,,,,Daaah nice pics bana,halafu wnzi hizo inaonekana vyakula vilikua vizuri sana,manake watu wote hao hakuna MITUMBO ya bure bure tu,siku hizi kuwa hivyo lazima upige zoezi haswa.
MASHOROBALO WA UKWEEELI.. asee asiyegonga Like kwenye hii thread Mods Mpeni BAN!!!!!
enzi hizooo.. enzi hizoo za ukweli.. Kitu ukimwi kilikuwa Hakipo kabisaa.. watu wanaila nchi.. nchi inalika..Unakata wiki zima Ukimuomba mjomba wako redio ukapige nayo picha Studio.. hatimae unaipata kwa masharti kibaoo.. ebanaee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.