KirilOriginal
JF-Expert Member
- Feb 13, 2012
- 2,161
- 1,147
Geofrey Mushi (Bino Binaisa) Ilboru sec.
Ndeki aliyekuja kuwa mkurugenzi wa elimu ya secondary?
Kwa hiyo shule za commuting zilikuwa hazina walimu maarufu?Tuliosoma Boarding kipindi hicho cha misuko suko mingi saaana kwa shule zza sekondari ndio tunawafahamu haoo walimu.... ... Hawa umaarufu wao unakuja kuwa ni wale walioona Ualimu ni wito na kuithamini sana kazi yao.
Mr Tesha a.k.a Maujinga - Kilimanjaro Boyz sec huyu alikua mtu wa totoz sana.
Mr Mushi (RIP)aka Bamchafu second master alikua anawatoto wengi sana.
Pale Azania kabla ya Kwayu alikuwepo Kisamo.... Kuna sikua alirusha kwanja kwenye kundi la wanafunzi wakigombea msosi jikoni.
Mr Tesha a.k.a Maujinga - Kilimanjaro Boyz sec huyu alikua mtu wa totoz sana.
Mr Mushi (RIP)aka Bamchafu second master alikua anawatoto wengi sana.
teti pia niliwahi kumsikia
Huyo wa kwanza ananihusu.. Headmaster wangu Azania Sec.
Na nasikia alipokuja Azania,alitokea Ndanda Sec.(ambayo wanafunzi walifukuzwa kwa mambo ya udini-udini majuzi)
Msasa alikua Mazengo mwaka gani? Mr. Mkoba was a big name. Big up to him...!We dogo Acha kumsahau HeadMaster wa Mazengo...Bwana Msasa.Lol
Shule kubwa ile...