Mkuu uchambuzi umetulia huo,CHADEMA NDIO CHAMA PEKEE kinaongelewa hata na wanfunzi wa shule ya msingi. Unaweza kuwa dhehebu fulani kwasababu umewakuta wazazi wako wanasali dhehebu hilo,lakini unaweza kuwa unasali dhehebu fulani kwa sababu ulipenda utaratibu wao na ukaamua kujiunga na dhehebu hilo: my note, Mlio CCM hameni sasa mko huko kwa sababu wazazi wenu na babu zenu wamelelewa huko na hamko huko kwa sababu mlielewa sera na utekelezaji wa CCM.
Chama cha Mzee wa Gongo,