United States of Africa!!

Well all those reasons advanced against The United States Of Africa are actually reasons for a US Of Africa.Cannt you see?
Those numerous conflicts would disappear in the US of Africa.
Do you visualise regions in the same State fighting each other?!!
Skepticim wont take us anywhere.We are only playing to the Wazungu tune,why?
They want us to believe we cannot do it,so that they continue plundering our resources.
Ony Africa still has the most neede resources.Young Africans,we are capable of uniting and save our resources.
 
Companero:

Miaka ya sitini, sabini, themanini, kulikuwa na vitu vinasisima kama symbols za taifa.

Vitu hivyo ni mashirika ya ndege, vyuo vikuu, viwanja vya ndege n.k. Hivyo nchi yoyote ilipopata uhuru iliakikisha inakuwa navyo.

Sasa hivi mindset ni lazima zibadilike. Tuachane na symbols na tuwe kwenye BIZNIS.

Kaazi kweli kweli, some people it is hard to learn a song.
 
Zakumi,nchi nyingi zilipopata uhuru tayari zilikuwa na viwanja vya ndege vilivyojengwa kabla ya uhuru,ila havijaendelezwa na hata matumizi yake hayakuwa kwa wa ajili ya wananchi wa kawaida,infrastructures zilikuwa strategically constructed to facilitate the movements of raw materials, labor and so forth,hata barabara na hata railways zilizojengwa na mkoloni zilikuwa ni kufacilitate movement za malighafi kutoka kwenye mashamba hadi bandarini nk. Na kwa hivyo basi mkoloni hakuwa mpumbavu,alikwishajipanga vyema sana kabla ya kutoa huo "Uhuru" walioutoa.

Tumeshindwa kupata maendeleo ya kijamii kwasababu hatukuweza kwenda kinyume na utaratibu wa kikoloni,yani sasa badala ya kuendelea kuwauzia malighafi,tungeangalia ni kwa vipi tunaweza kuwa wazalishaji na hivyo kuwanufaisha wananchi na Taifa kwa ujumla.Hapo sasa ndio tungeanza kuona maendeleo kwenye jamii,barabara kwa ajili ya kufacilitate sio tu bidhaa ama malighafi,bali hata movements za wananchi,afya na elimu kupewa msisitizo(Hili hata mwalimu alilijuwa)yale yote aliyokuwa anayafanya mkoloni sisi tungefanya kinyume chake,mwalimu alijaribu kiaina,hakupata ushirikiano wa kutosha,na ndio maana tunaweza kuviita vitu hivyo kama symbols.

Kwa hivyo basi kama mkoloni alijenga barabara,hakujenga kwasababu alikuwa anawapenda sana wananchi,the same apllies to all infastructures including airports....Sisi tulitakiwa kufanya kinyume na hayo aliyoyafanya mkoloni kwasabu kazi ya infrastructures kwa ajili ya movement za kibiashara tayari zilikuwepo,kilichobakia ni kuwapa wananchi elimu,kuzitumia malighafi zetu kwa uzalishaji na si kuzi export.

Jmush1:

Hapa itabidi niulize maswali ya Nyani Ngabu A.K.A Juli. Kama unasema mkoloni alijenga infrastructure hili atumie kusafirisha mali ghafi, je kabla ya mkoloni kuja kwanini basi jamii zetu hazikujenga miundo mbinu zao hili kurahisisha maisha yao?

Usimlaumu mkoloni kwani before their arrival we did absolutely nothing. Vilevile infrastuctures zinatumia fedha katika ujenzi, kwa hiyo ni lazima uangalie sehemu ambazo zinaingiza pesa kwanza na baadaye unangalie sehemu zingine. Hivyo basi sehemu zilizo na rasimali zilikuwa muhimu kupata hiyo miundo mbinu kwanza.

Hapa hata Darwin theory of natural selection ina-apply.
 
Well all those reasons advanced against The United States Of Africa are actually reasons for a US Of Africa.Cannt you see?
Those numerous conflicts would disappear in the US of Africa.
Do you visualise regions in the same State fighting each other?!!
Skepticim wont take us anywhere.We are only playing to the Wazungu tune,why?
They want us to believe we cannot do it,so that they continue plundering our resources.
Ony Africa still has the most neede resources.Young Africans,we are capable of uniting and save our resources.

Have you taken your medicine lately?
 
labda yale ya kwenye movie ya 2012 yawe kweli, dunia nzima imezwe na bahari except Africa...hapo labda ndio tunaweza kuungana...
 
Kwani Africa Nini?
what is the meaning of the word Africa?

Ninapenda Kuona USA ya africa
 
Afrika bila kuungana hatutafika popote, mimi nawashangaa wale wanaosema eti mpaka tumalize shida zetu ndio tuungane, shida dunia hii haziwezi kuisha!
Je najua vita kuu ya pili ya dunia wazungu wangapi walikufa?

Kama ungemuuliza hitler 1945 kwamba miaka 40 ijayo europe itakuwa na currency moja je angekuamini? Wazungu milioni 50 waliuana wenyewe kwa wenyewe yet wamekubali kuungana sembuse sisi?

Waafrika tuna mengi in common, sema viongozi wengine wanaogopa muungano kwa sababu zao wenyewe, eti watakuwa district commisioners.

Afrika must unite now!
 
Naona ni Promosheni ya Kenya na SA tu hapo wengine wamesingiziwa.

Bora United States of Africa tufanye promosheni ya vizuri tulivyonavyo (ambavyo viko Kenya na SA). Hata United States of America huwa wanafanya promosheni ya mazuri waliyonayo - amabyo mengi yako kwenye States chache kama vile California na New York State. Huwezi ona promosheni ya maeneo/states yaliyochoka kama vile Mississippi, Oklahoma na Alabama
 
Bora United States of Africa tufanye promosheni ya vizuri tulivyonavyo (ambavyo viko Kenya na SA). Hata United States of America huwa wanafanya promosheni ya mazuri waliyonayo - amabyo mengi yako kwenye States chache kama vile California na New York State. Huwezi ona promosheni ya maeneo/states yaliyochoka kama vile Mississippi, Oklahoma na Alabama


Kama ni hivyo kuna shida gani wakiandika Kenya au South Afrika?
 
470px-Africom_emblem.JPG
 
The sociological nation is founded on shared traits (language, blood ties, religion and a common history) and an evident desire to live together. It is the bedrock of nationality of origin. But the post-colonial state merely notes its existence, having no historical or administrative memory of the people and countries juxtaposed, simply because colonialism willed it so.
 
think.gif
lol are you serious?? United States of Africa?? That's a good one
laugh.gif
I prefer to stand on the firm ground where reality is quite clear rather than dream in lofty clouds where nothing ever comes to fruitation, i may be cynical about the idea but i'm not saying it's impossible, it's a great idea but it's just not a great idea for right now.
 
Back
Top Bottom