Vmark.
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 1,353
- 270
na bado.... Utachukia hadi unywe sumu!kila nikisoma post zenu nazidi kuichukia saccoss ya wachaga
na bado.... Utachukia hadi unywe sumu!kila nikisoma post zenu nazidi kuichukia saccoss ya wachaga
na bado.... Utachukia hadi unywe sumu!
Kwa ujamla wake uongozi mzima wa CDM umepangwa ukapangika
Wakuu, vp mgombea binafsi?wengine hatuna imani na vyama vya siasa. Woote wezi tu. Zito ana hammer original ya kimarekani. Mshahara gani kama sio dili za humo bungeni ndio zimemuwezesha kusukuma gari ya mmarekani.hatudanganyiki na vyama vyenu. Woote lenu moja tu. Tuliiona nec ya odinga na kibaki then baada ya kuiangusha kanu,si waligeukana?wadanganyeni wengine ila sio mimi. Sina chama na sihitaji chama.
Laiti kama baba yako angelikuwa Daktari au Mwalimu nafikiri ungeipenda zaidi CCM kuliko uipendavyo sasa achilia mbali kama angelikuwa mkulima tena wa jembe la mkono kijijini kwenu..kila nikisoma post zenu nazidi kuichukia saccoss ya wachaga
Nimejiunga na CDM ikiwa chini ya uenyekiti wa Makani, na hakika kabla ya kuchukua uenyekiti, sikujua kama Freeman angeweza kuwa kiongozi mahiri kama alivyodhihirisha kwenye uenyekiti wake. Kuheshimu umahiri wake, nimewahi kuandika humu kuwa, tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi, hakuna kiongozi wa chama chochote cha siasa Tanzania, (CCM inclusive) aliyeongoza kwa ufanisi kama Mbowe.WanaJF,
Kwa kupitia maoni yenu nyote mpaka sasa imeonekana dhahiri wale Pro-CDM walioko hapa jamvini na waliojitambulisha rasmi wanawaunga mkono majabali hawa kuendelea kuongoza chama hiki na upinzani kwa ujumla.Nimegundua kitu kimoja cha ziada wafuasi wa Chadema wana imani kubwa na viongozi hawa wawili na wasingependa viongozi hawa kutenganishwa kwa njia yoyote walau kwa sasa.Nimefurahishwa na comment moja hapa kwamba baada ya viongozi hawa wawili kuiingiza Chadema Ikulu 2015 basi Freeman Mbowe ataweza kuruhusiwa kukaa pembeni.Lakini sharti akiingize kwanza chama Ikulu.Nimeipenda hii!!
Siku Slaa atapoambiwa asigombee Urais ndio siku atkihama chama, ana historia huyo ya kutaka ukubwa asiokuwa nao. Tunakumbuka kwanini aliondoka CCM.
Mbowe amewashika pabaya chadema; ni taasisi ya kuuza na kununua bidhaa zake..market..sijui akikosa chairman atafanya kazi gani given "elimu yake mgogoro"
Slaa huyu babu anatumika tu na wenye chama chao; akishasafisha njia watamflush sasa hivi bado anatumika..muda muafaka haujafika..
Anyway siasa inalipa..na chadema ni easy place kuchuma; tumia ndege yako ulipwe na pesa chama (by the way ndege ingekodishwa na nani?? easy money au siyo??
Mbowe all the best wewe ni enterprnuer aisee..
Vipi CUF itasimamisha mgombea Arumeru?
Naona unataka kuhamisha hoja CUF, mnapambana na CUF au ccm which is which?
Na Jussa atakuwepo?
Atakuwepo padre Slaa?
Na vipi mume na mke wataimarisha ndoa Arumeru kama walivyoimarisha Igunga?