MANGI MASTA
Senior Member
- Jul 14, 2011
- 175
- 56
Mbunge wa viti maalum CUF-Urambo, Magdalena Sakaya ameeleza jinsi polisi,askari wa wanyamapoli na maliasili walivyochoma nyumba za wakazi wa Urambo, walivyopiga risasi na kuuwa wananchi 23 wa Urambo mwaka 2010 mwezi 9.
Wakazi walichomewa nyumba zao kwenye kijiji cha Pandamlohoka, askari walichukua mtoto wakamweka juu ya kaburi la mama yake.
"Mheshimiwa spika unyama kama huu unafanyika serikali iko wapi..?"
Kwa aliyekuwa akimsikiliza Sakaya lazima machozi yalikuwa yakimlengalenga. Hii ndo serikali ya chinjachinja na chama chinjachinja. Mhe Sakaya alikuwa akichangia bajeti ya wizara ya maliasili.
Wakazi walichomewa nyumba zao kwenye kijiji cha Pandamlohoka, askari walichukua mtoto wakamweka juu ya kaburi la mama yake.
"Mheshimiwa spika unyama kama huu unafanyika serikali iko wapi..?"
Kwa aliyekuwa akimsikiliza Sakaya lazima machozi yalikuwa yakimlengalenga. Hii ndo serikali ya chinjachinja na chama chinjachinja. Mhe Sakaya alikuwa akichangia bajeti ya wizara ya maliasili.