Iran prepares to open new front in Western Africa

rr3

JF-Expert Member
Mar 19, 2015
3,045
3,822
Iran has sent its top government officials to Niger following the departure of the US military from the country.

U.S officials have stated that Iran is negotiating a deal to have TOTAL control of Nigers Uranium Mines.

In exchange Niger will recieve the full backing of Iran, militarily, economically and politically.

This would mark the first time in over 2000 years that Iran has expanded it’s influence into the African Sphere.

Iran’s aims to unify the African Nations into forming an economic powerhouse, finally connecting Africa to Asia

🔗Iran spectator

🇮🇷@NEWWORLDORDYR
 
Anything benefiting Africa is vital and welcome.

Kuna ujinga Waafrika wengi umewafunika. Ujinga wa kuamini kila kitu cha Magharibi huku kila ushahidi wa KUSALITIWA na KUFANYIWA mambo mabaya na Magharibi upo wazi.

Afrika ijiamulie marafiki zake na washirika wake wa maendeleo
 
Wana akili kubwa na ni vizuri kupata marafiki tofauti.

Wazungu kwa sasa basi kwani nchi nyingi zinafanya mambo makubwa na mzungu hana nguvu zile za kuzuia kila kitu.

Sisi akili yetu ni kuwaza udini tu.

Hakuna wabaguzi kama watu weusi halafu masikini wa kutupa
 
Wana akili kubwa na ni vizuri kupata marafiki tofauti
Wazungu kwa sasa basi kwani nchi nyingi zinafanya mambo makubwa na mzungu hana nguvu zile za kuzuia kila kitu
Sisi akili yetu ni kuwaza udini tu
Hakuna wabaguzi kama watu weusi halafu masikini wa kutupa
Imeloa
 
Wana akili kubwa na ni vizuri kupata marafiki tofauti.

Wazungu kwa sasa basi kwani nchi nyingi zinafanya mambo makubwa na mzungu hana nguvu zile za kuzuia kila kitu.

Sisi akili yetu ni kuwaza udini tu.

Hakuna wabaguzi kama watu weusi halafu masikini wa kutupa
Iran inajulikana ni mfadhili wa ugaidi duniani. Waafrika tuchukue tahadhari
 
Hamna kitu hapo hao wanatafuta namna ya kujineemesha tu kwa kisingizio cha ushirikiano na Afrika na wala wasifikiri wanaweza kuja kusilimisha watu hapa kwa upanga kama zama hizo.
🤣🤣🤣🤣 Sasa iran ajineemeshe nn huko niger?iran ana uranium nyingi kuliko niger mafuta ndio balaa huku africa anatafuta masoko tu ya products zao na kuwaharibia masoko west
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom