Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,109
- 18,326
Kama unamwamini Mungu, na unamcha kweli, basi kwako wewe unyumba kabla ya ndoa ni dhambi. Kama humwamini Mungu na hunampango naye basi siwezi kusema lolote kwani huo ni uamuzi wako. Lakini wanao sema kutest, nina wasiwasi nao kama wanacho kisema wanakijua. Hii itakuwa ni sodoma na Ghomora au ni Nuhu wa pili amerudi. Sishangai, ila mimi binafsi hata ukinishawishi unitest, utaambulia kibuti tuu. kwani utakuwa tayari ulisha test wengi.