Unayetafuta ngekewa na hirizi ya Simba hivi hapa, ufanisi wake ni 100%

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,121
27,128
Nimetokea kuupenda na kuuamini zaidi uchawi wa Mzungu kuliko uchawi wa mwafrika/Mwarabu (msingi wa uchawi wa Mwarabu na Mwafrika ni the same). Uzuri wa uchawi wa Mzungu, ukiufuata vizuri basi matokeo yake ni asilimia mia moja.

Sasa leo nataka nikufundishe kuhusu dawa ya ngekewa pamoja na dawa ijulikanayo kama hirizi ya Simba.

Uchawi wa ngekewa miongoni mwa Waafrika na Waarabu
Kwanza ngekewa ni nini?
Ngekewa ni mnyama ambaye anapendwa na wanyama karibu wote wa porini. Mnyama huyu anapo onekana basi kundi la wanyama wa porini humfuata kumshangaa huku wakimyonyesha upendo wa hali ya juu.

Uchawi wa ngekewa ni nini? Uchawi wa ngekewa kwa mujibu wa imani za kiafrika ni uchawi utakao kufanya upendwe na watu kama anavyo pendwa ngekewa. Iwe ni kwenye biashara, kazi , ofisini etc.

Mwafrika/Mwarabu akitaka kupendwa kama ngekewa atafanya nini?
Mwafrika/Mwarabu akitaka watu wampende kama ngekewa atatafuta athari ya ngekewa kama vile ngozi, meno, mifupa, mafuta na kadhalika, atavifanyia dua au tambiko maalumu kisha ama atachanjiwa au ataweka kwenye mkoba wake au kwenye biashara yake au kwenye kiti chake ofisini etc, ili eti na yeye awe anapendwa kama anavyo pendwa ngekewa.

Matokeo huwaje? Matokeo ni sifuri. Huwezi kupendwa kama ngekewa simply kwa sababu umechanjiwa athari ya ngekewa au umejipaka mafuta ya ngekewa etc.

Mzungu na uchawi wa ngekewa

(Mzungu akitaka kupendwa kama ngekewa hufanya nini?)

Mzungu akitaka kupendwa kama ngekewa hufanya mambo yafuatayo:

1. Ata mstudy ngekewa kwa muda mrefu. Atasoma vitabu vingi vilivyo andikwa na wataalamu walio bobea kuhusu ngekewa ( wataalamu wa mambo wanasema kwamba kama unataka kuwa expert wa kitu chochote kile basi soma vitabu 400 kuhusu kitu au jambo hilo kwa muda wa miezi sita hadi mwaka mmoja na utakuwa expert wa jambo hilo without a doubt).

Kama kusoma vitabu haitoshi hata tazama documentary za kitaalamu kuhusu ngekewa na on top of that ataenda kwenye mbuga za wanyama ambako ngekewa wanapatikana atafanya on site study kuhusu ngekewa. Baada ya kufanya yote hayo atazigundua sababu za kisayansi kwanini ngekewa anapendwa na kila mnyama. So

2. Mzungu ataanza kuiga hizo tabia za ngekewa ambazo zinamfanya apendwe na kila mnyama. Na mwisho wa siku ataanza kupendwa kama ngekewa.

Mifano hai: Mzungu alijifunza kurusha ndege kwa kuwa study ndege wanao paa. kitu gani kinafanya waweze kuruka angani na kupaa. Baada ya kugundua kitu hicho na yeye akatengeneza ndege inayo paa.

Mwafrika au Mwarabu angechukua mafuta au mifupa au mabawa ya mwewe/kunguru/tai na kisha kuyasomea dua au tambiko kisha kwenda juu ya mlima au mti mrefu na kujiachia akiamini atapaa kwasababu amechanjiwa mafuta ya ndege anaepaa. What would happened to him? Distaster.

Mwafrika/Mwarabu kwa kuwa anajua mtende unaota jangwani basi akitaka biashara yake isimame hata katika mazingira magumu ambayo hayaruhusu biashara yake kufanikiwa, ataenda kuchukua mizizi ya mtende au magamba ya mtende na kuyasomea dua au kuyafanyia tambiko huku akisema kwamba kama mti huu wa mtende ulivyo weza kuota jangwani basi hata mimi baishara yangu ita thrive na kusurvive pamoja na kwamba ipo katika mazingira magumu.

Lakini Mzungu yeye atausoma mti wa mtende kutaka kujua kitu gani kina ufanya kusurvive jangwani ambako miti mingine haiwezi kusurvive.

Atagundua vitu vingi sana. Moja kati ya vitu hivyo ni pamoja na uimara wa mizizi ya mti wa mtende. So atagundua ahaa kumbe moja kati ya sababu zinazo ufanya mti wa mtende uweze kusurvive jangwani ni pamoja na uimara wa mizizi yake. Basi Mzungu atatengeneza mizizi imara kwa ustawi wa biashara yake n.k.

Hirizi ya Simba vivyo hivyo

Mswahili/ Mwarsbu atatafuta hirizi ya simba porini au athari ya simba porini na kujichanja huku akiamini kwamba kwasababu hiyo ataogopwa na watu kama simba anavyoogopwa. Akitoa kauli yake watu wote wataufyata.

Lakini Mzungu yeye atamstudy simba kisha ataanza ku imitate tabia za simba na mwisho wa siku ataanza ku demonstrate characters za simba na ataogopwa na kuheshimika kama simba anavyoogopwa porini.

Tazama jinsi taifa la Marekani kinachotumia sifa za ndege eagle ku exist. Siyo uchawi hapana ni sayansi. Acha kufuata uchawi wa Kiafrika/Kiarabu anza ku practice uchawi wa Kizungu. Utakuja kunishukuru.

Uchawi wa Kiafrika utadumaza uwezo wako wa kufikiri na uchawi wa Kizungu utapanua uwezo wako wa kufikiri.
 
Noma sana mzee, kumbe mila haziwezi kukuongezea uwezo so bora tutafute maarifa
Yes cause ukienda huko matatizo yanakuwa solved KWA kutumia akili za viumbe wengine lakini ukitumia uchawi wa kizungu una kuwa ume solve tatizo kwa kutumia akili YAKO na kupanua zaidi maarifa yako...
 
Hii ni sababu mojawapo ya kitaalamu kwanini ngekewa hufuatwa na ndege/wanyama wengi KILA mahali anapo kwenda.

Ni kwamba ngekewa anapokuwa ana graze huwa wanatoka wadudu wengi sana, ndege ambao humfuata ngekewa KILA mahali anapokuwa ni insectivorous birds yani ndege wanao kula wadudu.

MWAFRIKA /MWARABU KWA kuwa akili yake ameifunga zaidi kwenye miujiza akiona kundi la ndege Wana mfuata ngekewa KILA mahali anapo kwenda wanahisi ngekewa ana majini na kwamba majini ya ngekewa ndio huwavuta hao ndege kumbe no masikini. Unaishia kuwaua viumbe wa Mwenyezi Mungu kwa sababu za kipuuzi.

MZUNGU anajifunza kitu GANI hapo ? Kwamba ili watu wakufuate kwa wingi lazima uwe na uwezo wa kutatua mahitaji yao muhimu ( hasa hasa ambayo Yana athiri moja kwa moja survival yao.)

"MZUNGU" atatafuta mahali AMBAPO kuna tatizo kisha atatengeneza solution. Watu watamfuata tu kufuata hiyo solution..
 
Ni kweli kabisa kaka.
Nakubaliana nawe.. Wenzetu wana mpaka hii mijengo ya maana na ya gharama kubwa kwa ajili ya hizo mambo sisi tumeishia kubaki na vilinge mbavu za mbwa
20221102_191318.jpg
 
Nakubaliana nawe.. Wenzetu wana mpaka hii mijengo ya maana na ya gharama kubwa kwa ajili ya hizo mambo sisi tumeishia kubaki na vilinge mbavu za mbwaView attachment 2405323
Yeah kabisa kaka.

MWAFRIKA hazijui fitna za kisayansi. Yeye anajua kuroga na fitna za kusengenya. KWA mfano kuna mtaa fulani jijini darusalama kuna jamaa alihamia kwenye huo mtaa alikuwa ana duka la dawa pharmacy. Jamaa aliwasumbua sana dada zetu KWA sababu alikuwa anauza sana KWA Siku. Pesa yake akawa anatumia kuwasumbua dada zetu na kuwababaisha wake za watu.

Watu wa mtaani wakasema huyu jamaa anatakiwa aondoke hapa mtaani.

Lakini hamuwezi kumuondoa kisheria KWA sababu hamna justification ya kisheria kumuondoa.

Waswahili vichwa panzi wakashauri watu waende Handeni Tanga watafute mtaalamu wa uchawi unaitwa " Sunkhwa" ambao mtu akitupiwa anahama mwenyewe.

Brother mmoja mtu wa usalama.akasema hebu acheni ujinga nyie. Nipeni hiyo kazi mimi huyu mtu ataondoka ndani ya Siku thelathini.

BASI yakafunguliwa maduka mawili ( pharmacy) ya michongo. Mmoja kulia kwake la pili kushoto kwake halafu wakamu under cut. Yani katika KILA bidhaa anayo uza wao wanatoa sh mia, mia mbili, mia tano HADI elfu moja.

Hayo maduka ya mchongo yakawa yanafunguliwa saa kumi na moja kamili asubuhi yanafungwa saa sita usiku.

Jamaa alikaa siku thelathini hauzi hata mteja mmoja alileta waganga na waganga lakini wapi. Mwisho wa siku aliondoka mwenyewe. Huo ndio uchawi wa kizungu
 
Nimetokea kuupenda na kuuamini zaidi uchawi wa mzungu kuliko uchawi wa mwafrika/MWARABU ( msingi wa uchawi wa MWARABU na mwafrika ni the same).


Uzuri wa uchawi wa mzungu, ukiufuata vizuri basi matokeo yake ni asilimia mia moja.


SASA leo nataka nikufundishe kuhusu dawa ya ngekewa pamoja na dawa ijulikanayo kama hirizi ya Simba..

UCHAWI WA NGEKEWA MIONGONI MWA WAAFRIKA NA WAARABU.

Kwanza ngekewa ni nini?.Ngekewa ni mnyama ambae anapendwa na wanyama karibu wote wa porini.

Mnyama huyu anapo onekana BASI kundi la wanyama wa porini humfuata kumshangaa huku wakimyonyesha upendo wa hali ya juu...

Uchawi wa ngekewa ni nini? Uchawi wa ngekewa kwa mujibu wa imani za kiafrika ni uchawi utakao kufanya upendwe na watu kama anavyo pendwa ngekewa. Iwe ni kwenye biashara, kazi I, ofisini etc.


MWAFRIKA/MWARABU AKITAKA KUPENDWA KAMA NGEKEWA ATAFANYA NINI?


MWAFRIKA/ MWARABU akitaka watu wampende kama ngekewa atatafuta athari ya ngekewa kama vile ngozi, meno,mifupa,ngozi,mafuta nakadhalika atavifanyia dua au tambiko maalumu kisha ama atachanjiwa au ataweka kwenye mkoba wake au kwenye biashara yake au kwenye kiti chake ofisini etc ILI eti na yeye awe anapendwa kama anavyo pendwa ngekewa.


MATOKEO HUWAJE? MATOKEO NI SIFURI. HUWEZI KUPENDWA KAMA NGEKEWA SIMPLY KWA SABABU UMECHANJIWA ATHARI YA NGEKEWA AU UMEJIPAKA MAFUTA YA NGEKEWA ETC.



MZUNGU NA UCHAWI WA NGEKEWA.

( MZUNGU AKITAKA KUPENDWA KAMA NGEKEWA HUFANYA NINI)

MZUNGU AKITAKA KUPENDWA kama ngekewa hufanya mambo yafuatayo:


1. Ata mstudy ngekewa kwa muda mrefu. Atasoma vitabu vingi vilivyo andikwa na wataalamu walio bobea kuhusu ngekewa ( wataalamu wa mambo wanasema kwamba kama.unataka.kuwa expert wa kitu chochote kile basi soma vitabu 400 kuhusu kitu au jambo hilo kwa muda wa miezi sita HADI mwaka mmoja na utakuwa expert wa jambo hilo without a doubt)

Kama kusoma vitabu haitoshi ata Tazama documentary za kitaalamu kuhusu ngekewa na on top of that ataenda kwenye mbuga za wanyama ambako ngekewa wanapatikana atafanya onsite study kuhusu ngekewa.

Baada ya kufanya yote hayo atazigundua sababu za kisayansi kwanini ngekewa anapendwa na KILA mnyama. So


2. MZUNGU ataanza kuiga hizo tabia za ngekewa ambazo zinamfanya apendwe na KILA mnyama. Na mwisho wa siku ataanza KUPENDWA kama ngekewa.


MIFANO HAI: MZUNGU ALIJIFUNZA KURUSHA NDEGE KWA KUWA STUDY NDEGE WANAO PAA. KITU GANI KINAFANYA WAWEZE KURUKA ANGANI NA KUPAA. BAADA YA KUGUNDUA KITU HICHO NA YEYE AKATENGENEZA NDEGE INAYO PAA. MWAFRIKA au MWARABU ange chukua mafuta au mifupa au mabawa ya mwewe/kunguru/tai na kisha kuyasomea dua au tambiko kisha kwenda juu ya Mlima au mti mrefu na kujiachia akiamini atapaa KWA sababu amechanjiwa mafuta ya ndege anae paa. What would happened to him?.distaster.



MWAFRIKA /MWARABU kwa kuwa anajua mtende unaota jangwani BASI akitaka biashara yake isimame hata katika mazingira magumu ambayo haya ruhusu biashara yake KUFANIKIWA, ataenda KUCHUKUA mizizi ya mtende au magamba ya mtende na kuyasomea dua au kuyafanyia tambiko huku akisema kwamba kama mti huu wa mtende ulivyo weza kuota jangwani BASI hata mimi baishara yangu ita thrive na kusurvive pamoja na kwamba ipo ktk mazingira magumu.


LAKINI MZUNGU yeye atausoma mti wa mtende kutaka kujua kitu gani kina ufanya kusurvive jangwani.ambako miti mingine haiwezi kusurvive.


Atagundua vitu vingi sana. Moja Kati ya vitu hivyo ni pamoja na uimara wa mizizi ya mti wa mtende. So atagundua ahaa kumbe moja Kati ya sababu zinazo ufanya mti wa mtende uweze kusurvive jangwani ni pamoja na uimara wa mizizi yake. BASI MZUNGU ata tengeneza mizizi imara kwa ustawi wa biashara yake. N.k.n.k.

Hirizi ya Simba vivyo hivyo.

Mswahili/ MWARABU ata tafuta hirizi ya Simba porini au athari ya Simba porini na kujichanja huku akiamini kwamba KWA sababu hiyo ataogopwa na watu kama Simba anavyo ogopwa. Akitoa kauli yake watu wote wataufyata.


Lakini MZUNGU yeye atamstudy Simba kisha ataanza ku imitate tabia za Simba na mwisho wa siku ataanza ku demonstrate characters za Simba na ataogopwa na kuheshimika kama Simba anavyo ogopwa porini.
.
Tazama jinsi taifa la Marekani kinacho tumia sifa za ndege eagle ku exist.

Sio uchawi hapana ni sayansi.


Acha kufuata uchawi wa kiafrika kiarabu anza ku practice uchawi wa kizungu. Utakuja kunishukuru.

Uchawi wa kiafrika utadumaza uwezo wako wa kufikiri na uchawi wa kizungu utapanua uwezo wako wa kufikiri


Weka picha ya huyo mnyama Ngekewa tumuone kwanza ndipo nitaamini hicho unachosema nk.
 
Onyesha picha ya huyo mnyama Ngekewa ili usishikwe UONGO, kama uumzima kichwani utaelewa hilo swali kinyume chake utakuwa umeandika fallacies tu.
 
Ila mkuu unakosea sana kumuweka mwafrica na mwarabu kwa pamoja kwa hata kuendana hatuendani kabisa ...Waarabu ni matajiri wakubwa duniani wanaumiza vichwa wazungu kabisa na Wana control firms kubwa na biashara kubwa nchi za America ,Europe na Africa ndo kabisa.. waarabu Wana akili za kutumia rasilimali zao kwa ufanisi.

Tatizo la waarabu na waafrica wanavyofanana ni kweny race tu!! Na kubaguana kutokupendana ndo maana kukuta nchi zao Zina migogoro ya ndani ni kawaida ..

Kingine waarabu wanaweza kufanana na wazungu kwa kweny biashara na kuwa na uthubutu wa kupinga maonevu dhidi ya serikali zao katika izo nchi zao kukuta maandamano ni kawaida sana.

Waarabu wanatofautiana na wazungu katika elimu ,wazungu wako juu kielimu ila jamaa wao ni biashara tu.


Katika uchawi tunaongelea hapa ni kasumba za watu weupe kwamba huu uchawi wetu wa kibongo ambao ulikuwa ni tishia kubwa unaonekana ni kama kwamba haufai na ni ushamba ile kupractise unakufanya uwe local sana...Mimi ukitaka kujua huu uchwi unafanya kazi nenda watu wanachimba madini wanatumia 80% mpaka kutoa kafara na wazungu baadhi wapo wanashiriki izo mambo..wapo Wana walishawai kwenda huko montepuez) Mozambique) huku kuchimba madini miaka ya 2000's wansema uchawi wa bongo haswa mtwara unatumika sana kidetermine upatikanaji wa madini kuliko hata mineral dectactor zile ...
 
Nimetokea kuupenda na kuuamini zaidi uchawi wa mzungu kuliko uchawi wa mwafrika/MWARABU ( msingi wa uchawi wa MWARABU na mwafrika ni the same).


Uzuri wa uchawi wa mzungu, ukiufuata vizuri basi matokeo yake ni asilimia mia moja.


SASA leo nataka nikufundishe kuhusu dawa ya ngekewa pamoja na dawa ijulikanayo kama hirizi ya Simba..

UCHAWI WA NGEKEWA MIONGONI MWA WAAFRIKA NA WAARABU.

Kwanza ngekewa ni nini?.Ngekewa ni mnyama ambae anapendwa na wanyama karibu wote wa porini.

Mnyama huyu anapo onekana BASI kundi la wanyama wa porini humfuata kumshangaa huku wakimyonyesha upendo wa hali ya juu...

Uchawi wa ngekewa ni nini? Uchawi wa ngekewa kwa mujibu wa imani za kiafrika ni uchawi utakao kufanya upendwe na watu kama anavyo pendwa ngekewa. Iwe ni kwenye biashara, kazi I, ofisini etc.


MWAFRIKA/MWARABU AKITAKA KUPENDWA KAMA NGEKEWA ATAFANYA NINI?


MWAFRIKA/ MWARABU akitaka watu wampende kama ngekewa atatafuta athari ya ngekewa kama vile ngozi, meno,mifupa,ngozi,mafuta nakadhalika atavifanyia dua au tambiko maalumu kisha ama atachanjiwa au ataweka kwenye mkoba wake au kwenye biashara yake au kwenye kiti chake ofisini etc ILI eti na yeye awe anapendwa kama anavyo pendwa ngekewa.


MATOKEO HUWAJE? MATOKEO NI SIFURI. HUWEZI KUPENDWA KAMA NGEKEWA SIMPLY KWA SABABU UMECHANJIWA ATHARI YA NGEKEWA AU UMEJIPAKA MAFUTA YA NGEKEWA ETC.



MZUNGU NA UCHAWI WA NGEKEWA.

( MZUNGU AKITAKA KUPENDWA KAMA NGEKEWA HUFANYA NINI)

MZUNGU AKITAKA KUPENDWA kama ngekewa hufanya mambo yafuatayo:


1. Ata mstudy ngekewa kwa muda mrefu. Atasoma vitabu vingi vilivyo andikwa na wataalamu walio bobea kuhusu ngekewa ( wataalamu wa mambo wanasema kwamba kama.unataka.kuwa expert wa kitu chochote kile basi soma vitabu 400 kuhusu kitu au jambo hilo kwa muda wa miezi sita HADI mwaka mmoja na utakuwa expert wa jambo hilo without a doubt)

Kama kusoma vitabu haitoshi ata Tazama documentary za kitaalamu kuhusu ngekewa na on top of that ataenda kwenye mbuga za wanyama ambako ngekewa wanapatikana atafanya onsite study kuhusu ngekewa.

Baada ya kufanya yote hayo atazigundua sababu za kisayansi kwanini ngekewa anapendwa na KILA mnyama. So


2. MZUNGU ataanza kuiga hizo tabia za ngekewa ambazo zinamfanya apendwe na KILA mnyama. Na mwisho wa siku ataanza KUPENDWA kama ngekewa.


MIFANO HAI: MZUNGU ALIJIFUNZA KURUSHA NDEGE KWA KUWA STUDY NDEGE WANAO PAA. KITU GANI KINAFANYA WAWEZE KURUKA ANGANI NA KUPAA. BAADA YA KUGUNDUA KITU HICHO NA YEYE AKATENGENEZA NDEGE INAYO PAA. MWAFRIKA au MWARABU ange chukua mafuta au mifupa au mabawa ya mwewe/kunguru/tai na kisha kuyasomea dua au tambiko kisha kwenda juu ya Mlima au mti mrefu na kujiachia akiamini atapaa KWA sababu amechanjiwa mafuta ya ndege anae paa. What would happened to him?.distaster.



MWAFRIKA /MWARABU kwa kuwa anajua mtende unaota jangwani BASI akitaka biashara yake isimame hata katika mazingira magumu ambayo haya ruhusu biashara yake KUFANIKIWA, ataenda KUCHUKUA mizizi ya mtende au magamba ya mtende na kuyasomea dua au kuyafanyia tambiko huku akisema kwamba kama mti huu wa mtende ulivyo weza kuota jangwani BASI hata mimi baishara yangu ita thrive na kusurvive pamoja na kwamba ipo ktk mazingira magumu.


LAKINI MZUNGU yeye atausoma mti wa mtende kutaka kujua kitu gani kina ufanya kusurvive jangwani.ambako miti mingine haiwezi kusurvive.


Atagundua vitu vingi sana. Moja Kati ya vitu hivyo ni pamoja na uimara wa mizizi ya mti wa mtende. So atagundua ahaa kumbe moja Kati ya sababu zinazo ufanya mti wa mtende uweze kusurvive jangwani ni pamoja na uimara wa mizizi yake. BASI MZUNGU ata tengeneza mizizi imara kwa ustawi wa biashara yake. N.k.n.k.

Hirizi ya Simba vivyo hivyo.

Mswahili/ MWARABU ata tafuta hirizi ya Simba porini au athari ya Simba porini na kujichanja huku akiamini kwamba KWA sababu hiyo ataogopwa na watu kama Simba anavyo ogopwa. Akitoa kauli yake watu wote wataufyata.


Lakini MZUNGU yeye atamstudy Simba kisha ataanza ku imitate tabia za Simba na mwisho wa siku ataanza ku demonstrate characters za Simba na ataogopwa na kuheshimika kama Simba anavyo ogopwa porini.
.
Tazama jinsi taifa la Marekani kinacho tumia sifa za ndege eagle ku exist.

Sio uchawi hapana ni sayansi.


Acha kufuata uchawi wa kiafrika kiarabu anza ku practice uchawi wa kizungu. Utakuja kunishukuru.

Uchawi wa kiafrika utadumaza uwezo wako wa kufikiri na uchawi wa kizungu utapanua uwezo wako wa kufikiri
Bila Mshana Jr's approval bandiko lako ni ubatili mtupu
 
Nimetokea kuupenda na kuuamini zaidi uchawi wa mzungu kuliko uchawi wa mwafrika/MWARABU ( msingi wa uchawi wa MWARABU na mwafrika ni the same).


Uzuri wa uchawi wa mzungu, ukiufuata vizuri basi matokeo yake ni asilimia mia moja.


SASA leo nataka nikufundishe kuhusu dawa ya ngekewa pamoja na dawa ijulikanayo kama hirizi ya Simba..

UCHAWI WA NGEKEWA MIONGONI MWA WAAFRIKA NA WAARABU.

Kwanza ngekewa ni nini?.Ngekewa ni mnyama ambae anapendwa na wanyama karibu wote wa porini.

Mnyama huyu anapo onekana BASI kundi la wanyama wa porini humfuata kumshangaa huku wakimyonyesha upendo wa hali ya juu...

Uchawi wa ngekewa ni nini? Uchawi wa ngekewa kwa mujibu wa imani za kiafrika ni uchawi utakao kufanya upendwe na watu kama anavyo pendwa ngekewa. Iwe ni kwenye biashara, kazi I, ofisini etc.


MWAFRIKA/MWARABU AKITAKA KUPENDWA KAMA NGEKEWA ATAFANYA NINI?


MWAFRIKA/ MWARABU akitaka watu wampende kama ngekewa atatafuta athari ya ngekewa kama vile ngozi, meno,mifupa,ngozi,mafuta nakadhalika atavifanyia dua au tambiko maalumu kisha ama atachanjiwa au ataweka kwenye mkoba wake au kwenye biashara yake au kwenye kiti chake ofisini etc ILI eti na yeye awe anapendwa kama anavyo pendwa ngekewa.


MATOKEO HUWAJE? MATOKEO NI SIFURI. HUWEZI KUPENDWA KAMA NGEKEWA SIMPLY KWA SABABU UMECHANJIWA ATHARI YA NGEKEWA AU UMEJIPAKA MAFUTA YA NGEKEWA ETC.



MZUNGU NA UCHAWI WA NGEKEWA.

( MZUNGU AKITAKA KUPENDWA KAMA NGEKEWA HUFANYA NINI)

MZUNGU AKITAKA KUPENDWA kama ngekewa hufanya mambo yafuatayo:


1. Ata mstudy ngekewa kwa muda mrefu. Atasoma vitabu vingi vilivyo andikwa na wataalamu walio bobea kuhusu ngekewa ( wataalamu wa mambo wanasema kwamba kama.unataka.kuwa expert wa kitu chochote kile basi soma vitabu 400 kuhusu kitu au jambo hilo kwa muda wa miezi sita HADI mwaka mmoja na utakuwa expert wa jambo hilo without a doubt)

Kama kusoma vitabu haitoshi ata Tazama documentary za kitaalamu kuhusu ngekewa na on top of that ataenda kwenye mbuga za wanyama ambako ngekewa wanapatikana atafanya onsite study kuhusu ngekewa.

Baada ya kufanya yote hayo atazigundua sababu za kisayansi kwanini ngekewa anapendwa na KILA mnyama. So


2. MZUNGU ataanza kuiga hizo tabia za ngekewa ambazo zinamfanya apendwe na KILA mnyama. Na mwisho wa siku ataanza KUPENDWA kama ngekewa.


MIFANO HAI: MZUNGU ALIJIFUNZA KURUSHA NDEGE KWA KUWA STUDY NDEGE WANAO PAA. KITU GANI KINAFANYA WAWEZE KURUKA ANGANI NA KUPAA. BAADA YA KUGUNDUA KITU HICHO NA YEYE AKATENGENEZA NDEGE INAYO PAA. MWAFRIKA au MWARABU ange chukua mafuta au mifupa au mabawa ya mwewe/kunguru/tai na kisha kuyasomea dua au tambiko kisha kwenda juu ya Mlima au mti mrefu na kujiachia akiamini atapaa KWA sababu amechanjiwa mafuta ya ndege anae paa. What would happened to him?.distaster.



MWAFRIKA /MWARABU kwa kuwa anajua mtende unaota jangwani BASI akitaka biashara yake isimame hata katika mazingira magumu ambayo haya ruhusu biashara yake KUFANIKIWA, ataenda KUCHUKUA mizizi ya mtende au magamba ya mtende na kuyasomea dua au kuyafanyia tambiko huku akisema kwamba kama mti huu wa mtende ulivyo weza kuota jangwani BASI hata mimi baishara yangu ita thrive na kusurvive pamoja na kwamba ipo ktk mazingira magumu.


LAKINI MZUNGU yeye atausoma mti wa mtende kutaka kujua kitu gani kina ufanya kusurvive jangwani.ambako miti mingine haiwezi kusurvive.


Atagundua vitu vingi sana. Moja Kati ya vitu hivyo ni pamoja na uimara wa mizizi ya mti wa mtende. So atagundua ahaa kumbe moja Kati ya sababu zinazo ufanya mti wa mtende uweze kusurvive jangwani ni pamoja na uimara wa mizizi yake. BASI MZUNGU ata tengeneza mizizi imara kwa ustawi wa biashara yake. N.k.n.k.

Hirizi ya Simba vivyo hivyo.

Mswahili/ MWARABU ata tafuta hirizi ya Simba porini au athari ya Simba porini na kujichanja huku akiamini kwamba KWA sababu hiyo ataogopwa na watu kama Simba anavyo ogopwa. Akitoa kauli yake watu wote wataufyata.


Lakini MZUNGU yeye atamstudy Simba kisha ataanza ku imitate tabia za Simba na mwisho wa siku ataanza ku demonstrate characters za Simba na ataogopwa na kuheshimika kama Simba anavyo ogopwa porini.
.
Tazama jinsi taifa la Marekani kinacho tumia sifa za ndege eagle ku exist.

Sio uchawi hapana ni sayansi.


Acha kufuata uchawi wa kiafrika kiarabu anza ku practice uchawi wa kizungu. Utakuja kunishukuru.

Uchawi wa kiafrika utadumaza uwezo wako wa kufikiri na uchawi wa kizungu utapanua uwezo wako wa kufikiri
100 nakubali kabisaa,..
 
Back
Top Bottom