MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
- Thread starter
- #21
Mkuu kuna nchi nyingi sana zimeendelea bila kuungana. Mifano iko mingi. Muungano wa Afrika siyo suluhisho. Let's be for real mkuu wangu do you really think a Unites States of Africa is the answer to our problems? Who are going to govern that government? The same corrupt leaders that govern the individual states now. na Bono kutembelea Uganda kila mwaka does not constitute him knowing our problems and the solutions to them.I don't think he is qualified enough for us to take his words for more than just merely a suggestion from a pop star.
Prior Ghanaian President John Kufuor said in his summing up of the summit's work mwaka 2007 kama ifuatavyo.
"We all have a shared vision of a united, vibrant continental union," Kufuor aliendelea kusema kuwa "We want to do a custom-made thing, something to suit the unique attributes of our continent,".
Labda tunahitaji hiyo custom-made thing, ili kutengeneza US of Africa ambayo itakuwa tofauti na EU na/au USA.
Thabo Mbeki yeye ali-recommended strengthening existing regional economic communities before any setting up of a continental union and government.