Ungeuaje soo hili!

Umefika zako dukani,unataka
kununua condom za kwenda kuchakachulia kwingineko,ile unasema "muuzaji
naomba unipatie co....",unageuka nyuma unakutana uso kwa macho na mama
watoto wako.Hii sentensi yako uliyokwisha ianzisha utaimalizia vipi ili
kuepusha shari na amani iendelee kutamalaki ndani ya nyumba?

cordil ya mafua nipatie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom