Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,861
- 1,302
Mungu ametupa akili na uwezo wa kufanya mambo mbalimbali. Tusali lakini wakati huohuo tutende kwa uwezo aliotupa mwenyezi Mungu. Waungwana husema "Mungu nisaidie huku nawe unaweka nguvu zako"Nchi hii inahitaji sala Ee Mwenyezi Mungu tunusuru kutoka katika mikono ya hawa wanyanyasaji, wauaji, waroho, wasiomwogopa Mungu, wabinafsi mpaka kwenye kucha zao za miguu.