🤣🤣🤣🤣Unamkumbuka yule anavyotusimbuaga?Tawile 🤝
Legend kumbe na wewe una sarakasi PM?Hawa jamaa wanatufaidi sana huko PM tunavyotongoza totoz za jf.
Eti analyse kasema ni Yin yang 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Unamkumbuka yule anavyotusimbuaga?
Kumbe ndio huyo?anatutesa sana aisee Itabidi Max aongeze wataalamu kuzuia Hilo tatizo,maana Hawa wanaweza kukuuza hata Kwa manjagu maana PM tunajuana Hadi real names...hatariEti analyse kasema ni Yin yang 🤣🤣🤣
Huu una maisha marefu kwa sababu unampa feedback mmiliki bwana Maxence Melo na hilo ndio la msingi zaidi.❗❗❗❗❗NA HUU UZI HAUNA MAISHA.
Wataufuta Ili Le big boss asisomeHuu una maisha marefu kwa sababu unampa feedback mmiliki bwana Maxence Melo na hilo ndio la msingi zaidi.
Kuna mmoja kasema walitumiana picha za chiu pm kunogesha penzi, imemuuma kujua walionekana eti 🤣🤣🤣🤣Kumbe ndio huyo?anatutesa sana aisee Itabidi Max aongeze wataalamu kuzuia Hilo tatizo,maana Hawa wanaweza kukuuza hata Kwa manjagu maana PM tunajuana Hadi real names...hatari
Eeeh legend, sarakasi muhimu sana🤣Legend kumbe na wewe una sarakasi PM?
Ngoja wakuvunje mgongo huo ndio utatulia.....Eeeh legend, sarakasi muhimu sana🤣
Hata kukiwekea mkono tu legend, yaani ulale umekiwekea mkono tu.Ngoja wakuvunje mgongo huo ndio utatulia.....
Unakoelekea utafungwa mana mod wana nongwa 🤣🤣🤣❗❗❗❗❗NA HUU UZI HAUNA MAISHA.
🤣🤣🤣🤣🤣Mamaaa hicho kisanga...Tena unajua Mmoja akifukuzwa tu kazi ana flash yake anaanza kuziuza Moja baada ya nyingineKuna mmoja kasema walitumiana picha za chiu pm kunogesha penzi, imemuuma kujua walionekana eti 🤣🤣🤣🤣
Nikamwambia mtajikuta mmechafua hali ya hewa
Unakilinda au?Hata kukiwekea mkono tu legend, yaani ulale umekiwekea mkono tu.
Na vile mnawasimanga😆😆😆Unakoelekea utafungwa mana mod wana nongwa 🤣🤣🤣
Na Mange anavyotoa pesa nzuri sasa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mamaaa hicho kisanga...Tena unajua Mmoja akifukuzwa tu kazi ana flash yake anaanza kuziuza Moja baada ya nyingine
Hivi unaweza omba upigwe ban ya muda mfupi? Mfano 24 hours ili uone experience yake.Nina miaka 14 humu sijawahi pigwa BAN 😂😂😂
Unakipigapiga hadi unashangaa kinatoa machozi ya furaha.🤣🤣🤣Unakilinda au?
Analyse kashatutajia hana mbambamba 🤣🤣🤣Na vile mnawasimanga😆😆😆