumilivu,kusubiri na kudadisi utajua tu. Maana matunda ya mti hayawezi kujificha. Mchungwa utazaa machungwa, na mpapai utazaa mapapai tu. Kama ilivyo kwa baadhi ya miti kuchukua muda mrefu kutoa matunda, ndivyo ilivyo kwa baadhi ya binadamu, tabia zao utazijua baada ya muda...ndivyo ninavyoamini
 
Thanks my dear, God bless you much much.
Hebu nisaidie hiyo njia nyingine, ya kumjua mtu kwa kweli, inauma unaingia na mtu kwenye ndoa unaamini sasa kiu kiu zile zitaondoka halafu unakuta ndivyo sivyo. Nahitaji hiyo Elimu Mpendwa.


Asante kwa nafasi uliyonipa. Ingawa na mimi nahitaji kujifunza kutoka kwako pia.
Hivi wale binadamu wa kwanza walifanya wapi majaribio?
Na kama kweli mnapendana na mtu kwa nini isiwe vyema kuwaona wataalamu wa afya kupima hicho unachotaka kupima.
Na kuhusu tabia, mtu anaweza kujifanya ana tabia fulani ili tu atimize lengo lake. Ukiwa na roho ya kutulia, uvumilivu,kusubiri na kudadisi utajua tu. Maana matunda ya mti hayawezi kujificha. Mchungwa utazaa machungwa, na mpapai utazaa mapapai tu. Kama ilivyo kwa baadhi ya miti kuchukua muda mrefu kutoa matunda, ndivyo ilivyo kwa baadhi ya binadamu, tabia zao utazijua baada ya muda...ndivyo ninavyoamini
 
Nakubaliana na wewe asilimia mia moja.
lakini mimi kuna kitu najiuliza "ON SECOND THOUGHT"!!

Kama tutaendesha uchumba kwa staili ile ya mafundisho ya kule kanisani yani ile ambayo ukiwa na mvulana tu, kesho unaitwa kwenye kikao cha wamama, na hakuna kukutana sehemu ingine isipokuwa kanisani, na ukionekana unashtakiwa kwa Mchungaji.
Halafu mwisho wa siku mkioana, mko ndani hakuna mchungaji wala wamama, na mambo ndo hivo tena.........unajua mi nikipenda sana siweze kufanya chochote naridhika tuuuuuuuuu!!!!! Ni mwanaume huyo............. utaishi kwa Imani?? Na mwili ndo unawaka sasa si umeolewa?? Au utafunga......... yeye anaridhika akikuona tu, mengine hawezi kufanya.........!!!

Kama hujakumbuka bora ningemchungulia kwanza!!!! Humo kwenye Suruali .................

Mpenzi LD, kama mtu yupo kanisani na anampenda Mungu; then ana tatizo kwamba jogoo wake hawiki; na halfu akamchumbia mdada wa watu, akijua kabisa ana tatizo, huyo ni mtu mbaya sana! LD, hata kama hawajawi kufanya hilo tendo, lakini atajua kuwa yuko sawa au la..! Kwa hiyo mwenye tatizo basi na aombewe apone ndo aoe, otherwize hiyo itakuwa ni dhambi kubwa kuoa wakati unajua huwezi kazi..!!!unafiki tu!!!
 
Huko ni kujidanganya tena sana. Wewe unadhani tabia ya mwanamke au mwanaume kabla ya kuoana itakuwa sawa na baada ya kuoana rasmi? Kalagha bakho!! Kwani kujuana maana yake ni kulala pamoja!! Kama ni shetani basi amekutawala kwelikweli.

Kuishi na mtu haina ulazima wala maana ulale nae....na kutokuishi na mtu haina maana hulali nae!!!!
 
Nakubaliana na wewe asilimia mia moja.
lakini mimi kuna kitu najiuliza "ON SECOND THOUGHT"!!

Kama tutaendesha uchumba kwa staili ile ya mafundisho ya kule kanisani yani ile ambayo ukiwa na mvulana tu, kesho unaitwa kwenye kikao cha wamama, na hakuna kukutana sehemu ingine isipokuwa kanisani, na ukionekana unashtakiwa kwa Mchungaji.
Halafu mwisho wa siku mkioana, mko ndani hakuna mchungaji wala wamama, na mambo ndo hivo tena.........unajua mi nikipenda sana siweze kufanya chochote naridhika tuuuuuuuuu!!!!! Ni mwanaume huyo............. utaishi kwa Imani?? Na mwili ndo unawaka sasa si umeolewa?? Au utafunga......... yeye anaridhika akikuona tu, mengine hawezi kufanya.........!!!

Kama hujakumbuka bora ningemchungulia kwanza!!!! Humo kwenye Suruali .................

uNAJUA KUNA KITU KI1,UNAEMPENDA UWEZI ONGEA UJINGA MBELE YAKE MANA HATA NAFSI INAKATAA,NA KATIKA MAMBO YANAYOTUFANYA WANAUME TUITWE SIO WAOAJI NDO IYO. KUPEWA MAMBO YA KWENYE NDOA KABLA HATUJA OA.SASA UNAFIKIRI UTATAFTA NDOA YA NINI NAMTU UNAPATA KILA KITU NJE YA NDOA?? WANAWAKE NA WANAUME TUKIBADILIKA NADHANI HII NDO ITAKUA FASHIONI, YANI NO NDOA No URODA.NA WATU TUTAZOEA NA KUONA KAMA SASA, KUTESTI KABLA YA KUFIKIRIA KUOA AU KUTOMWOA KABSA.NA WENGI HAWAOLEWI NA WAMESHATOA TAMU.
 
Dunia imetaharuki!!!
Kwa ulimwengu huu ulivyo ni afadhali mara mia mbili, ukajua unaingia na nani humo ndani,
hata umfahamu kwa sehemu tu.
Hapana, dunia ya kuenenda kwa Imani naona inafikia mwisho.
Sijui ndo mwisho wenyewe huu, mmmh utamaso na ulaghai umejaa sana.

LD dear, sio woote wana tabia hizo. Mungu bado kajisazia watu waaminifu ambao 'hawaonjani' mpaka wanafunga ndoa iitwayo takatifu na ni takatifu kweli na sio ya kubabaisha. suala la kusema imani inafikia mwisho si sahihi, walio wa Mungu wanaendelea kumwamini na imani yao inakua kila iitwapo leo na vice versa is true.
 
Jamani! Siku hizi imekuwa ni kawaida sana kwa mwanamume na mwanamke(ambao wanategemea kuoana) kuishi pamoja kama mke na mume. Si ajabu ukakuta mwanamke anakaa mkoa X lakini kila weekend au likizo anaenda mkoa Y eti kumsalimia"mchumba wake" ambaye kwa muktadha wa post hii na maadili ya jamii zetu na imani zetu za kidini huyo si mchumba bali ni MZINZI MWENZAKE au HAWARA YAKE. Na mbaya zaidi unakuta wanaishi maisha ya uzinifu kwa muda mrefu then wanaamua eti kubariki ndoa.

Viongozi wetu wa dini nao wanakubali kufungisha ndoa za wazinzi hawa bila aibu. Na si ajabu siku hizi kuona wazinzi wawili(mwanamke na mwanamume) wakiwa wameongozana wakienda ktk ibada iwe kanisani au msikitini. Sijui wanaenda kuabudu au kumkejeli muumba wao.

Kama wewe halijakutokea inawezekana umeliona kwa rafiki, ndugu au hata kwa adui yako.

NINI MAONI YAKO: NI KUMONG'ONYOKA KWA MAADILI AU NI MAENDELEO?
wewe wajua ujuavyo,ila nijuavyo kuna kabila fulani kama sikosei wachaga, kuna mtindo wa kuoa kwa kumdaga umpendae kwa kumvizia pindi aendapo kisimani au vyovyote...njia hii nyingine ambayo ni mordernized 2liyoletewa na wamishionary imetupa utaratibu mpya, asa hapa nashindwa kuelewa mababu zetu kama sio baba zetu nao wanastahili kuitwa wazinifu au vp..
 


  • Kuboresha mada yako weka utangulizi utakaelezea jinsi wewe unavyoifahamu "Ndoa". Inawezekana wewe tafsiri ya ndoa ni kuwa na shahada ya ndoa, wengine wakatambua ndoa kama makubaliano ya watu wawili .....si lazima kuwepo shahidi

mkuu hapo umezungumza niliyokuwa nayo mawazoni. Thanks 4 tht, pili kwa mtoa mada ananishangaza anaposhutumu au kukerwa na jinsi watu waliokutana kwa namna hiyo kwenda kwenye nyumba za ibada,nijuavyo mie katika maandiko, Mungu hakunena kanisani au misikitini wanaingia watakatifu tu,kama wewe ujionavyo,bali ni mahala pa kutoa fursa ya kutubu na kujua jinsi ya kufata njia ipasayo,. Sishabikii uzinifu,wala kukashifu mafundisho ya dini,bali mifumo tuliyojiwekea ni ya gharama sana kama ufungaji wa ndoa,harusi,nk.,kwa watanzania wa kipato cha chini wengi hushindwa mudu,na kutumia njia ya pili unayoita uzinifu., nawasilisha
 
Asanteni wapendwa wote hapo juu kwa kunielewesha, ni kweli kabisa Mungu atabaki wakuaminiwa hata kama sisi hatutamwamini!! Na mungu amejibakizia watu wake wa kusimama kwa ajili ya jina lake, hata dunia nzima Ibadilike bado Mungu atamuhifadhi mwenye haki wake.

Tujifunze kutenda mema na kushinda vishawishi na matakwa ya dunia hii. God bless you all!!
 
Mmmh!! mwenyewe najua usinzi ni dhambi!! lakini siwezi kukubali kuolewa mtu hatujajuana!! je kama ana kadudu kama kidole kidogo!!!! si ndio kutoka nje ya ndoa huko? bora nijaribu kabla ya ndoa nitatubu kuliko nikishaaingia kwenye ndoaa ni ngumu sana! hasa ndoa zetu wakristo mke mmoja na mume mmoja unaweza kujikuta unaishia kufa na ukimwi bure!!
 
mkuu hapo umezungumza niliyokuwa nayo mawazoni. Thanks 4 tht, pili kwa mtoa mada ananishangaza anaposhutumu au kukerwa na jinsi watu waliokutana kwa namna hiyo kwenda kwenye nyumba za ibada,nijuavyo mie katika maandiko, Mungu hakunena kanisani au misikitini wanaingia watakatifu tu,kama wewe ujionavyo,bali ni mahala pa kutoa fursa ya kutubu na kujua jinsi ya kufata njia ipasayo,. Sishabikii uzinifu,wala kukashifu mafundisho ya dini,bali mifumo tuliyojiwekea ni ya gharama sana kama ufungaji wa ndoa,harusi,nk.,kwa watanzania wa kipato cha chini wengi hushindwa mudu,na kutumia njia ya pili unayoita uzinifu., nawasilisha

sio lazima ufanye sherehe! Unaenda wewe na mchumbako na wazazi wapande zote mbili kwa mchungaji au shehe anawafungia ndoa mnarudi nyumbani full stop
 
Mmmh!! mwenyewe najua usinzi ni dhambi!! lakini siwezi kukubali kuolewa mtu hatujajuana!! je kama ana kadudu kama kidole kidogo!!!! si ndio kutoka nje ya ndoa huko? bora nijaribu kabla ya ndoa nitatubu kuliko nikishaaingia kwenye ndoaa ni ngumu sana! hasa ndoa zetu wakristo mke mmoja na mume mmoja unaweza kujikuta unaishia kufa na ukimwi bure!!

Susy wewe unataka kubwa eehhh haya bana kila la heri utakutana na kiboko yako ndo utajua shauri yako vibamia walivyonavyo huwa wanajua kuvitumia
 
Hayo yote ni maamuzi ya watu!!!Na ndoa vile vile inaanzia kwenye mioyo yao....sisi wengine ni watazamaji tu!!!
Kuna watu wanaenda mbele ya wachungaji na masheikh huku roho zao zimejaa unafiki.Bora wanaoishi bila ushahidi wa mwanadamu ila ni wakweli kwa wao wenyewe na Mungu wao kuliko wanaoonekana wakweli machoni pa watu ila sio chochote!!!!

LIZZY
Hukunipata mchango wangu; sijakataa watu kuishi kama mume na mke pasipo kufunga ndoa kanisani au msikitini. Nilichopinga ni watu kujiita wachumba wakiwa kwenye maisha ya pamoja na huku wanaendelea kuzaa. Ndio maana nikauliza wakati wanaishi pamoja ingali bado ni wachumba wazazi wao, ndugu, jamaa na marafiki wanawatambu kama mume na mke au wachumba?

Kama comment zangu ziligusa (unaishi na mtu wako mgali bado ni wachumba) I feel very sorry for you
 
Vincent A!Mtu akitetea kitu sio lazima awe anakifanya!Ni imani tu...na wala siwezi kuchukulia maneno ya mtu nisiyemjua personal kwahiyo ondoa wasiwasi kuhusu hilo pia!
 
Back
Top Bottom