Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,870
- 22,305
Aisee.Sina haja ya kukutana nao hao baadhi yao wana tabia mbaya sana ya kuingilia PM za watu. Ushauri kwa Maxence Melo na JamiiForums waboreshe eneo la PM hawa Mods wasiwe na access ya kuingia kabisa